Mzee Madiba na alama ya batiki Afrika
MTU huweza kujipambanua katika jamii kwa njia mbalimbali, iwe kwa tabia ya asili kama ukali, upole au upendo, pia kwa upande mwingine, mwenyewe unaweza kujipambanua kwa aina ya mavazi, staili...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLUZINDUZI WA BIG BROTHER HOTSHOTS ULIVYOKUWA KWA MZEE MADIBA
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Pumzika kwa amani mwanamichezo Mzee wetu Nelson Mandela Madiba
MWILI wa Mzee Nelson Mandela Madiba, ulizikwa jana kijijini kwake Qunu, Eastern Cape, baada ya kufariki Desemba 5, 2013 akiwa na miaka 95. Mandela ambaye kabla ya kupewa jina hilo...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RVyZE3N-GnYE20dwBv*eNu5ye9WWu3*IW3olnv15GWLIqcJ647xAC7L0zI7LCNPxKe9q7K0w5u4IGxSClQ9tYF8MYIRtsOv8/4.jpg?width=650)
KIPIMO CHAONESHA MAGUFULI ALAMA 6, LOWASSA ALAMA 9
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Wakazi Dar wakusanywa kujifunza batiki, keki
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Afrika yaomboleza Mzee Ojwang
10 years ago
MichuziKINANA AZINDUA MRADI WA MAJI MUYUYU NA KIKUNDI CHA UTENGENEZAJI BATIKI KIBITI RUFIJI
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-I62frfJHhHo/UqZZL0tbDaI/AAAAAAAFAZQ/VgrZ1kD_MWw/s640/m1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI AFRIKA KUSINI KUHUDHURIA MAZIKO YA MZEE NELSON MADELA
11 years ago
Habarileo12 Dec
Kwaheri Madiba
MAELFU ya Waafrika Kusini jana walijitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Rais wa Kwanza Mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela katika majengo ya Serikali ya Union jijini Pretoria.
Wengine walijipanga barabarani kutoa heshima zao wakati mwili ukipitishwa kutoka hospitalini ulikohifadhiwa na kupelekwa katika majengo ya Union na jioni kurudishwa hospitalini.
Mwili huo ulipelekwa hapo jana asubuhi ili kutoa fursa kwa wananchi kuuaga rasmi kabla ya kusafirishwa kwenda kijijini kwao...
11 years ago
Habarileo11 Dec
Maajabu ya Madiba
KATIKA uhai wake mpambanaji dhidi ya ubaguzi wa rangi duniani, Nelson Mandela, aliishangaza dunia alipotangaza msamaha kwa waliomtesa na akiwa marehemu, amekutanisha viongozi mahasimu wa kisiasa duniani katika uwanja mmoja wakimuaga. Hicho ndicho kilichomsukuma mshindi mwenzake wa Tuzo ya Nobel, Askofu Desmond Tutu, kusema Mandela alikuwa wa maajabu na alionesha maajabu akiwa hivi sasa ni marehemu.