Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


“Kilwa Road Pub” yashinda shindano la Fanyakweli Kiwanjani

Pic 3

Bi. Veronica Mbilinyi (kulia) mhudumu wa chapa ya Tusker toka SBL akikabidhi zawadi ya fulana, mfuko na bia za bure kwa Bi. Anjelina Urassa ambaye ni mpenzi wa bia ya Tusker aliyejumuika na marafiki zake kuipongeza baa ya wiki “Kilwa road Pub” iliyopo Kurasini jijini Dar es salaam ambayo ilishinda na kuwa baa ya nne katika shindano la “Fanya Kweli Kiwanjani” linalodhaminiwa na bia ya Tusker.

Pic 5

Bi. Magret Mjata akijibu swali la kwanini anapenda kutumia kinywaji cha Tusker ambapo alijishindia...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

M.K Pub-yafunga shindano la “fanyakweli kiwanjani” kwa kishindo jijini Dar

DSC_1259

Meneja wa chapa ya Tusker toka kampuni ya bia ya Serengeti, Bi. Sialouise Shayo (kulia) akitoa zawadi ya fedha taslim Tsh.100,000/= kwa wahudumu wa baa ya MK iliyopo Kinondoni jijini Dar wakati wa sherehe za kuipongeza baa hiyo ambapo baa hiyo illibuka mshindi wa mwisho wa shindano la Fanyakeli Kiwanjani. Zawadi hiyo ni kwa ajili ya wahudumu wote wa baa hiyo baada ya kufanya kweli kwa kutoa huduma nzuri kwa wateja wa Tusker waliofika kiwanjani hapo. Wakipokea zawadi hiyo kwa niaba ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Friends PUB ya Segerea na Checkpoint Chanika baa za wiki Tusker Fanyakweli Kiwanjani

CAMPIX PRODUCTION

Mkazi wa Kigogo Fresh-Chanika Bi. Mazoea Kombo (katikati) akipokea zawadi yake ya fulana toka kwa Msimamizi wa mauzo ya Kampuni ya bia Serengeti kanda ya Chanika Bw. Tesha Stanslaus (Kulia) katika hafla ya kuipongeza baa ya Check Point iliyopo Chanika jijini Dar es salaam mara baada ya baa hiyo kuibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Bi. Mazoea aliimwagia sifa bia hiyo kuwa ni laini na haimchoshi.

Kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kisuma na Safari Resort Baa za wiki kwenye shindano la Tusker Fanyakweli Kiwanjani

3

Mkazi wa Mwembeyanga Bw. Frank Kabisi (katikati) akifurahia zawadi yake ya mfuko na Tisheti alizopewa wakati wa wa hafla ya kuipongeza baa ya Kisuma iliyopo Mwembeyanga Tandika mara baada ya baa hiyo kuibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker toka kampuni ya bia ya Serengeti. (Kushoto) ni Mshereheshaji wa promosheni ya Fanyakweli Kiwanjani na Tusker Gadner Habbash na (kulia) ni balozi wa bia hiyo Bi. Veronica Mbilinyi.

4b

Mkazi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tusker yaitangaza “New Jambo Baa” kama mshindi wa tatu wa shindano la “Fanyakweli Kiwanjani”

7

Afisa Mauzo wa SBL, eneo la Manzese – Mabibo, Bi. Anna Msomba (katikati) na Gadner G Habashi (kulia) wakimkabidhi, Mercy Lupindu zawadi ya fulana wakati wa hafla ya kuipongeza baa ya “New Jambo” iliyopo  Mabibo jijini Dar es Salaam ambayo iliibuka mshindi wa tatu wa Shindano la Fanyakweli Kiwanjani.

