4 mbaroni kwa picha za mtandaoni
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema limeanza kuchukua hatua kali kwa watu waliohusika na upigaji wa picha wa vifaa vya kijeshi na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii, ambapo hadi sasa tayari watu wanne wapo chini ya ulinzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo517 Dec
Picha: Waziri mwanamke wa Jamaica azua mjadala mtandaoni kwa kupost picha akiwa nusu utupu
10 years ago
Bongo Movies31 Jul
Batuli Amshukia Kitale Kwa Kuvujisha Picha Hizi Mtandaoni
Staa wa mrembo wa Bongo Movie, Batuli ameonyesha kuchukizwa kwake kwa kitendo cha staa mwenzake, Kitale kuvujisha picha hizi akiwa faragha na mwigizaji chipukizi, Stanbakora ikiwa ni kati ya moja ya kipande cha kazi yao mpya, kwa madai kuwa anaipa ‘promo’.
Kupitia ukurasa wake mtandao Batuli ameeleza kuwa Kitale alimpa picha hizo Mateja ambaye ndiye aliezisambaza kwenye mtandao wa Instagram.
“Kwanza mniwie radhi Watanzania mnachokiona na kinachoelezewa ni vitu viwili tofauti mwenye akili...
10 years ago
CloudsFM07 Oct
WAPANDISHWA KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KULAWITI NA KUSAMBAZA PICHA MTANDAONI
WASHITAKIWA wanaokabiliwa na mashitaka ya kulawiti na kutuma picha katika mitandao ya kijamii, wamepandishwa kizimbani kusomewa maelezo ya awali ambapo walidaiwa kumlawiti mwanaume mwenzao na kumpiga picha kwa madai ya kutaka kulipwa Sh milioni moja.
Washitakiwa hao ni Erick Kasira (39) na Juma Richard (31) ambao wanadaiwa kulawiti sanjari na kupiga picha za tukio hilo.
Wakili wa Serikali Mutalemwa Kishenyi alidai mbele ya Hakimu Mfawidhi Said Mkasiwa kwamba Agosti 23 mwaka huu, maeneo ya...
10 years ago
Bongo Movies11 Feb
PICHA: Mh!! Wema Ana Mimba?!!! Hebu Jionee Picha Hizi Zinazosambaa Mtandaoni!!!
Hizi ni picha za mwigizaji Wema Sepetu ambazo zinasamabaa kwa kasi huko Instagram zikionyesha watu wakiwa wamemshika tumbo kwa nyataki tofauti huku wote sura zao zikiwa hazionekani.
Moja kati ya akaunti kwenye mtandao huo inayoendeshwa na shabiki mkubwa wa Wema, inayokwenda kwa jina la WEMADAILY, ilizitupia picha hizi na kuandika mameno “NITOBOEEE” kuachilia kuwa anataka aseme jambo nakum “tag”Wema.
Baada ya muda kidogo akaibuka tena na kutupia picha nyingine nakusema ameambiwa...
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya Corona: Kikao cha bunge cha mtandaoni Afrika kusini chadukuliwa kwa picha za ngono
10 years ago
Habarileo07 Oct
Wadaiwa kulawiti, kusambaza picha mtandaoni
WASHITAKIWA wanaokabiliwa na mashitaka ya kulawiti na kutuma picha katika mitandao ya kijamii, wamepandishwa kizimbani kusomewa maelezo ya awali ambapo walidaiwa kumlawiti mwanaume mwenzao na kumpiga picha kwa madai ya kutaka kulipwa Sh milioni moja.
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Hatari za kuweka picha za mtoto mtandaoni
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt7F012o2UHtV*4OJNB9DK56wpB1JdRvHWrOaJj8SxAG4svt2gbL-nhvJSE62WQxozgJtTemR*S7eetJBe8EvB57/bieber2.jpg?width=650)
BIEBER ATUPIA PICHA YA UTUPU MTANDAONI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0uMX6j0VBUn4lfvicKg3Etf3SvE3gT9DiLa9C4Ie3jLvoZPCVcSZl1yzKFUfYcg3ocZ0TfZ9QwyAoCEONm7lPU9e5NxmUyIp/10903276_929371630406866_1704915966_n.jpg?width=750)
TAZAMA PICHA ALIZOPOSTI MCHUMBA WA NAY MTANDAONI