Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE

10 years ago

Michuzi

Mdau Salum Mwalimu ajitosa kuwania nafasi ya Ujumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Zanzibar

Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la CHADEMA Zanzibar Bi Maryam Ahmed Omar akimkabidhi fomu Salum Mwalim fomu ya kugombea nafasi ya Ujumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho kundi la Zanzibar katika hafla fupi iliyofanyika ofisi kuu za Chadema kisiwani humo. Mmoja wa wachama wa CHADEMA Zanzibar Bikwao Khamis akitia saini ya fomu ya udhamini wa Salum Mwalim (aliyesimama wa kwanza kushoto) anaegombea nafasi ya Ujumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho kundi la Zanzibar. Mwalim alichukua na...

 

10 years ago

TheCitizen

COVER: A woman’s lifelong journey to Zanzibar

>Snatched from the riverside in the Congo/Sold for beads and guns/Marched for 9 months to Bagamoyo. Trudging down, down through the fort/Down, down the sloping, stone steps/To lay down my heart. Waitu Mukuma batuanyile!

 

10 years ago

Mwananchi

Uchunguzi wachelewesha kesi Zanzibar

Kesi ya mauaji dhidi ya raia wawili wa Ufaransa imekwama kuanza kusikilizwa kwa miezi minane sasa, baada ya upande wa mashtaka kuendelea na madai ya kutokamilika kwa ushahidi wa kesi hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Zanzibar yapokea vifaa kuchunguza ebola

WIZARA ya Afya ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepokea vifaa mbalimbali vya kuchunguza wagonjwa watakaobainika kuambukizwa na ugonjwa hatari wa ebola huku ikiweka mikakati zaidi kudhibiti bandari bubu zinazotumiwa kuingiza wageni kinyume cha sheria.

 

10 years ago

San Diego Gay &Amp; Lesbian News

RGOD2: Why silence is golden for LGBT people in Tanzania and Zanzibar


San Diego Gay & Lesbian News
RGOD2: Why silence is golden for LGBT people in Tanzania and Zanzibar
San Diego Gay & Lesbian News
(Editor's note: The Rev. Canon Albert Ogle, author of the RGOD2 column, is on vacation. Today's column is written by Bryan Weiner, who recently finished his master's degree in International Policy Studies with a focus on Conflict Resolution from the Monterey ...

 

10 years ago

GPL

Yanga yaifunika Simba Zanzibar

Wachezaji wa Yanga. Na Wilbert Molandi, Unguja
KLABU ya Yanga imeendeleza rekodi nzuri ya mapato ya mechi kisiwani Zanzibar ambapo imeizidi Simba ambayo nayo ipo Zanzibar kwa ajili ya kambi ya kujiandaa na msimu mpya utakaoanza mwezi ujao.
Yanga ilifanikiwa kuingiza shilingi milioni 8.9 katika mchezo wake wa kirafiki dhidi ya KMKM, juzi Jumatano kwenye Uwanja wa Amaan, Unguja. Upande wa Simba ambao ni wapinzani wakuu wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kesi ya ugaidi haijavunja Katiba ya Zanzibar

Mahakama Kuu ya Zanzibar imesema mashtaka ya ugaidi yanaweza kufunguliwa katika mahakama yoyote baina ya pande mbili za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kama ilivyotokea kwa Wazanzibari 14 waliokamatwa Zanzibar na kufunguliwa mashtaka yao Tanzania Bara.

 

10 years ago

Sabahi Online

Zanzibar Law Society demands investigation into prisoners held on mainland


Zanzibar Law Society demands investigation into prisoners held on mainland
Sabahi Online
The Zanzibar Law Society (ZLS) has called for investigations into the Tanzanian government's alleged abuse of Zanzibari suspects charged with terrorism, Tanzania's Daily News reported Thursday (August 28th). "These are serious allegations against law ...
Lawyers Decry 'Abuse' On Terrorism SuspectsAllAfrica.com

all 2

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Zanzibar Youths 'Lack Creativity, Innovation'


Zanzibar Youths 'Lack Creativity, Innovation'
AllAfrica.com
DESPITE the ongoing efforts by the government to provide vocational training and skills to youths in colleges, many graduates still remain unemployed and inactive. "It is disappointing that youths lack creativity and innovation to self employment; instead, they ...

 

10 years ago

Michuzi

Kocha wa Zanzibar Cosmos Seif Mbuzi Aongeza Juhudi ya kunyanyua Kiwango cha Mpira wa Miguu Zenj

Kocha wa timu ya Zanzibar Cosmos Seif Mbuzi akiwa katika Mazoezi ya kawaida kwenye viwanja vya mpira wa Miguu Mnazi Mmoja Mjini Zanzibar siku ya Jumanne Aug 26,2014. Kocha wa timu ya Zanzibar Cosmos Seif  Mbuzi akiwafundisha na vijana wake jinsi ya kufunga magoli ya mbali katika Mazoezi kwenye viwanja vya mpira wa Miguu Mnazi Mmoja Mjini Zanzibar siku ya Jumanne Aug 26,2014.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

TheCitizen

Tanzania short of pathologists, says Zanzibar President

>The Zanzibar President, Dr Ali Mohammed Shein, has exhorted pathologist leaders to create conducive environment for young medical doctors to join the discipline.

 

10 years ago

GPL

Maximo, Phiri uso kwa uso Zanzibar

Kocha mkuu wa Simba Mzambia, Patrick Phiri. Na Wilbert Molandi
MAKOCHA wa klabu kongwe na pinzani za Simba na Yanga, keshokutwa Jumapili kila mmoja atatumia muda wake kwa ajili ya kusoma mbinu za mwenzake ndani ya uwanja mmoja. Hiyo itakuwa mara ya kwanza kwa makocha hao kukutana kwenye uwanja mmoja ambapo Yanga inanolewa na Mbrazili, Marcio Maximo huku Simba ikifundishwa na Mzambia, Patrick Phiri. Timu zote zinatarajiwa...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi wa Uholanzi azungumza na Rais Dk.Shein,Ikulu Zanzibar leo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania Bw.Jaap Frederiks alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa mazungumzo leo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania Bw.Jaap Frederiks alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Balozi wa Uholanzi nchini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Jumuiya ya Watanzania wanaosoma Korea ya Kusini kufanya shughuli za kijamii nyumba za kutunza wazee Zanzibar

549

Uongozi wa Jumuiya Watanzania wanaosoma Nchini Korea ya Kusini { KOIKA } ukiongozwa na Rais wake Nd. Steven Katemba ukijitambulisha rasmi kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar mara baada ya kucgauliwa rasmi mwezi Mei Mwaka huu. Nyuma ya Ndugu Steven ni Makamu wa Rais wa Jumuiya hiyo kwa upande wa Zanzibar NduguBukheit Juma.

562

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kati kati akiwa katika picha ya...

 

10 years ago

Michuzi

ZSTC na jitihada za kuinua wakulima wa karafuu Zanzibar

 SHIRIKA la Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC) ni Shirika la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar lililoanzishwa mwaka 1968 kwa madhumuni ya kununua na kuuza mazao ya wakulima kama vile karafuu, mbata, makonyo, pilipili hoho, makombe na mwani.
Shirika hilo tokea wakati huo wa miaka ya sitini limekuwa likitimiza wajibu huo na majukumu mengine  iliyopewa na Serikali kwa ufanisi na kwa uwazi ili kutoa huduma nzuri kwa wakulima na wauzaji wa mazao hayo ambayo kwa kiasi kikubwa yaliwapatia wananchi wa...

 


Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani