Waraghabishi wakoleza kasi ya mabadiliko wilayani Kishapu
![](http://4.bp.blogspot.com/-9qxsp8f7-co/Vn4-d5LPluI/AAAAAAAAXr4/DMWV4cB2mvU/s72-c/MIUPAA.png)
Watendaji wa Kituo cha Maendeleo cha Jamii ya Uchunga wilayani Kishapu wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi mbele ya jengo la kituo hicho likiwa limekamilika kutokana na michango yao ya fedha na nguvu kazi.
Na Krantz Mwantepele ,Kishapu
Mabadiliko katika jamii yoyote kwa kiasi kikubwa huchangiwa na ongezeo la mahitaji ya binadamu katika mambo mbalimbali. Kwamba, kadri dunia inavyopitia mabadiliko, kadiri ile ile changamoto, mahitaji na huduma katika jamii husika huongezeka.
Ili kufikia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uiEfxR1DPfk/VLA5Dw6XYSI/AAAAAAAG8VY/lxc3VNKLhb0/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO APATA MAPOKEZI MAKUBWA WILAYANI KISHAPU MKOANI SHINYANGA. AITWA “MZEE WA NGUZO” NA KUKABIDHIWA ZAWADI KWA KUSAMBAZA UMEME KWA KASI KUBWA WILAYANI HUMO
![](http://4.bp.blogspot.com/-uiEfxR1DPfk/VLA5Dw6XYSI/AAAAAAAG8VY/lxc3VNKLhb0/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2EUDvqIPqk0/VLA5EENpUWI/AAAAAAAG8Vw/O6DCoOihWWY/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SpqID-27gnA/VLA5EUBwhVI/AAAAAAAG8Vo/az4eL8wG2wk/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
5 years ago
MichuziDC TALABA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI WILAYANI KISHAPU
10 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME WILAYANI KISHAPU
10 years ago
Habarileo11 Oct
Pinda avutiwa na kasi ya mabadiliko SUA
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amevutiwa na kasi ya mabadiliko katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) na hasa uanzishwaji wa kozi mpya zinazolenga kuongeza thamani ya mazao ya kilimo (Agri-processing).
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XAz7ZJS0pnY/VDexfYlcFXI/AAAAAAACsjc/fQgK7HTS2bI/s72-c/657998666.jpg)
WAZIRI MKUU AVUTIWA NA KASI YA MABADILIKO SOKOINE
![](http://1.bp.blogspot.com/-XAz7ZJS0pnY/VDexfYlcFXI/AAAAAAACsjc/fQgK7HTS2bI/s1600/657998666.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema amevutiwa na kasi ya mabadiliko katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) na hasa uanzishwaji wa kozi mpya zinazolenga uongezaji thamani wa mazao ya kilimo (Agri-processing).
Ametoa kauli hiyo jana jioni (Alhamisi, Oktoba 9, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya SUA mara baada ya kutembelea chuo hicho na kukagua utekelezaji wa mradi wa Sayansi na Teknolojia ya...
9 years ago
Habarileo22 Dec
Ataka kasi ya mabadiliko kwa maofisa wa jeshi TMA
MKUU wa vikosi vilivyo chini ya Makao Makuu ya Jeshi la Ulinzi wa Taifa (JWTZ), Meja Jenerali, Issa Nassoro amewataka maofisa wa jeshi katika Chuo cha Kijeshi Monduli (TMA) kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia na mawasiliano duniani kuboresha utendaji kazi wao wa kila siku.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-N2X9Jqq9f_o/U6ldM84rj3I/AAAAAAAFsmY/_rdt3s1ovQQ/s72-c/unnamed+(1).jpg)
SHULE YA JAMII YA WAMAASAI WILAYANI HAI YAPIGA MAENDELEO YA KASI
![](http://4.bp.blogspot.com/-N2X9Jqq9f_o/U6ldM84rj3I/AAAAAAAFsmY/_rdt3s1ovQQ/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C-JTpLV1n1M/U6ldNLurfcI/AAAAAAAFsmc/FbK2Egq2kTg/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9fGMS_859bU/U6ldNIHNgQI/AAAAAAAFsnI/QjeOYAoJm8k/s1600/unnamed+(3).jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Oct
TIGO yazindua mnara wa kasi yenye 3G Namanga, Wilayani Longido
Mkuu wa Wilaya ya Longido Mheshimiwa James Ole Millya (wa pili kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa huduma mpya ya kasi ya 3G katika mnara wa Tigo mpakani Namanga, mkoani Arusha. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini David Charles na Mwenyekiti wa Kijiji cha Namanga Mheshimiwa William Kikois (kushoto).
Mhandisi wa Kanda wa Kaskazini kutoka Tigo Judika Anosisye (kulia) akimuonyesha kifaa cha dish ya 3G (hakipo pichani) kilichofungwa juu ya mnara a Tigo iliyopo...
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Elimu itolewe kwa wananchi ili kuzuia kasi ya maambukizi mapya ya VVU Wilayani Mafia — Mama Salma Kikwete
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete akizungumza na wafanyakazi wa hospitali ya Wilaya ya Mafia (hawapo pichani).
Baadhi ya wafanyakazi wa hospitali ya Wilaya ya Mafia wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (hayupo pichani).
Na Anna Nkinda – Maelezo, Mafia
Viongozi wa wilaya ya Mafia na wafanyakazi wa Idara ya afya wametakiwa kuhakikisha elimu ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) inatolewa...