5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PGAt7Wi4nOM/XvB9hXD-U6I/AAAAAAALu5g/FI-Pf67fc1EQhztpi-BvrUB14g2AONSQACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B12.34.07%2BPM.jpeg)
SERIKALI YATATUA MGORORO ULIODUMU KWA MIAKA MINNE KATI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA UJENZI WA DARAJA LA MTO KILOMBERO PAMOJA NA MKANDARASI
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imetatua mgogoro wa wafanyakazi waliokuwa wanafanya kazi ya ujenzi katika daraja la Mto Kilombero kwenye kampuni ya kikandarasi ya China Railway 15 Group uliodumu kwa zaidi ya miaka minne na kuhakikisha haki inatendeka kwa kila mfanyakazi.
Mgogoro huo uliosimamiwa kikamilifu na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Arch. Elius Mwakalinga, pamoja na wataalamu kutoka sekta hiyo kwa muda wa siku tatu.
Mwakalinga, ameagiza uongozi wa kampuni hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-t9HF6QqBM-I/Xu9VyK6RBBI/AAAAAAALu0o/ioe2ecnzkDAXzqyOrcplvD-1Uk8SsEpowCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-21%2Bat%2B2.06.08%2BPM.jpeg)
JAFO AMTAKA RC MORO KUSIMAMISHA MCHAKATO WA UUZWAJI WA ENEO KILOSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-t9HF6QqBM-I/Xu9VyK6RBBI/AAAAAAALu0o/ioe2ecnzkDAXzqyOrcplvD-1Uk8SsEpowCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-21%2Bat%2B2.06.08%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-emV8-aUZ_Qo/Xu9Vx8PSlXI/AAAAAAALu0g/kxWsoChIs2YSgDIrDcwHD1_p_RB63pHawCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-21%2Bat%2B2.06.09%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-i29xkdvvY1I/Xu9VyF4mRsI/AAAAAAALu0k/ZQt2iVmd3LACWED_vq9j3Kn05ZF5AsFIACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-21%2Bat%2B2.06.08%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-t5We136zG5Q/Xu9VzAI9spI/AAAAAAALu0s/lBkGoHJmFVoiS35nS-WQodrhsp3SDQHfgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-21%2Bat%2B2.06.10%2BPM.jpeg)
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA CGP KWA MABADILIKO MAKUBWA MAGEREZA, AZINDUA MASHINE YA KUCHIMBIA ‘EXCAVATOR’ YA MILIONI 331 GEREZA MBIGILI MVOMERO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e-wX2saD3Ng/XsTgYcNK12I/AAAAAAALq44/ROP3hw2wFIUSvl8Yd0eAaFL_9LNrC2QRACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC02101.jpg)
RC MOROGORO AWAPONGEZA WATENDAJI WILAYANI ULANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e-wX2saD3Ng/XsTgYcNK12I/AAAAAAALq44/ROP3hw2wFIUSvl8Yd0eAaFL_9LNrC2QRACLcBGAsYHQ/s640/DSC02101.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-yhMdmJY4Oz0/XsTgYf02T3I/AAAAAAALq40/SmPKiukvaCcl0iwINBPca7pNL1zLNO41ACLcBGAsYHQ/s640/thumb_731_800x420_0_0_auto.jpg)
Loata Sanare ametoa pongezi hizo Mei 18...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-op-l9n_EIp8/XsODaj8663I/AAAAAAALqu8/JB5YhXa290EgVuWIn-_K5plJ3kBrT5TmgCLcBGAsYHQ/s72-c/33b6aa4a-6d8e-4b40-a203-7a21f1d7c835.jpg)
SANARE AWAPONGEZA DC, DED ULANGA
Na Farida Saidy, Morogoro.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amewapongeza Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Ngollo Malenya na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa kusimamia vizuri Miradi ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Wilaya hiyo ikiwemo Hospitali ya Wilaya.
Loata Sanare ametoa pongezi hizo Mei 18 mwaka huu baada ya kutembelea Miradi miwili ya Maendeleo ambayo ni Ujenzi wa Majengo matano ya Hospitali ya Wilaya ya Ulanga yanayojengwa kwa ufadhiri wa fedha za...
9 years ago
TheCitizen27 Dec
Charcoal project transforming lives in Kilosa
9 years ago
StarTV22 Dec
Mgogoro Wa Ardhi Kilosa Viongozi waliomaliza muda Tindiga waingia lawamani
Mgogoro uliozuka kati ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Tindiga wilayani Kilosa na kusababisha wakulima 16 kujeruhiwa baada ya kupigwa na wafugaji wa jamii ya kimasai umebainika kukuzwa na viongozi wa serikali ya kijiji hicho waliomaliza muda wao ambao walihodhi maeneo makubwa ya mashamba ya kijiji na kuyakodisha kwa wageni wakiwemo wafugaji.
Aidha viongozi hao wanaidaiwa kuwasaliti wanakijiji na uongozi wa kijiji ulioko madarakani kwa kutoa siri za vikao vinavyojadili mikakati ya...
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Wanavijiji lawamani kuharibu msitu wa Mkindu Mvomero
9 years ago
StarTV17 Dec
Mkuu wa Mkoa fanya ziara ya kushtukiza Hospital Ya Wilaya Ya Ulanga
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dokta Rajabu Rutengwe amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya Wilaya ya Ulanga na kukuta malalamiko kutoka kwa wananchi juu ya upungufu wa dawa na vifaa tiba hatua inavyokwamisha upatikanaji wa huduma bora kwenye hospitali hiyo.
Wananchi hao wamesema kwa muda mrefu hospitalihiyo imekuwa ikikabiliwa na upungufu mkubwa wa dawa kitendo kinachowaathiri kwani hulazimika kuingia kwenye maduka ya mitaani kwa ajili ya kutafuta dawa ambazo zinakosekana hospitalini...
9 years ago
StarTV17 Dec
Mgawanyo Wa Mali, Watumishi Madiwani Ulanga na Malinyi wavutana
Mvutano mkali umezuka baina ya madiwani wa Halmashauri ya Ulanga na wale wa Halmashauri mpya ya Malinyi baada ya Madiwani wa Malinyi kutaka kupewa muongozo na kufahamishwa juu ya mgawanyo wa mali na watumishi utakaofanyika katika halmashauri hizo.
Mjadala huo umetokea mara baada ya mkurungezi wa Ulanga kusoma taarifa ya utekelezaji wa kipindi cha miezi sita ambacho madiwani hao hawakuwepo ndipo wakaanza kuhoji ni kwa nini hakuna taarifa ya mgawanyo huo hatua iliyomlazimu mkuu wa Mkoa...
9 years ago
StarTV17 Dec
Wakazi wa vijiji vinne vya wilayani Ulanga wanufaika na Ujenzi Wa Barabara
Wakazi wa vijiji vya Kisewe, Mdundo, Nawenge na Lyandira wilayani Ulanga mkoani Morogoro wamenufaika na ujenzi wa barabara ulioanzishwa na shirika la utafiti wa madini wilayani humo Mahenge Natural Resources baada ya kutaabika kwa muda mrefu katika usafirishaji wa mazao yao wakiyabeba kichwani kupeleka sokoni.
Kukamilika kwa mradi huo wa barabara kutasaidia wakulima wengi kwenye vijiji hivyo kunufaika kiuchumi na kuongeza kipato zaidi kutokana na mazao yao kufika kiurahisi sokoni.
Ukitazama...
9 years ago
AllAfrica.Com16 Dec
Tanzania: Authorities Recover Gun Lost in Mvomero Clashes
AllAfrica.com
Morogoro — A police gun which was stolen during a fight between farmers and pastoralists in Dihinda Village in Mvomero District has been recovered. Mvomero District commissioner Betty Mkwasa said the gun was recovered after police conducted a ...
9 years ago
MichuziKilombero Sugar: Tuzo za ATE ni hamasa kwa waajiri
Kampuni ya Kilombero Sugar Ltd imesema kuwa tuzo za Mwajiri Bora zinazotolewa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), zinachangia kwa kiasi kikubwa kuleta...
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Kilombero Sugar yaipongeza ATE kwa kuwapa hamasa waajiriâ€
9 years ago
TheCitizen16 Dec
Authorities recover gun lost in Mvomero clashes
-
Malawi
-
Magufuli
-
Lazarus
-
Kisarawe
-
Chakwera
-
Yanga
-
Urais
-
Salaam
-
Ccm
-
Ziara