5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SqosI_WlAEY/XuX8Uqb09EI/AAAAAAALtyM/ZdMs0Ia_v98uEYOeqiExS13KKxueZwM1ACLcBGAsYHQ/s72-c/picha-3AAA-2-768x512.jpg)
DKT. KIGWANGALLA AELEZA MAFANIKIO YA CCM JIMBO LA NZEGA VIJIJINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-SqosI_WlAEY/XuX8Uqb09EI/AAAAAAALtyM/ZdMs0Ia_v98uEYOeqiExS13KKxueZwM1ACLcBGAsYHQ/s640/picha-3AAA-2-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/picha-4AAA-1024x684.jpg)
5 years ago
CCM BlogSIKONGE YAAGIZWA IANZE KUTIBU WANANCHI KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YAKE
Kauli hiyo imeolewa jana na Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Peres Magiri wakati akitoa salamu za Serikali katika Kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya tatu
Alisema wakati wakiendelea kusubiri vifaa tiba na vifaa vingine kwa ajili ya Hospitali hiyo ya Wilaya ni vema wakaanza na utoaji wa huduma za matibabu kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nizoWeGM5j4/XsU4u7mgixI/AAAAAAALq_w/0l8kwasoo2MKKcnHyFnQosLKKGTXTvbVgCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
DKT. MAGUFULI AWASALIMIA WANANCHI WA NZEGA TABORA PAMOJA NA WANANCHI WA SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nizoWeGM5j4/XsU4u7mgixI/AAAAAAALq_w/0l8kwasoo2MKKcnHyFnQosLKKGTXTvbVgCLcBGAsYHQ/s640/9.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na mtoto aliyejulikana kwa jina moja la Rahma mara baada ya kuwasalimia Wananchi katika eneo la Mataa mkoani Singida.
![](https://1.bp.blogspot.com/-4BsQmB6UDrE/XsU4uixeJmI/AAAAAAALq_s/qrT9yi_YgMkFjMXpPeZdxa0H10Q-eidowCLcBGAsYHQ/s640/8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-AMdnGau1HU0/XsU4rm1A_0I/AAAAAAALq_k/8eX19cqr3U4OyMLvUMioNBEepXKh9oI7ACLcBGAsYHQ/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
StarTV06 Jan
Katibu wa Itikadi, Siasa, Uenezi Uyui akanusha Madai Ya Mbunge Kufungiwa
Katibu wa Itikadi, Siasa na uenezi wilaya ya Uyui mkoani Tabora Said Katalla amekanusha uvumi unaoenezwa kuwa Mbunge wa Chama cha Mapindizi jimbo la Tabora Kaskazini Almas Maige amefungiwa Ubunge kwa muda wa miezi sita.
Uvumi huo umeeleza kuwa Almas Maige amefungiwa ubunge kutokana na kukutwa na kashfa ya sakata la makontena 349 yaliyobainiwa na Waziri mkuu Kassim Majaliwa kuingizwa nchini kinyemela katika bandari ya Dar es Salaam bila kulipiwa kodi.
Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Uyui...
9 years ago
StarTV04 Jan
Naibu waziri Jaffo atoa siku 28 kufunguliwa kwa Majengo Ya Upasuaji Nzega
Naibu Waziri ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa Selemani Jafo ,ameiagiza Halmashauri ya wilaya ya Nzega Mkoani Tabora, ifikapo January 31 mwaka huu majengo mawili ya upasuaji katika vituo vya Afya Bukene na Itobo yawe yamefunguliwa tayari kwa kuanza kutoa huduma kwa wananchi.
Majengo hayo yenye zaidi ya miaka miwili tangu kukamilika kwake bado wananchi wamendelea kusota kuifuata huduma ya Afya umbali wa kilometa 15 katika ...
9 years ago
StarTV21 Dec
Ajali ya basi igunga Mtu mmoja afariki, 38 wajeruhiwa
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 38 kujeruhiwa baada ya Basi la Allys Coach lenye namba za usajili T 560 AKM lililokuwa likitokea Igunga kuelekea Mwanza kuyumba na kuanguka katika kijiji cha Igogo kata ya Nanga wilayani Igunga Mkoani Tabora.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa 12 na nusu asubuhi na chanzo chake kikidaiwa kuwa ni mwendo kasi wa dereva kutaka kulipita gari la mizigo.
Ajali hizi zimekuwa zikigharimu maisha ya watu na wengine kuwaachia ulemavu wa kudumu,sababu zikielezwa ni...
9 years ago
Habarileo20 Dec
Dereva basi lililoua Urambo mahakamani
DEREVA wa basi la Allys Star, Alfa Haji (37) lililokuwa likitokea katika wilaya ya Kaliua kuelekea jijini Mwanza amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wilaya ya Urambo mkoani Tabora, akikabiliwa na mashitaka 22 ikiwemo kusababisha vifo vya watu wanane na majeruhi 13.
9 years ago
Habarileo15 Dec
Mwalimu Igunga atuhumiwa kutoroka na fedha za shule
MWALIMU Paulo Masabila wa shule ya sekondari Igunga wilayani hapa mkoani Tabora, anatafutwa na baadhi ya wazazi kwa tuhuma za kuondoka na fedha alizowachangisha akidai ni kwa ajili ya safari ya wanafunzi kwenye mbuga za wanyama.
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Jeshi la Polisi Igunga lashikiliwa Ng’ombe 320 waliovamia mashamba ya wakulima na watu saba watuhumiwa kuharibu mali na kujeruhi
Ng’ombe wa wafugaji wa kabila la Kitaturu waishio kijiji cha Isakamaliwa, Wilayani Igunga wakiwa katika kituo cha Polisi Igunga wakiwa chini ya ulinzi baada ya kuvamia mashamba ya wakulima wa kijiji hicho.
Baadhi ya wakulima wa kijiji cha Isakamaliwa ambao mashamba yao yalivamiwa na mifugo hiyo wakiwa kituo cha Polisi wakisubiri maelekezo ya askari mara baada ya kuwafikisha Ng’ombe waliovamia mashamba yao na kuwasababishia hasara.
Na Jumbe Ismailly,Igunga
JESHI la polisi wilayani...
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Kijana aliyetuhumiwa kufanya jaribio la wizi aambulia kipigo cha ‘Mbwa mwizi’ na kulazwa Hospitali ya Wilaya ya Igunga
Kijana aliyefanya jaribio la kuiba na kutofanikiwa zaidi ya kuambulia kipigo cha ‘Mbwa mwizi’ kutoka kwa wananchi wenye hasira kali mjini Igunga akipatiwa huduma ya kwanza mara tu baada ya kufikishwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Mtuhumiwa huyo kabla ya kushushwa kwenye gari la polisi.
Na Jumbe Ismailly, Igunga
KIJANA mmoja ambaye hakuweza kutambulika mara moja amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga,...
9 years ago
IPPmedia11 Dec
Urambo tobacco farms hot-bed for child labour
IPPmedia
A research by International Labour Organization (ILO) has revealed a close connection between primary school girls drop-out with child labour in tobacco sector in Urambo District. Staff Writer LUCAS LUKUMBO reviews the research …. The research ...
9 years ago
AllAfrica.Com02 Dec
Tanzania: Eight Caged Thirty Years Over Nzega Gold Bar Theft
AllAfrica.com
NZEGA Resident Magistrate has sentenced eight people to 30 years imprisonment after being found guilty of gold bars theft. The Resident Magistrate, Sylvester Kainda, also set free other eight after they were not found guilty in the case in which they ...
9 years ago
StarTV01 Dec
Watu 8 wahukumiwa kifungo cha miaka 32 Nzega
Mahakama ya Hakimu mkazi wilaya ya Nzega Mkoani Tabora imewahukumu watu wanane kwenda jela miaka 32 kwa kosa la kufanya uvamizi na kuiba dhahabu Tofali sita na nusu zenye thamani ya zaidi Billion 4 katika mgodi wa dhahabu wa Resolute uliopo wilayani Nzega na wengine wanane wakiachiwa huru baada ya kuonekana hawana hatia.
Akitoa hukumu hiyo hakim mkazi wilaya Silyvester Kainda ameiambia mahakama hiyo kuwa washitakiwa Mawazo Saliboko ,Edward Bunera ,Shaaban Amuru,John Ndaki,Pius Shija ,ALoyce...
9 years ago
StarTV18 Nov
Wakazi Isunga Nzega wailalamikia Serikali Ubinafsishaji Mgodi Wa Kijiji
Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Isunga wilayani Nzega mkoani Tabora wanaojihusisha na uchimbaji mdogo wa dhahabu wameilalamikia Serikali ya kijiji kwa kutaka kuubinafsisha mgodi huo kwa kampuni ya uwekezaji ya Duva bila kutoa taarifa rasmi kwa wananchi.
Hofu hiyo inakuja baada ya kuona kampuni ya Duva ikiingia mkataba na kijiji hicho wa kuchenjua mchanga wa dhahabu bila wananchi kupewa taarifa kama sheria za Serikali za mitaa zinavyoelekeza.
Shuguli kubwa za kiuchumi katika kijiji hicho ni...
10 years ago
Habarileo07 Aug
Kijiji cha Milenia chakoleza kasi ya maendeleo Uyui
WANANCHI wanaoishi katika maeneo mbalimbali ya wilaya ya Uyui mkoani Tabora wameanza kunufaika na Mradi wa Kijiji cha Milenia unaotekelezwa katika kijiji cha Mbola kilichoko wilayani humo.
-
Malawi
-
Magufuli
-
Lazarus
-
Kisarawe
-
Chakwera
-
Yanga
-
Urais
-
Salaam
-
Ccm
-
Ziara