5 years ago
CCM BlogMAJALIWA AWASILI NACHINGWEA AKIENDA RUANGWA KWA ZIARA YA KIKAZI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nz5DhL-iJxc/Xu5sodKwnqI/AAAAAAALuyM/UPzV9j6nMroAteHR-pJyM_htK8fimCrXgCLcBGAsYHQ/s72-c/8-6.jpg)
SAMIRO PHARMACEUTICAL YAFANYA SEMINA HOSPITALI YA POLISI KILWA ROAD JIJINI DAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-nz5DhL-iJxc/Xu5sodKwnqI/AAAAAAALuyM/UPzV9j6nMroAteHR-pJyM_htK8fimCrXgCLcBGAsYHQ/s640/8-6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/9-5.jpg)
Meneja Mkazi wa SAMIRO Pharmaceutical ltd Masila Mani akimkabidhi zawadi Mganga Mkuu wa Hospitali ya Polisi Kilwa Road SP. Dk. Cleophace Mtana.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/7-5.jpg)
Meneja Mkazi wa SAMIRO Pharmaceutical ltd Masila Mani akimsikiliza SSP Abdalla Mpalilo wakati akitoa shukurani zake kwa niaba ya Hospitali hiyo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6-12.jpg)
Meneja Mkazi wa SAMIRO...
9 years ago
Habarileo29 Dec
Chanzo cha migogoro ya ardhi Kilwa chaelezwa
KUKOSA uelewa juu ya Sheria ya Ardhi kwa jamii katika vijiji vya Kiranjeranje na Mandawa wilayani hapa, kumetajwa kusababisha migogoro ya mara kwa mara ya ardhi katika maeneo hayo.
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Hofu ya mapigano yatanda Kilwa
Na Bakari Kimwanga, Aliyekuwa Kilwa
HOFU ya mapigano kati ya wakulima na wafugaji imetanda wilayani Kilwa mkoani Lindi, kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni uvamizi unaofanywa na wafugaji kwa kuingiza mifugo yao mashambani na kuharibu vyanzo vya maji.
Hatua hiyo inatokana na wafugaji waliopewa eneo la malisho kushindwa kuandaa malambo kwa ajili ya kunyweshea mifugo yao.
Wakizungumza na timu ya waandishi wa habari wa za mazingira waliokwenda katika Kijiji cha Hoteli Tatu, kwa ajili ya...
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
PANAFRICAN Energy yatoa yafadhili ujenzi wa wodi ya ‘Mama Ngonjea’ hospitali ya wilaya Kinyonga Kilwa Kivinje
![](http://4.bp.blogspot.com/-5kG5YaQYV0c/VmarLsMff7I/AAAAAAADDWI/n9AdVrs_KoQ/s640/_MG_2019.jpg)
Meneja Uwajibikaji kwa jamii kutoka Kampuni ya PanAfrican Energy Andrew Kangashaki (kushoto ) na Mkurugenzi wa Wilaya ya Kilwa Twalib Mbasha wakikabidhiana mkataba wa miradi ya ujenzi wa nyumba ya mama ngojea katika hospital ya Kinyonga na ukarabati wa wodi ya uzazi mara baada ya kumaliza kusaini mikataba hiyo katika hafla fupi iliyofanyika jana Kilwa Kivinje.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4h11mrykINk/VmaIQ_IBHKI/AAAAAAADDVg/JVsm2zrdAoI/s640/8.jpg)
Meneja Uwajibikaji kwa jamii kutoka Kampuni ya PanAfrican Energy Andrew Kangashaki (wa tatu kushoto) pamoja na...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5kG5YaQYV0c/VmarLsMff7I/AAAAAAADDWI/n9AdVrs_KoQ/s72-c/_MG_2019.jpg)
PANAFRICAN ENERGY YAFADHILI UJENZI WA WODI YA ‘MAMA NGONJEA’ HOSPITALI YA WILAYA KINYONGA KILWA KIVINJE NA KUKARABATI WODI ZA UZAZI NA CHUMBA MAALUM CHA UANGALIZI WA AKINA MAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5kG5YaQYV0c/VmarLsMff7I/AAAAAAADDWI/n9AdVrs_KoQ/s640/_MG_2019.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4h11mrykINk/VmaIQ_IBHKI/AAAAAAADDVg/JVsm2zrdAoI/s640/8.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-HV0pHIzBciQ/VkZpCM7UUFI/AAAAAAAAXF8/tVjHik9dcio/s72-c/Mangua-620x308.jpg)