12

Afisa Mauzo wa SBL, eneo la Manzese – Mabibo, Bi. Anna Msomba, (kulia) akipozi katika picha ya pamoja na wahudumu, wateja  na wafanyakazi wa Efm, wakati wa kuipongeza baa ya wiki ya “New Jambo”...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mawela ya Sinza na Havannah ya Segerea zaibuka baa za wiki shindano la Tusker Fanyakweli Kiwanjani

CAMPIX PRODUCTION

Meneja bia ya Tusker SBL, Nandi Mwiyombella (kushoto) akikabidhi zawadi ya mfuko wenye fulana na kalamu kwa mkazi wa Segerea mwisho Bw. Rodride Nyange katika hafla ya kuipongeza baa ya Havannah iliyopo Segerea mwisho jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Kampeni hiyo yenye nia ya kuhamasiha baa za mitaa inayotuzunguka kufanya kweli kwenye upande wa huduma inatarajiwa pia kuwafikia wakazi mbalimbali wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampeni ya TUSKER ‘Fanyakweli Kiwanjani’ sasa kutimua vumbi mikoani

Tusker logo

Kampeni maarufu ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani inatarajia kutimua vumbi wiki hii kwa wakazi wa jiji la Dar huku ikitanua wigo wake mikoani baada ya kufanya vizuri kwenye kipindi chake cha kwanza.

Kampeni hii inayoletwa kwenu na Kampuni ya bia ya Serengeti imejipanga kusaidia baa mbalimbali za mitaa tunayoishi na kuzipigia promo ya huduma zake kwa wapenzi mbalimbali wa kinywaji cha Tusker.

Akizungumza kuhusiana na mchakato mzima  wa Kampeni hiyo Meneja chapa bia ya Tusker Bi. Sialouise Shayo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Baa ya Baracuda, Tabata na Check Point ya Chanika washindi wa wiki ‘Fanyakweli Kiwanjani’

CAMPIX PRODUCTION

Mpenzi wa bia ya Tusker Daniel Mawi (31)(wa pili kulia) akizungumza na mshereheshaji wa kampeni ya Fanyakweli kiwanjani Gadner Habash (wa kwanza kulia) wakati kampeni hiyo ilipofunga kambi katika baa ya Check point Chanika kuipongeza baa hiyo iliyoibuka mshindi wa wiki kwenye shindano la Fanyakweli Kiwanjani linaloendeshwa na bia ya Tusker. Anayekabidhi fulana (wa kwanza kushoto) ni balozi wa bia ya Tusker Veronica Mbilinyi na wa pili kushoto ni mkazi wa Chanika ndugu John Abel.

CAMPIX PRODUCTION

Mpenzi wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tusker Fanyakweli Kiwanjani yawakuna wakazi wa Mbezi Beach na Kimara wiki hii

CAMPIX PRODUCTION

Mteja wa bia ya Tusker Bi. Elizabeth Ulomi (katikati) akizungumza na mshereheshaji wa kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habash (kushoto) kabla ya kupokea zawadi yake ya mfuko na fulana wakati wa hafla ya kuipongeza baa ya Coast Pub iliyopo Tangi Bovu-Mbezi beach jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Akijiandaa kutoa zawadi hiyo (kulia) ni Msimamizi wa Mauzo ya Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya...

 

10 years ago

Michuzi

Kilwa Road Bar Mabingwa Safari Nyama Choma 2015 Dar One Temeke.

Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Kilwa Road jijini Dar es Salaam, Lucas Mgaya(wa pili kushoto) akimkabidhi kikombe mchoma nyama mkuu wa Bar Chamanzi, Shaban Seif mara baada ya kuibuka mabingwa katika mashindano ya Safari Nyama Choma kitongoji cha Dar One Temeke Dar es Salaam yaliyofanyika katika Uwanja TCC Chang’ombe mwishoni mwa wiki.Kushoto ni Meneja wa bia ya Safari Lger, Edith Bebwa.
Na Mwandishi Wetu.
KILWA ROAD Bar Dar One Temeke jijini Dar es Saalaam wameibuka mabingwa katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani