Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wawili wauawa matukio tofauti Mpanda

WATU wawili wameuawa kwa kuchinjwa na watu wasiojulikana katika matukio tofauti wilayani Mpanda, mkoani Katavi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

135 wauawa katika matukio tofauti Mbeya

Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi WATU 135 wameuawa katika matukio tofauti yaliyotokea mkoani Mbeya katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Julai mwaka huu.

 

11 years ago

Habarileo

Watu 6 wafa katika matukio tofauti

WATU sita wamekufa katika matukio tofauti, ikiwemo maiti ya mtoto mchanga wa kiume iliyookotwa ikiwa imewekwa katika mfuko wa nailoni na kutupwa maeneo ya Pugu Kajiungeni, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Watatu wafa katika matukio tofauti

Watu watatu wamepoteza maisha katika matukio mawili tofauti yaliyotokea mkoani Pwani, lkiwamo la mtu mmoja kuteketea kwa moto uliosababishwa na radi kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.

 

11 years ago

Dewji Blog

Watano wafa katika matukio tofauti Singida

DSC00179111

Kamanda wa polisi Mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela.

 Na Mwandishi wetu, Singida

Watu watano wakiwemo watatu wa familia moja,wameuawa katika matukio tofauti,likiwemo la wanafamilia hao kukatwa katwa kwa mapanga sehemu mbalimbali za miiili yao na watu wasiofahamika.

Tukio hilo la mauaji lililowahusisha wanandoa hao lilitokea siku tano baada ya kuuawa kikatili kwa wanandoa wengine wawili,Bwana Ramadhan Lyanga (80) na Bi Aziza Ali (62) wakazi wa wilayani Iramba.

Akielezea matukio hayo,...

 

11 years ago

Habarileo

Wanne Moro wafa katika matukio tofauti

WATU wanne wamekufa na watano kujeruhiwa mkoani Morogoro katika ajali tofauti ikiwemo ya watoto wawili kufa baada ya nyumba waliokuwa wamelala kuteketea kwa moto. Kwa mujibu wa Kaimu kamanda John Laswai tukio hilo lilitokea Desemba 7 saa 4 usiku katika maeneo ya Mbuga Tarafa ya Ulanga Wilayani Uranga Mkoani hapa.

 

11 years ago

Dewji Blog

Watu wanne wafariki dunia katika matukio tofauti

DSC0017911

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela.

Na Nathaniel Limu, Singida

WATU Wanne mkoani Singida wamefariki dunia katika matukio tofauti,likiwemo la wanandoa wawili kuuawa na kisha nyumba yao kuchomwa moto na wao kuteketea pamoja na mali zao.

Wanandoa hao ni Ramadhani Lyanga (80) na mke wake Aziza Ally (60) wakazi wa kitongoji cha Kizega kijiji cha New Kiomboi tarafa ya Kisiriri wilaya ya Iramba.

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela amesema...

 

11 years ago

Mwananchi

Watu watatu wafariki dunia matukio tofauti Iringa

Iringa. Watu watatu wamefariki dunia katika matukio tofauti, akiwamo mjamzito anayedaiwa kufariki baada ya kupigwa na mumewe.

 

10 years ago

Dewji Blog

Watatu wafariki dunia katika matukio tofauti mkoani Singida

DSC00179111

Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida, SACP  Geofrey Kamwela.

Na Nathaniel Limu, Singida

WATU watatu mkoani Singida, wamefariki dunia katika matukio tofauti likiwemo la mkulima moja  kupigwa vibaya na askari mgambo akituhumiwa kuvunja mlango wa ofisi ya afisa mtendaji wa kijiji.

Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida, SACP  Geofrey Kamwela alisema katika tukio la kwanza,mkulima mkazi wa kijiji cha Milade tarafa ya Kinyangiri wilaya ya Mkalama,Salum Abrahamani (42) amefariki dunia...

 

11 years ago

Mwananchi

Watu wanne wafariki dunia katika matukio tofauti Dar

Watu wanne wamefariki dunia katika matukio tofauti likiwemo la watoto wawili wa familia moja, walioteketea kwa moto wakiwa wamelala chumbani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani