SAMIRO PHARMACEUTICAL YAFANYA SEMINA HOSPITALI YA POLISI KILWA ROAD JIJINI DAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-nz5DhL-iJxc/Xu5sodKwnqI/AAAAAAALuyM/UPzV9j6nMroAteHR-pJyM_htK8fimCrXgCLcBGAsYHQ/s72-c/8-6.jpg)
Meneja Mkazi wa SAMIRO Pharmaceutical ltd Masila Mani akimkabidhi zawadi Kaimu Kamanda wa Polisi Kikosi cha Afya SSP Dk. Gerald Magesa ambaye pia ni afisa Mnadhimu mkuu wa kikosi.
Meneja Mkazi wa SAMIRO Pharmaceutical ltd Masila Mani akimkabidhi zawadi Mganga Mkuu wa Hospitali ya Polisi Kilwa Road SP. Dk. Cleophace Mtana.
Meneja Mkazi wa SAMIRO Pharmaceutical ltd Masila Mani akimsikiliza SSP Abdalla Mpalilo wakati akitoa shukurani zake kwa niaba ya Hospitali hiyo.
Meneja Mkazi wa SAMIRO...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziHOSPITALI YA POLISI KILWA ROAD YAPATA VIFAA VYA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI
Balozi wa Misri Nchini, Hossam Moharam (kulia), akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kushoto), kontena lenye vifaa vya chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Jeshi la Polisi Kilwa Road. Wa kwanza kushoto ni Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Abdulrahmani Kaniki.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kushoto), akiongozana na Balozi wa Misri Nchini, Hossam Moharam (kulia), kuelekea kwenye jengo...
10 years ago
Vijimambo13 Nov
KAMPUNI YA MABIBO BIA NA JESHI LA POLISI YAFANYA SEMINA SHIRIKISHI MKOANI MOROGORO
10 years ago
GPLKAMPUNI YA MABIBO BIA NA JESHI LA POLISI YAFANYA SEMINA SHIRIKISHI MKOANI MOROGORO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JavkVuJ1MN4/VRm4eDRqY1I/AAAAAAAHOdA/VYcvCmDCP84/s72-c/unnamedm.jpg)
Kilwa Road Bar Mabingwa Safari Nyama Choma 2015 Dar One Temeke.
![](http://1.bp.blogspot.com/-JavkVuJ1MN4/VRm4eDRqY1I/AAAAAAAHOdA/VYcvCmDCP84/s1600/unnamedm.jpg)
Na Mwandishi Wetu.
KILWA ROAD Bar Dar One Temeke jijini Dar es Saalaam wameibuka mabingwa katika...
11 years ago
GPLGARI DOGO LAPINDUKA BARABARA YA KILWA, JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s72-c/kova18_232_300.jpg)
TAARIFA YA POLISI JIJINI DAR: MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA DAR WAKATI WA MAPAMBANO KATI YAO NA ASKARI WA JESHI LA POLISI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s1600/kova18_232_300.jpg)
Tukio hilo lilitokea eneo la Kariakoo mtaa wa Mkunguni na Livingstone saa 3.00hrs usiku. Wakati wa tukio hilo umeme ulikuwa hakuna na mlalamikaji alikuwa anatumia taa za...
11 years ago
MichuziNHIF yafanya afya bonanza katika Wilaya ya Temeke,jijini Dar
10 years ago
Dewji Blog10 Jun
“Kilwa Road Pub” yashinda shindano la Fanyakweli Kiwanjani
Bi. Veronica Mbilinyi (kulia) mhudumu wa chapa ya Tusker toka SBL akikabidhi zawadi ya fulana, mfuko na bia za bure kwa Bi. Anjelina Urassa ambaye ni mpenzi wa bia ya Tusker aliyejumuika na marafiki zake kuipongeza baa ya wiki “Kilwa road Pub” iliyopo Kurasini jijini Dar es salaam ambayo ilishinda na kuwa baa ya nne katika shindano la “Fanya Kweli Kiwanjani” linalodhaminiwa na bia ya Tusker.
Bi. Magret Mjata akijibu swali la kwanini anapenda kutumia kinywaji cha Tusker ambapo alijishindia...
10 years ago
MichuziDEGE ECO - VILLAGE YAFANYA VYEMA KATIKA MAONYESHO YA SABASABA JIJINI DAR
Meneja Mauzo wa Dege Eco - Village, Bi. Catherine Mhina alisema kwamba Dege Eco Village wanafurahi sana kuweza kuwafikia watanzania wengi ambao walikuwa na shauku ya kujua huduma wanazo zitoa iki ni pamoja na kununua nyumba wanazojenga katika mradi wao."Tunashukuru Kila mmoja alikuwa akipita hapa...