Wakazi wa Kijiji cha Kingwang’oko Tabora wapatiwa huduma za mawasiliano na Airtel
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ffqvx4jdF-o/VbEqWBptAxI/AAAAAAAHrVE/k9L98A2rH7s/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
Wakazi wa Kijiji cha Kingwang’oko Tabora wapatiwa huduma za mawasiliano na Airtel WAKAZI wa Kijiji cha Kigwang’oko Wilaya ya Ulyankulu,wameipongeza kampuni ya Airtel kwa kuwajengea mnara wa mawasiliano na hivyo kuondokana na tatizo sugu la mawasiliano lililokuwa likiwakabili. Wakazi hao wamekuwa wakifanya shughuli zao bila ya mawasiliano ya uhakika kwa muda mrefu jambo linalotajwa kukwamisha shughuli nyingi za maendeleo kijijini hapo. Wanakijiji hao wameeleza kuwa, wamekuwa wakipata tabu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziAirtel yaweka minara miwili ya mawasiliano Ruvuma kijiji cha Muhukulu na Mkenda
na kuwataka raia wa Tanzania wa vijiji vya Muhukulu, Lalia, Magwamila,
Nakwale, Nambendo, Mkenda, Makwaya, Miputa vyote vya Mkoani Ruvuma na wale wote wanaoishi mipakakani mwa Msumbiji na Tanzania kuwa Walinzi kwa mitambo ya Airtel inayowekwa kwa ajili ya mawasiliano isiharibiwe na watu wasiopenda maendeleo.
Mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Joseph Mkirikiti...
11 years ago
MichuziAirtel yawezesha mafunzo kwa wafanyakazi wa Afya kijiji cha Mbola Tabora
11 years ago
GPLAIRTEL YAWEZESHA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA AFYA KIJIJI CHA MBOLA TABORA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-azZA5E--RyE/VlYkIeDiOwI/AAAAAAAIIaM/bove7Pc73jY/s72-c/40c8b8d5-8024-4fe4-8b75-13e973062579.jpg)
Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi
10 years ago
MichuziHatimaye wakazi wa kijiji cha Amani mkoani Tabora kuanzia usiku wa leo watalala bila kero ya kunguni!
11 years ago
GPLWAKAZI WA KINONDONI WASOGEZEWA ZAIDI HUDUMA ZA MAWASILIANO
10 years ago
GPLAIRTEL YAWAFIKISHIA WANAKIJIJI WA SIGUNGA KIGOMA HUDUMA ZA MAWASILIANO
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-L18JCeoEIno/VeWCg5qi2sI/AAAAAAAH1hA/WJ5UDUGsQNE/s72-c/001.VODASHOP.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WAENDELEA KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA MAWASILIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-L18JCeoEIno/VeWCg5qi2sI/AAAAAAAH1hA/WJ5UDUGsQNE/s640/001.VODASHOP.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hYGJE0t9XGM/VeWCgngzMBI/AAAAAAAH1g8/JjAO1eslbtg/s640/002.VODASHOP.jpg)
10 years ago
MichuziAIRTEL YAZINDUA MNARA WA HUDUMA ZA MAWASILIANO ARUMERU WILAYANI ARUSHA