Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE

9 years ago

Habarileo

Wawili wauawa matukio tofauti Mpanda

WATU wawili wameuawa kwa kuchinjwa na watu wasiojulikana katika matukio tofauti wilayani Mpanda, mkoani Katavi.

 

9 years ago

Mwananchi

DC atoa siku saba kwa Ushirika Mpanda kati

Serikali wilayani Mpanda umeagiza kuitishwa kwa mkutano mkuu wa wakulima wa Chama Kikuu cha Msingi cha Wakulima wa Tumbaku cha Mpanda Kati ili kujadili madai ya malipo ya wakulima hao.

 

9 years ago

Vijimambo

magufuli mpanda

 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Mpanda wakati akiwasili kwenye viwanja vya Azimio tayari kwa mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM ambapo alihutubia wananchi hao waliojazana kwa wingi. Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa Mpanda mkoani Katavi na kuwaambia wananchi hao kuwa hatokuwa na msamaha kwa watu wasiotimiza majukumu yao.
 Waziri Mkuu Mhe. Mizengo pinda akimtambulisha Mgombea wa Urais wa CCM...

 

11 years ago

Daily News

Bandits ambush traders in Rukwa


Bandits ambush traders in Rukwa
Daily News
SIX bandits ambushed more than 30 traders who were travelling in a truck and made away with items and cash valued at 20m/-. Acting Rukwa Regional Police Commander Ferdinand Rwegasira confirmed the incident, which occurred at around 8pm on July ...

 

11 years ago

Michuzi

Zoezi la Uandikishaji wa Kaya Maskini Mpanda Mjini

 Shughuli za uandikishaji wa kaya maskini linaloendeshwa na TASAF chini ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika awamu ya tatu ya TASAF. TASAF ni mfuko ulio chini ya Ofisi ya Rais ambao umepewa jukumu la kupambana na umaskini. Hapa ni katika mtaa wa Tambukareli, kata ya Mpanda Hoteli. Zoezi hili linafanyika piakatika Halmashauri ya wilaya ya Mpanda na Halmashauri ya wilayaya Mlele.  Shughuli za uandikishaji wa kaya maskini linaloendeshwa na TASAF zikiendelea  wakati wa Zoezi la...

 

11 years ago

Habarileo

Kiwango cha maambukizi ya Ukimwi Rukwa chapanda

VIFO vinavyotokana na Ukimwi nchini vimepungua kwa asilimia 30 kutokana na upatikanaji na matumizi ya dawa za kufubaza virusi vya ugonjwa huo za ARVs.

 

11 years ago

Habarileo

Rukwa walenga kushusha maambukizi VVU hadi 2%

SHIRIKA lisilo la kiserikali Resource Oriented Development Initiative (RODI) limedhamiri kusaidia kupunguza kiwango cha maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) mkoani Rukwa kutoka asilimia 6.2 ya sasa hadi kufikia asilimia 2.0 ifikapo 2015.

 

11 years ago

Mwananchi

Sababu za ongezeko la VVU Rukwa yatajwa

Kasi ya ongezeko la wageni wanaoingia na kufanya shughuli za kiuchumi mkoani Rukwa imetajwa kwamba ndiyo kiini cha kushamiri kwa biashara ya ngono, hivyo kusababisha ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.

 

11 years ago

Michuzi

wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa yatumia shilingi milioni 8.5 kupambana na ukimwi

NA RAMADHANI JUMA  OFISI YA MKURUGENZI-KALAMBO   OFISI ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa kupitia kitengo cha UKIMWI kimetumia zaidi ya shilingi milioni 8.5 kwa ajili ya kuimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa huo katika wilaya hiyo.   Fedha hizo zimetumika kuwanunulia wanafunzi yatima wanaoishi katika mazingira magumu sare za shule, viatu pamoja vifaa vya kujifunzia ikiwemo madaftari na kalamu, ambapo Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Godfrey Sichona alikabidhi kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Wanawake Rukwa watumia kondomu kama bangili

BAADHI ya wanawake mkoani Rukwa wamebadili matumizi ya kondomu za kike kwa kuzivaa kama urembo wa bangili.

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda ahudhuria ibada ya kumweka wakfu Askofu wa Moravian Jimbo la Rukwa

PG4A0458

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpongeza Askofu Conrad Ernest Nguvumali baada ya kuwekwa Wakfu kuwa Askofu wa Kanisa la Moravian jimbo la Rukwa katika ibada iliyofanyika kwenye uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga  May 25, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A0514

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akimkabidhi zawadi ya picha, Askofu wa Kanisa la Moraviani jimbo la Rukwa, Conrad Ernest katika ibada ya kumwapisha  askofu huyo iliyofanyika  kwenye uwanja wa Nelson Mandela mjini...

 

11 years ago

Daily News

Rukwa RC tells residents to stop blaming govt


Rukwa RC tells residents to stop blaming govt
Daily News
RUKWA Regional Commissioner (RC), Eng Stella Manyanya rebuked residents of Rukwa Region especially those in rural areas, who refuse to contribute towards development projects. “It is unacceptable as you 'wananchi' have a responsibility to support ...

 

11 years ago

Habarileo

Waziri akiri changamoto maji safi Mpanda

Agrey MwanriNAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Agrey Mwanri, amesema ni asilimia 48 tu ya wakazi wa Wilaya ya Mpanda, ndio wanapata maji safi na salama.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mama, mtoto wafa kwa radi Mpanda

MAMA na mtoto wake, wakazi wa Kijiji  cha Mnyagala,  Tarafa ya Kabungu, Wilaya ya Mpanda, mkoani Katavi, wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi wakiwa njiani  kuelekea nyumbani kwao. Waliokufa...

 

11 years ago

Daily News

Rukwa residents mourn Kalambo DC Chang'a


Rukwa residents mourn Kalambo DC Chang'a
Daily News
THE residents in Rukwa region, mourning the death of Kalambo district commissioner, Moshi Mussa Chang'a (62), have said they have lost a hardworking, candid and courageous leader. A cross-section of the residents interviewed here by the 'Daily News' ...

 


Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani