RADIOMBAO KUZINDULIWA UPYA LEO
RADIO MBAO: Ninaomba kuwafahamisha kuwa mie na mwenzangu @djkvelli mkongwe wa masuala ya entertainment kama dj nchini Marekani na mmiliki wa kituo maarufu cha radio mtandaoni, RADIOMBAO, tumeunganisha nguvu, na kwa pamoja tunawaletea uzinduzi RADIOMBAO katika sura mpya. Licha ya matangazo ya radio, RADIOMBAO sasa inakuletea habari mbalimbali katika namna tofauti (bringing you news not in your traditional way). Uzinduzi rasmi utakuwa LEO Jumamosi ya Februari 1 mwaka huu 2014.
Tunataka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Mwananyamala Jogging kuzinduliwa leo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6bpBhld6WW5qyvRzUf9tHtsed4ty9b7v64TKoaAqWoC5JWIhOgXLyMODt-ewgULODCHLF12UFPIYTny9BTvXAat/3ESTERBULAYA.jpg?width=650)
MICHUANO YA ESTHER CUP KUZINDULIWA LEO
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Operesheni Sambaratisha CCM kuzinduliwa leo
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Temeke, Bernad Mwakyembe, amewaomba wananchi wa wilaya hiyo kuwaunga mkono katika Operesheni yao ya ‘Sambaratisha CCM, Mtaa kwa Mtaa Temeke’. Mwakyembe, alitoa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Ripoti ya ukatili wa kijinsia kuzinduliwa leo
CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), leo saa 3:00 asubuhi kitazindua ripoti ya utafiti wa unyanyasaji wa kijinsia uliofanyika Desemba 2013 katika wilaya 20 za Tanzania Bara na Zanzibar. Taarifa...
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Taasisi ya Wanawake Wahasibu nchini (TAWCA) kuzinduliwa leo
Mratibu wa Taasisi ya Wanawake Wahasibu Tanzania (TAWCA), Rose Majuva (kulia), akizungumza katika mkutano huo. Katikati ni Mwenyekiti wa taasisi hiyo, Bahati Geuzye na Mmoja wa waanzilishi wa taasisi hiyo, Anna Shanalingingigwa.
Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake Wahasibu Tanzania (TAWCA), Neema Kiure- Mssusa (wa pili kulia), akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani) cheti cha usajili wa taasisi hiyo Dar es Salaam, wakati wa mkutano uliohusu uzinduzi wa taasisi hiyo...
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Kampeni ya chanjo dhidi ya surua, rubella kuzinduliwa leo
KAMPENI ya chanjo dhidi ya ugonjwa surua na rubella kwa watoto wenye umri wa miezi tisa hadi miaka 15 inatarajia kuzinduliwa leo. Katika kampeni hiyo itakayodumu kwa siku saba, watoto...
10 years ago
Dewji Blog24 Jul
Kampeni ya ‘Wazazi Nipendeni’ kuzinduliwa rasmi leo viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar
Mshauri wa masuala ya Malaria kutoka Taasisi ya Jhpiego, Jasmin Chadewa (kushoto), akitoa huduma ya kumpa dawa ya vitamini A, mtoto Rahim Simai, viwanja vya Mwembe Yanga Dar es Salaam leo asubuhi ikiwa ni utoaji huduma wa elimu ya afya kwa wajawazito na matumizi ya dawa aina ya SP, upimaji wa malaria pamoja na matumizi ya vyandarua kama muendelezo wa huduma za afya ya mama mjamzito na mtoto kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili wa Kampeni ya Wazazi Nipendeni utakaofanyika kesho katika...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-46Fgw58Ee64/U5dFPp5Rf3I/AAAAAAAFpm0/dx9v2gcJK34/s72-c/unnamed.png)
NEWS ALERT: historia yawekwa jijini Mbeye leo baada ya kuzinduliwa kwa lift ya kwanza
![](http://4.bp.blogspot.com/-46Fgw58Ee64/U5dFPp5Rf3I/AAAAAAAFpm0/dx9v2gcJK34/s1600/unnamed.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5L_ugLH-9vk/U5c5T2gzKiI/AAAAAAAFplU/Zsj_RFflhqc/s1600/Untitled-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KPE_6pp6K1o/U5c5XHb55oI/AAAAAAAFplk/R-Syk04A5Us/s1600/404dc5104ea035ce5f0745ea1f9c72f2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OxvscahbB-w/U5c5XN-qS1I/AAAAAAAFplg/4R6ysgpo8y0/s1600/794541cb933ad2f7a8255fa492cf3a87.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-s7-DkQeeNnQ/U5c5YHM5wzI/AAAAAAAFplo/S04yhcizBu4/s1600/c601b8e55387b081c095d583e9f23e8e.jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Lwakatare, DPP kuchuana upya kortini leo