Polisi na Mahakama Kilwa watesa wafuasi wa UKAWA
9 years ago
Habarileo29 Oct
Bwege ashinda, Mangungu aanguka Kilwa
ALIYEKUWA Mbunge wa Kilwa Kaskazini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Murtaza Mangungu amepoteza kiti chake hicho, huku jirani yake, Selemani Bungala (Bwege) wa Kilwa Kusini kupitia Chama cha Wananchi (CUF) akirejea bungeni.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Z3UUPussstE/VQMIiB-bG7I/AAAAAAAHKHE/jask2kPL2s8/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
WAZIRI CHIKAWE AKABIDHI PIKIPIKI 35 KWA MAKATIBU KATA WA CCM WILAYA YA NACHINGWEA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z3UUPussstE/VQMIiB-bG7I/AAAAAAAHKHE/jask2kPL2s8/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-iJmhBxWDFS4/VQLq-thCewI/AAAAAAADcDE/Uy0S2fbBRtM/s72-c/PIX%2B1.jpg)
WAZIRI CHIKAWE AKABIDHI PIKIPIKI 35 KWA MAKATIBU KATA WA CCM WILAYA YA NACHINGWEA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-iJmhBxWDFS4/VQLq-thCewI/AAAAAAADcDE/Uy0S2fbBRtM/s1600/PIX%2B1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-7dg55N_bi98/VIPfXoJ3YsI/AAAAAAAG1r0/mv25cns9pX0/s1600/unnamed%2B%2869%29.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AFANYA MIKUTANO YA KAMPENI KATA ZA NACHINGWEA NA MINGOYO MKOANI LINDI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kl3m1COF7HI/VIPfa6MVfTI/AAAAAAAG1sg/LtrByFFpR5Y/s72-c/unnamed%2B(78).jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AFANYA MIKUTANO YA KAMPENI KATA ZA NACHINGWEA NA MINGOYO MKOANI LINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-kl3m1COF7HI/VIPfa6MVfTI/AAAAAAAG1sg/LtrByFFpR5Y/s1600/unnamed%2B(78).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lMWqV39UCSU/VIPfbRGhnAI/AAAAAAAG1so/0roZ9JTK9m8/s1600/unnamed%2B(79).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Madiwani Liwale ‘wamcharukia’ mtendaji
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale, Lindi wamempa siku 10 Mtendaji wa wilaya hiyo kuhakikisha anachukua hatua za kisheria kwa kamati zinazosimamia miradi. Hatua hiyo imetokana na kuchoshwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h3kcCb6aTuM/VCXAp48QPaI/AAAAAAAGmBk/h1JgpuQ7h-s/s72-c/IMG-20140926-WA0025.jpg)
Shirika la EGPAF latoa msaada wa vifaa tiba kwa Hopitali ya Wilaya ya Kilwa
Halfla ya kukabidhi vifaa hivyo vitakavyotumika katika uchunguzi wa awali wa tatizo la saratani ya mlango wa kizazi kwa akinamama ilifanyika jana katika mji wa Kilwa kivinje.
Akikabidhi vifaa hivyo ikiwamo mashine maalum ya kuchunguzia ili kutambua dalili za awali za ugonjwa huo mratibu wa afya,uzazi na jinsia wa shirika hilo,Angasyege...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Uchimbaji jasi wawatesa wazawa Kilwa
-
Malawi
-
Magufuli
-
Lazarus
-
Kisarawe
-
Chakwera
-
Yanga
-
Urais
-
Salaam
-
Ccm
-
Ziara