Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi Isunga Nzega wailalamikia Serikali Ubinafsishaji Mgodi Wa Kijiji

Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Isunga wilayani Nzega mkoani Tabora wanaojihusisha na uchimbaji mdogo wa dhahabu wameilalamikia Serikali ya kijiji kwa kutaka kuubinafsisha mgodi huo kwa kampuni ya uwekezaji ya Duva bila kutoa taarifa rasmi kwa wananchi.

Hofu hiyo inakuja baada ya kuona kampuni ya Duva ikiingia mkataba na kijiji hicho wa kuchenjua mchanga wa dhahabu bila wananchi kupewa taarifa kama sheria za Serikali za mitaa zinavyoelekeza.

Shuguli kubwa za kiuchumi katika kijiji hicho ni...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Wakazi Mbeya wailalamikia TANESCO kwa kukata Umeme bila taarifa.

Shirika la Umeme nchini TANESCO mkoa wa Mbeya limelalamikiwa  na wananachi juu ya hatua yake ya kukata umeme kwa taarifa na kuirejesha  huduma hiyo bila taarifa hali inayochangia kuharibu vifaa vya umeme majumbani na ofisini.

Malalamiko ya wananchi hao yamekuja katika kipindi hiki ambapo kumekuwa na matukio ya mara kwa mara ya majengo kuteketea kwa moto katika maeneo mbali mbali nchini matukio ambayo yamekuwa yakihusishwa na hitilafu ya umeme.

 

Tatizo la kukatika mara kwa mara kwa huduma ya...

 

10 years ago

StarTV

Ujenzi Jijini Dar, baadhi wa Wabunge wailalamikia serikali.

Na Blaya Moses,

Dodoma.

 

 

Baadhi ya wabunge wameitaka serikali kuzingatia maagizo ambayo yamekuwa yakitolewa na wabunge hususani suala la kutoendeleza ujenzi wa majengo makubwa katika jiji la Dar Es Salaam ili kupunguza msongamano ambao umekuwa ukileta hasara ya zaidi ya shilingi bilioni nne.

 

Aidha wabunge hao wameigiza wizara ya fedha kumaliza madeni ya wakandarasi kutokana na madeni hayo kuwa sugu na kuanza kusababisha vifo miongoni mwa wakandarasi kutokana na msongo wa mawazo juu ya...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Jirarani, Naisinyai Simanjiro wadaiwa kuvamia mgodi

Wakazi wa Kijiji cha Jirarani na mgodi wa Madini ya Tanzanite cha Naisinyai wilayani Simanjiro wanadaiwa kuvamia eneo la mgodi huo na kuzuia njia ya kuelekea lango kuu la mgodi pamoja na kufanya uharibifu wa miundombinu ya maji kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kupinga zoezi linaloendelea la upunguzwaji wa wafanyakazi wa mgodi huo.

Mashuhuda wanasema takribani watu mia moja wanaotajwa kuwa na asili ya wafugaji wa kimaasai wamezingira eneo hilo kabla ya vikosi vya ulinzi vya polisi kuwataka...

 

10 years ago

StarTV

Wakazi kijiji cha Baga watapeliwa sh. mil. 2.5 na ‘Vishoka’ wa Tanesco.

Na Mbonea Herman,

Tanga.

 

Mtu mmoja aliyejiita kuwa mfanyakazi wa Shirika la Umeme nchini TANESCO amewatapeli wakazi wa kijiji cha Baga shilingi milioni 2.5 fedha alizokuwa akichangisha kwa ajili ya kuwaunganishia huduma ya umeme kijijini hapo.

 

Kutokana na hali hiyo TANESCO Mkoa wa Tanga limewatahadharisha wananchi kuwa makini na watu wanaojiita kuwa ni vishoka wa shirika hilo ambao dhamira yao kuu ni kuwatapeli wananchi.

 

Ilikuwa ni kazi kuzingoa nguzo zilizokuwa zimejengwa na watu...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Kijiji cha Naiyobi Ngorongoro walalamika kero ya maji.

Wakazi wa Kijiji cha Naiyobi wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wamelalamikia kero ya uhaba wa maji inayosababisha kukesha kwenye bomba la kijiji kwa takribani siku tatu wakisubiri huduma hiyo.

Wakizungumza na kituo hiki wananchi hao wamesema kwa muda mrefu wamekua wakiteseka kupata huduma za maji huku akinamama wakilazimika kukesha visimani na watoto wadogo wakisubiri maji.

Wanakijiji Daniel Sereki na Rehema Laizer wamekwenda mbali zaidi na kudai kushuhudia tukio la mama mjamzito katika eneo...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kuwapatia eneo wachimbaji wadogo Nzega

SERIKALI imeahidi wachimbaji wadogo katika mgodi mdogo wa dhahabu Mwanshina wilayani Nzega, mkoani Tabora kuwapatia leseni ya uchimbaji, ikiwemo kuwapatia eneo maalumu la kuchimba.

 

5 years ago

Michuzi

MRADI WA UMEME JUA UNAVYOWAKOMBOA WAKAZI WA KIJIJI CHA MPALE WILAYANI KOROGWE

Gharama za maisha kwa wakazi wa kijiji cha Mpale, wilayani Korogwe mkoani Tanga, zimetajwa kupungua kutokana na uwepo wa umeme jua unaozalishwa na kusambazwaa na kampuni ya Ensol 
Wakizungumza na Michuzi Blog,wakazi hao wamesema awali iliwalazimu kutumia mafuta ya taa ambayo yaligharimu shilingi kwa siku, hali ambayo imekuwa ikiwarudisha nyuma kimaendeleo.
Aidha wamesema licha ya nishati hiyo kuwapunguzia gharama za maisha pia imekuwa chachu ya wao kujikwamua kiuchumi kama ilivyo kwa mzee...

 

10 years ago

Michuzi

Wakazi wa Kijiji cha Kingwang’oko Tabora wapatiwa huduma za mawasiliano na Airtel

Wakazi wa Kijiji cha Kingwang’oko Tabora wapatiwa huduma za mawasiliano na Airtel WAKAZI wa Kijiji cha Kigwang’oko Wilaya ya Ulyankulu,wameipongeza kampuni ya Airtel kwa kuwajengea mnara wa mawasiliano na hivyo kuondokana na tatizo sugu la mawasiliano lililokuwa likiwakabili.  Wakazi hao wamekuwa wakifanya shughuli zao bila ya mawasiliano ya uhakika kwa muda mrefu jambo linalotajwa kukwamisha shughuli nyingi za maendeleo kijijini hapo.  Wanakijiji hao wameeleza kuwa, wamekuwa wakipata tabu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani