Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA KAHAMA YARIDHISHWA KASI YA UJENZI MRADI WA MAJI NGOGWA - KITWANA


Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Kahama ikiongozwa na Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Anamringi Macha imetembelea na kukagua ujenzi wa Mradi wa Maji Safi Ngogwa – Kitwana katika halmashauri ya Mji Kahama ambao unatarajiwa kukamilika Mwezi Agosti mwaka huu ukigharimu jumla ya shilingi Bilioni 2.4
Mradi huo unasimamiwa na kutekelezwa  na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Shinyanga (SHUWASA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama (KUWASA) pamoja na...

 

5 years ago

Michuzi

HUHESO FOUNDATION YATOA MSAADA WA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KAHAMA


Shirika la Huheso Foundation lenye makao yake Malunga Wilayani Kahama mkoani Shinyanga limetoa msaada wa vifaa vya kujikinga na Maambukizi ya virusi vya Corona vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni nne katika halmashauri ya Mji wa Kahama.
Akikabidhi vifaa hivyo leo Jumatatu Juni 1,2020 kwa Mkuu wa wilaya ya Kahama Anamringi Macha, Mkurugenzi wa shirika la Huheso Foundation na Huheso Fm Radio Bw. Juma Mwesigwa amesema vifaa hivyo ni kwa ajili ya kuunga mkono juhudi zinazofanywa na...

 

9 years ago

Michuzi

Waraghbishi wilayani kahama wapania Kumkomboa Mwanamke

Na Krantz Mwantepele .Kahama
Wanawake ni nguzo muhimu sana katika uchumi wa watanzania wengi. Mwanamke ana ushawishi mkubwa na hasa pale anapoamua kuwa chachu ya maendeleo. Na hasa anapowezeshwa kufanya hivyo.


Katika kufanikisha hili waraghbishi wameamua kutoa mafunzo ya uraghbishi kwa makundi mengine ya jamii. Mojawapo ya kundi hilo ni la wanawake. Waraghbishi wapya toka katika kijiji cha Nyandekwa, kati ya hao wapo 9 ambao ni wanawake.

Mmoja wao ni Anna Alphonce, Mwenyekiti wa kitongoji cha...

 

9 years ago

Michuzi

Waraghabishi wakoleza kasi ya mabadiliko wilayani Kishapu

 Watendaji wa Kituo cha Maendeleo cha Jamii ya Uchunga wilayani Kishapu wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi mbele ya jengo la kituo hicho likiwa limekamilika kutokana na michango yao ya fedha na nguvu kazi. 
Na Krantz Mwantepele ,Kishapu 
Mabadiliko katika jamii yoyote kwa kiasi kikubwa huchangiwa na ongezeo la mahitaji ya binadamu katika mambo mbalimbali. Kwamba, kadri dunia inavyopitia mabadiliko, kadiri ile ile changamoto, mahitaji na huduma katika jamii husika huongezeka.
Ili kufikia...

 

9 years ago

Michuzi

Raia Waamirifu wilayani Kahama Wakerwa na Utoro

Mdau Krantz Mwantepele akizungumza na Raia waamilifu kutoka kijiji cha Kilago wilayani Kahama ambapo nilipata nafasi ya kujua mambo mbalimbali ikwemo mchango wa uraghabishi katika kijiji hicho katika sekta ya elimu 
Na Krantz Mwantepele , Kahama
Utoro ni tabia ya kuondoka au kutokufika mahali mara kwa mara bila ya kutoa taarifa. Tabia hii ipo kwenye maeneo ya makazini pamoja na shuleni. Katika baadhi ya kata za wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga. 
Tabia hii imekuwa kero kwa wanajamii wa kata za...

 

9 years ago

Mwananchi

DED Kahama afafanua ujenzi stendi mpya

Halmashauri ya Mji wa Kahama mkoani Shinyanga, imetoa ufafanuzi juu ya ujenzi wa stendi mpya ya mabasi itakayojengwa eneo la Mbulu baada ya iliyopo kulemewa na wingi wa magari, hali inayosababisha kuwapo kwa msongamano.     

 

9 years ago

CCM Blog

MRAGHABISHI MAIMUNA SAIDI AGEUKA SHUJAA WA KIJIJI CHA MWIME KAHAMA

Na Krantz Mwantepele ,       

Ziara niliyofanya katika Kijiji cha Mwime kata ya Mwendakulima  wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga mwishoni wa  mwezi Novemba mwaka huu ,ilinipa mwanga wa jinsi ambavyo wananchi wakiamua kuchukua hatua wanaweza kubadili mfumo mzima na kuweza kujiletea maendeleo katika Nyanja zote za maendeleo .Kijiji cha Mwime ambacho wananchi wengi wanajihusisha na biashara, uchimbaji wa madini na kilimo cha pamba na wapo katika eneo ambalo Barick Buzwagi wanafanya uchimbaji...

 

9 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara achinjwa Maswa

MFANYABIASHARA mmoja, Robert Dwese (43), mkazi wa Biafra Maswa Mjini ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni na usoni na kufa papo hapo.

 

9 years ago

StarTV

Daktari wa Hospitali ya Bukombe afukuzwa kazi kwa kukataa kutoa huduma

 

Mkuu wa Wilaya ya Bukombe Amani Mwenegoha amemfukuza kazi daktari wa Hospitali ya Wilaya ya Bukombe Johanne Mkobwe kwa madai ya kukataa kutoa huduma kwa mtoto wa miezi sita aliyefikishwa Hospitalini hapo akiwa na hali mbaya kiafya.

Mtoto huyo Johson Manyama alifikishwa majira ya saa kumi asubuhi novemba 22 na wazazi wake na kumkuta daktari wa zamu amelala na alipoamshwa aliwafukuza na kuwaambia wasubiri hadi saa mbili yeye anapumzika.

Inadaiwa mtoto Johson alizidiwa mahira ya saa kumi...

 

9 years ago

Bongo5

Mpoto awatembelea waliofukiwa ardhini kwa siku 41 Kahama

11939499_921487764605111_371047303_n

Mrisho Mpoto amewatembelea wachimbaji watano kati ya sita walionusurika kifo baada ya kufukiwa na kifusi kwa siku 41 katika mgodi huko wilayani Kahama walikolazwa.

11939499_921487764605111_371047303_n

Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM leo, Mpoto alisema ameguswa na suala hiyo la kustaajabisha.

“Nilikuwa Shinyanga sasa nikaona kwa sababu hapa Kahama ni karibu ngoja niwatembelee, ni kama sehemu ya ibada. Katika safari ya maisha kila kitu kinawezekana, usipokuwa waliongea sentensi moja kwamba ‘maiti za kwetu madini...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Bariadi waaswa kuvumilia viongozi waliowachagua katika kutekeleza ahadi zao.

 

Wakazi wa wilayani Bariadi mkoani Simiyu waaswa kuwa na subira katika utekelezaji wa ahadi za viongozi waliochaguliwa kwa sababu haziwezi kutekelezwa kwa wakati mmoja bali kwa mpangilio maalumu na kuzingatia vipaumbele vya wananchi.

Ushauri huo umetolewa na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi wilayani Bariadi Bi.  Juliana Mahongo katika kikao wadau wa maendeleo kilicholenga kumpongeza Rais John Pombe Magufuri kwa ushindi.

Bi. Mahongo amesema anaimani kubwa na viongozi waliochaguliwa kupitia...

 

9 years ago

StarTV

Zahanati ya NK mjini Kahama yafungwa kwa ukiukwaji wa kanuni za tiba.

Idara ya Afya ya mji wa Kahama mkoani Shinyanga imeifunga zahanati ya NK inayomilikiwa na Wakorea pamoja na Wachina kwa kukiuka kanuni za utoaji tiba kwa kutoa dawa zilizomaliza muda wake sanjari na mazingira duni ya utunzani wa dawa.

Mapungufu hayo yamebainika wakati wa ukaguzi wa Zahanati hiyo uliofanywa na idara ya afya mjini Kahama kwa lengo la kudhibiti utoaji wa tiba za binadamu.

Halmashauriya mji wa Kahama  ina vituo 34 vya kutoa huduma za afya kwa binadamu, Hospitali 2, vituo vya...

 

9 years ago

Raia Mwema

‘Harufu’ ya urais ilianzia Kahama

HADI saa nne za asubuhi ya Oktoba 26 mwaka huu, mgombea wa ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),

Waandishi Wetu

 

9 years ago

Habarileo

Kura Kahama kuhesabiwa kwa DC

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Mji wa Kahama, Underson Msumba amesema atalamizika kuhamishia shughuli za kuhesabu kura za urais, ubunge na udiwani kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya kutokana na ofisi yake kuwa jirani na ofisi za vyama mbalimbali vya siasa.

 

9 years ago

Vijimambo

CCM WANAENDELEA KUPIGA KUSHOTO NA KULIA,MWIGULU NDANI YA KAHAMA ,USHETU NA MSALALA HII LEO

Mwigulu Nchemba Mjumbe wa kamati ya kampeni ya Chama cha Mapinduzi akimnadi Mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Msalala Ndg.Maige."Ilani ya Chama cha Mapinduzi imeweka bayana kuwa itajenga Reli ilikurejesha huduma za Kiuchumi zilizosimama kwa muda,Kwa hapa Msalala ujenzi wa Bandari kavu utaanza mapema baada ya kuanza kwa matumizi ya reli kama alivyoahidi magufuli.Hivyo wananchi mchagueni Magufuli akasimamie Ujenzi wa Reli,Ujenzi wa bandari kavu,Ujenzi wa barabara ya Rami kutoka Msalala kwenda...

 


Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani