Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATATUA MGORORO ULIODUMU KWA MIAKA MINNE KATI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA UJENZI WA DARAJA LA MTO KILOMBERO PAMOJA NA MKANDARASI


Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imetatua mgogoro wa wafanyakazi waliokuwa wanafanya kazi ya ujenzi katika daraja la Mto Kilombero kwenye kampuni ya kikandarasi ya China Railway 15 Group uliodumu kwa zaidi ya miaka minne na kuhakikisha haki inatendeka kwa kila mfanyakazi.
Mgogoro huo uliosimamiwa kikamilifu na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Arch. Elius Mwakalinga, pamoja na wataalamu kutoka sekta hiyo kwa muda wa siku tatu.
Mwakalinga, ameagiza uongozi wa kampuni hiyo...

 

5 years ago

Michuzi

JAFO AMTAKA RC MORO KUSIMAMISHA MCHAKATO WA UUZWAJI WA ENEO KILOSA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo akizungumza baada ya kuzindua Shule ya Sekondari ya Kata ya Nondwa wilayani Bahi, Dodoma. Muonekano wa Shule ya Sekondari ya Nondwa iliyopo wilayani Bahi mkoani Dodoma ambayo imezinduliwa na Waziri Selemani Jafo.Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo akikagua madarasa ya shule ya Sekondari Nondwa baada ya kuizindua. WAZIRI wa Nchi,Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kusimamisha mchakato wa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA CGP KWA MABADILIKO MAKUBWA MAGEREZA, AZINDUA MASHINE YA KUCHIMBIA ‘EXCAVATOR’ YA MILIONI 331 GEREZA MBIGILI MVOMERO

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mashine mpya ya kuchimbia ‘excavator’ ya Gereza la Mbigili, Mkoani Morogoro, leo. Waziri huyo amempongeza Mkuu wa Jeshi hilo kwa kununua mashine hiyo, pia matipa matatu na basi la timu ya mpira wa miguu ya Jeshi hilo.Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na Askari na Maafisa wa Gereza la Mbigili, Morogoro, leo, kabla ya kuzindua mashine ya kuchimbia ‘excavator’ iliyonunuliwa...

 

5 years ago

Michuzi

RC MOROGORO AWAPONGEZA WATENDAJI WILAYANI ULANGA

 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Sanare akitoa maelekezo kwa Watendaji wa Wilaya ya Ulanga Wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya Mh. Ngollo Malenya mara baada ya kukagua soko la MahengeMkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amewapongeza Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Ngollo Malenya na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Jonas Malosa kwa kusimamia vizuri Miradi ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Wilaya hiyo ikiwemo Hospitali ya Wilaya.

Loata Sanare ametoa pongezi hizo Mei 18...

 

5 years ago

Michuzi

SANARE AWAPONGEZA DC, DED ULANGA


Na Farida Saidy, Morogoro.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amewapongeza Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Ngollo Malenya na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa kusimamia vizuri Miradi ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Wilaya hiyo ikiwemo Hospitali ya Wilaya.
Loata Sanare ametoa pongezi hizo Mei 18 mwaka huu baada ya kutembelea Miradi miwili ya Maendeleo ambayo ni Ujenzi wa Majengo matano ya Hospitali ya Wilaya ya Ulanga yanayojengwa kwa ufadhiri wa fedha za...

 

9 years ago

TheCitizen

Charcoal project transforming lives in Kilosa

About 95 per cent of all Tanzanians cook with fuelwood or charcoal - virtually everybody. In every city or town, it’s normal and daily life to see people cooking on charcoal stoves.

 

9 years ago

StarTV

Mgogoro Wa Ardhi Kilosa Viongozi waliomaliza muda Tindiga waingia lawamani

Mgogoro uliozuka kati ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Tindiga wilayani Kilosa na kusababisha wakulima 16 kujeruhiwa baada ya kupigwa na wafugaji wa jamii ya kimasai umebainika kukuzwa na viongozi wa serikali ya kijiji hicho waliomaliza muda wao ambao walihodhi maeneo makubwa ya mashamba ya kijiji na kuyakodisha kwa wageni wakiwemo   wafugaji.

Aidha viongozi hao wanaidaiwa kuwasaliti wanakijiji na uongozi wa kijiji ulioko madarakani kwa kutoa siri za vikao vinavyojadili mikakati ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Wanavijiji lawamani kuharibu msitu wa Mkindu Mvomero

Wakazi wa vijiji 20 wilayani Mvomero Mkoa wa Morogoro wamedaiwa kuharibu msitu wa asili wa Mkindu kwa kufanya shughuli za kibinadamu.

 

9 years ago

StarTV

Mkuu wa Mkoa fanya ziara ya kushtukiza Hospital Ya Wilaya Ya Ulanga

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dokta Rajabu Rutengwe amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya Wilaya ya Ulanga na kukuta malalamiko kutoka kwa wananchi juu ya upungufu wa dawa na vifaa tiba hatua inavyokwamisha upatikanaji wa huduma bora kwenye hospitali hiyo.

Wananchi hao wamesema kwa muda mrefu hospitalihiyo imekuwa ikikabiliwa na upungufu mkubwa wa dawa kitendo kinachowaathiri kwani hulazimika kuingia kwenye maduka ya mitaani kwa ajili ya kutafuta dawa ambazo zinakosekana hospitalini...

 

9 years ago

StarTV

Mgawanyo Wa Mali, Watumishi Madiwani Ulanga na Malinyi wavutana

 

Mvutano mkali umezuka baina ya madiwani wa Halmashauri ya Ulanga na wale wa Halmashauri mpya ya Malinyi baada ya Madiwani wa Malinyi kutaka kupewa muongozo na kufahamishwa juu ya mgawanyo wa mali na watumishi utakaofanyika katika halmashauri hizo.

Mjadala huo umetokea mara baada ya mkurungezi wa Ulanga kusoma taarifa ya utekelezaji wa kipindi cha miezi sita ambacho madiwani hao hawakuwepo ndipo wakaanza kuhoji ni kwa nini hakuna taarifa ya mgawanyo huo hatua iliyomlazimu mkuu wa Mkoa...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi wa vijiji vinne vya wilayani Ulanga wanufaika na Ujenzi Wa Barabara

Wakazi wa vijiji vya Kisewe, Mdundo, Nawenge na Lyandira wilayani Ulanga mkoani Morogoro wamenufaika na ujenzi wa barabara ulioanzishwa na shirika la utafiti wa madini wilayani humo Mahenge Natural Resources baada ya kutaabika kwa muda mrefu katika usafirishaji wa mazao yao wakiyabeba kichwani kupeleka sokoni.

Kukamilika kwa mradi huo wa barabara kutasaidia wakulima wengi kwenye vijiji hivyo kunufaika kiuchumi na kuongeza kipato zaidi kutokana na mazao yao kufika kiurahisi sokoni.

Ukitazama...

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Tanzania: Authorities Recover Gun Lost in Mvomero Clashes


Tanzania: Authorities Recover Gun Lost in Mvomero Clashes
AllAfrica.com
Morogoro — A police gun which was stolen during a fight between farmers and pastoralists in Dihinda Village in Mvomero District has been recovered. Mvomero District commissioner Betty Mkwasa said the gun was recovered after police conducted a ...

 

9 years ago

Michuzi

Kilombero Sugar: Tuzo za ATE ni hamasa kwa waajiri

 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassimu Majaliwa (Kulia) akimkabidhi kombe Meneja masoko wa kampuni ya sukari ya Kilombero Ephraim Mafuru baada ya kuibuka washindi wa tatu wa Jumla katika tuzo za muajiri bora wa mwaka zilizo andaliwa na chama cha waajiri Tanzania (ATE). Hafla hiyo ilifanyika Dar-es-Salaam, mwishoni mwa wiki. 

Kampuni ya Kilombero Sugar Ltd imesema kuwa tuzo za Mwajiri Bora zinazotolewa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), zinachangia kwa kiasi kikubwa kuleta...

 

9 years ago

Global Publishers

Kilombero Sugar yaipongeza ATE kwa kuwapa hamasa waajiri‏

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassimu Majaliwa (Kulia) akimkabidhi kombe Meneja masoko wa kampuni ya sukari ya Kilombero Ephraim Mafuru baada ya kuibuka washindi wa tatu wa Jumla katika tuzo za muajiri bora wa mwaka zilizo andaliwa na chama cha waajiri Tanzania (ATE). Hafla hiyo ilifanyika Dar-es-Salaam, mwishoni mwa wiki. Kampuni ya Kilombero Sugar Ltd imesema kuwa tuzo za Mwajiri Bora zinazotolewa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), zinachangia kwa kiasi kikubwa kuleta...

 

9 years ago

TheCitizen

Authorities recover gun lost in Mvomero clashes

A police gun which was stolen during a fight between farmers and pastoralists in Dihinda Village in Mvomero District has been recovered.

 


Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani