Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RADIOMBAO KUZINDULIWA UPYA LEO

My bad, nimesahau kuweka anwani ya mtandaoni ya RADIO MBAO. Ni www.radiombao.com na itakuwa hewani kuanzia Februari Mosi 2014. Sie tunaamini katika #SharingIsCaring , na RADIOMBAO inakuhamasisha nawe ku-share nasi habari yoyote ile . Usihofie kwamba “ah mie sio mwandishi” tutahariri habari yako na itasomwa/kusikika katika nchi 138 duniani. Na wala usikwazwe na “ah mie sijawahi kuandika” kwani kama unaweza kuandika SMS basi kwa hakika unaweza pia kuandika habari. Pia kila jambo lina mwanzo, mtoto hazaliwi akitembea. Kwahiyo yawezekana RADIOMBAO ikaibua kipaji chako…lakini ili hilo liwezekane basi usihofie ku-share nasi habari. Ni Jumamosi Februari 1, 2014, mahali pa kukutana ni www.radiombao.com #SharingIsCaring  (at Glasgow)
RADIO MBAO: Ninaomba kuwafahamisha kuwa mie na mwenzangu @djkvelli mkongwe wa masuala ya entertainment kama dj nchini Marekani na mmiliki wa kituo maarufu cha radio mtandaoni, RADIOMBAO, tumeunganisha nguvu, na kwa pamoja tunawaletea uzinduzi RADIOMBAO katika sura mpya. Licha ya matangazo ya radio, RADIOMBAO sasa inakuletea habari mbalimbali katika namna tofauti (bringing you news not in your traditional way). Uzinduzi rasmi utakuwa LEO  Jumamosi ya Februari 1 mwaka huu 2014.
 Tunataka...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwananyamala Jogging kuzinduliwa leo

p>KLABU ya Mwananyamala Jogging, inatarajiwa kufanya sherehe maalumu za kuizindua tangu ilipoanzishwa. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Salum Nyumba ‘Chisco’, alisema...

 

11 years ago

GPL

MICHUANO YA ESTHER CUP KUZINDULIWA LEO

Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Mapinduzi(CCM), Wilayani Bunda, mkoani Mara, Esther Bulaya akiongea na wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakimsikiliza Esther Bulaya (kushoto) katika Hoteli ya Atrium iliyopo Sinza, Afrikasana jijini Dar.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Operesheni Sambaratisha CCM kuzinduliwa leo

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Temeke, Bernad Mwakyembe, amewaomba wananchi wa wilaya hiyo kuwaunga mkono katika Operesheni yao ya ‘Sambaratisha CCM, Mtaa kwa Mtaa Temeke’. Mwakyembe, alitoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ripoti ya ukatili wa kijinsia kuzinduliwa leo

CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), leo saa 3:00 asubuhi kitazindua ripoti ya utafiti wa unyanyasaji wa kijinsia uliofanyika Desemba 2013 katika wilaya 20 za Tanzania Bara na Zanzibar. Taarifa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Taasisi ya Wanawake Wahasibu nchini (TAWCA) kuzinduliwa leo

IMG_5876

Mratibu wa Taasisi ya Wanawake Wahasibu Tanzania (TAWCA), Rose Majuva (kulia), akizungumza katika mkutano huo. Katikati ni  Mwenyekiti wa taasisi hiyo, Bahati Geuzye na Mmoja wa waanzilishi wa taasisi hiyo, Anna Shanalingingigwa.

1

Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake Wahasibu Tanzania (TAWCA), Neema Kiure- Mssusa (wa pili kulia), akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani) cheti cha usajili wa taasisi hiyo Dar es Salaam, wakati wa mkutano uliohusu uzinduzi wa taasisi hiyo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kampeni ya chanjo dhidi ya surua, rubella kuzinduliwa leo

KAMPENI ya chanjo dhidi ya ugonjwa surua na rubella kwa watoto wenye umri wa miezi tisa hadi miaka 15 inatarajia kuzinduliwa leo. Katika kampeni hiyo itakayodumu kwa siku saba, watoto...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampeni ya ‘Wazazi Nipendeni’ kuzinduliwa rasmi leo viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar

Mshauri wa masuala ya Malaria kutoka Taasisi ya Jhpiego, Jasmin Chadewa (kushoto), akitoa huduma ya kumpa dawa ya vitamini A, mtoto Rahim Simai,  viwanja vya Mwembe Yanga Dar es Salaam leo asubuhi ikiwa ni utoaji huduma wa elimu ya afya kwa wajawazito na matumizi ya dawa aina ya SP, upimaji wa malaria pamoja na matumizi ya vyandarua kama muendelezo wa huduma za afya ya mama mjamzito na mtoto kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili wa Kampeni ya Wazazi Nipendeni utakaofanyika kesho katika...

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: historia yawekwa jijini Mbeye leo baada ya kuzinduliwa kwa lift ya kwanza

Bango la Uzinduzi wa lift ya kwanza jijini Mbeya. Uzinduzi rasmi wa Lift ya kwanza Jijini Mbeya ukifanyika huku shamra shamra zikiendelea.  Wadau wakipanda na kushuka kwenye lift hiyo ikiwa ni sehemu ya kusherehekea uzinduzi wake. hodiiii......

 

10 years ago

Mwananchi

Lwakatare, DPP kuchuana upya kortini leo

Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare leo anatarajiwa kuchuana upya na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) wakati Mahakama ya Rufani itakaposikiliza maombi ya marejeo ya hukumu ya Mahakama Kuu iliyomfutia mashtaka ya ugaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani