Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Israel kufungua ubalozi milki za kiarabu

Israel imesema kuwa itafungua afisi za kibalozi katika milki za kiarabu ingawa mataifa hayo mawili hayana uhusiano wa kibalozi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mataifa ya milki za kiarabu kukabili IS

Muungano wa milki ya nchi za kiarabu unasema kuwa unatuma ndege za kivita aina ya F-16 kwenda nchini Jordan kusaidia taifa hilo

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania kufungua ubalozi Algeria

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete ametangaza rasmi kuwa Tanzania itafungua Ubalozi nchini Algeria, kwa nia ya kuimarisha mahusiano thabiti ya kirafiki na ya kihistoria tangu yalipoanzishwa na waanzilishi wa mataifa hayo, Hayati Julius Kambarage Nyerere na Hayati Ahmed Ben Bella.

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA KUFUNGUA UBALOZI KUWAIT

Waziri Membe akimtambulisha kwa Mhe. Skeikh Sabah Al-Khalid Al-Sabah, Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya.Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na Mhe. Skeikh Sabah Al-Khalid Al-Sabah, Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait. Waziri Membe alifanya ziara ya siku moja...

 

11 years ago

Michuzi

UBALOZI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA FALME ZA KIARABU (UAE) WASHEREHEKEA SHEREHE ZA MIAKA 50 MUUNGANO WA TANZANIA

Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu,Mhe. Mbarouk Nassor Mbarouk (kushoto) akimpokea mgeni rasmi wa sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano Tanzania, Mheshimiwa Dr. Hadef Jawa’n Al Dhaheri, Waziri wa Sheria wa UAE,katika hafla iliyofanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Intercontinental,Abu Dhabi. Balozi Mbarouk akiwa na Chief of Protocol wa UAE Mhe. Shihab Al Faheem. Balozi Mbarouk akimuongoza Mgeni rasmi Mhe. Dr. Hadef Jawa’n Al Dhaheri, Waziri wa Sheria wa Umoja...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kufungua ubalozi wake Cuba

Marekani inasema kuwa itafungua ubalozi wake nchini Cuba kuanzia mwezi Aprili.

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania kufungua Ubalozi nchini Kuwait

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na Mhe. Skeikh Sabah Al-Khalid Al-Sabah,  Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait. Waziri Membe alifanya ziara ya siku moja nchini humo tarehe 14 Aprili, 2015 kwa lengo la kuimarisha ushirikiano baina ya nchi hizi mbili.
 Waziri Membe akimtambulisha kwa Mhe. Skeikh Sabah Al-Khalid Al-Sabah,  Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Majina ya kiarabu yaenziwa Uingereza

Utafiti nchini Uingereza umeonyesha kuwa mwaka huu jina Muhammad ndilo limekuwa maarufu sana linalopewa watoto wavulana Uingereza

 

10 years ago

BBCSwahili

Nchi 10 za kiarabu kuisaidia Marekani

John Kerry apinga ripoti kwamba mataifa ya kiarabu hayaungi mkono juhudi zake za kubuni muungano wa kukabiliana na kundi la IS.

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama na uhusiano wa Falme za Kiarabu

Rais wa Marekani Barack Obama anaongoza mkutano wa viongozi wa falme za kiarab ambao unalenga kuhakikisha uhusiano baina yao na Marekani na Iran

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani