Wawili wauawa matukio tofauti Mpanda
WATU wawili wameuawa kwa kuchinjwa na watu wasiojulikana katika matukio tofauti wilayani Mpanda, mkoani Katavi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo13 Jul
135 wauawa katika matukio tofauti Mbeya
WATU 135 wameuawa katika matukio tofauti yaliyotokea mkoani Mbeya katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Julai mwaka huu.
11 years ago
Habarileo04 Apr
Watu 6 wafa katika matukio tofauti
WATU sita wamekufa katika matukio tofauti, ikiwemo maiti ya mtoto mchanga wa kiume iliyookotwa ikiwa imewekwa katika mfuko wa nailoni na kutupwa maeneo ya Pugu Kajiungeni, Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Watatu wafa katika matukio tofauti
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Watano wafa katika matukio tofauti Singida
Kamanda wa polisi Mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela.
Na Mwandishi wetu, Singida
Watu watano wakiwemo watatu wa familia moja,wameuawa katika matukio tofauti,likiwemo la wanafamilia hao kukatwa katwa kwa mapanga sehemu mbalimbali za miiili yao na watu wasiofahamika.
Tukio hilo la mauaji lililowahusisha wanandoa hao lilitokea siku tano baada ya kuuawa kikatili kwa wanandoa wengine wawili,Bwana Ramadhan Lyanga (80) na Bi Aziza Ali (62) wakazi wa wilayani Iramba.
Akielezea matukio hayo,...
11 years ago
Habarileo11 Dec
Wanne Moro wafa katika matukio tofauti
WATU wanne wamekufa na watano kujeruhiwa mkoani Morogoro katika ajali tofauti ikiwemo ya watoto wawili kufa baada ya nyumba waliokuwa wamelala kuteketea kwa moto. Kwa mujibu wa Kaimu kamanda John Laswai tukio hilo lilitokea Desemba 7 saa 4 usiku katika maeneo ya Mbuga Tarafa ya Ulanga Wilayani Uranga Mkoani hapa.
11 years ago
Dewji Blog12 Jun
Watu wanne wafariki dunia katika matukio tofauti
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu, Singida
WATU Wanne mkoani Singida wamefariki dunia katika matukio tofauti,likiwemo la wanandoa wawili kuuawa na kisha nyumba yao kuchomwa moto na wao kuteketea pamoja na mali zao.
Wanandoa hao ni Ramadhani Lyanga (80) na mke wake Aziza Ally (60) wakazi wa kitongoji cha Kizega kijiji cha New Kiomboi tarafa ya Kisiriri wilaya ya Iramba.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela amesema...
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Watu watatu wafariki dunia matukio tofauti Iringa
10 years ago
Dewji Blog05 Sep
Watatu wafariki dunia katika matukio tofauti mkoani Singida
Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu, Singida
WATU watatu mkoani Singida, wamefariki dunia katika matukio tofauti likiwemo la mkulima moja kupigwa vibaya na askari mgambo akituhumiwa kuvunja mlango wa ofisi ya afisa mtendaji wa kijiji.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela alisema katika tukio la kwanza,mkulima mkazi wa kijiji cha Milade tarafa ya Kinyangiri wilaya ya Mkalama,Salum Abrahamani (42) amefariki dunia...
11 years ago
Mwananchi31 Dec
Watu wanne wafariki dunia katika matukio tofauti Dar