Ataka kasi ya mabadiliko kwa maofisa wa jeshi TMA
MKUU wa vikosi vilivyo chini ya Makao Makuu ya Jeshi la Ulinzi wa Taifa (JWTZ), Meja Jenerali, Issa Nassoro amewataka maofisa wa jeshi katika Chuo cha Kijeshi Monduli (TMA) kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia na mawasiliano duniani kuboresha utendaji kazi wao wa kila siku.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Apr
Mabadiliko ya hali ya hewa changamoto kwa TMA
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk Agnes Kijazi amesema mabadiliko ya mifumo ya hali ya hewa ambayo yanatokana na mabadiliko ya tabia nchi yamekuwa changamoto kubwa kwa wataalamu wa hali ya hewa nchini.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z*WFeROO64qEs02k8u2rQXYt1GRaNj40ydp2ayp6qJFQcxyUpkb-xpzEMwPxf9MhxJyrrh*dzk18Ox4qx-974hLPEGdbXvlT/jk.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATUNUKU KAMISHENI KWA MAOFISA WAPYA WA JESHI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oUvphw4M330/U_naqcc9huI/AAAAAAAGCCA/prtVHdFqP0c/s72-c/D92A6818.jpg)
Rais Kikiwete atunuku Kamisheni Kwa maofisa wapya wa Jeshi
![](http://3.bp.blogspot.com/-oUvphw4M330/U_naqcc9huI/AAAAAAAGCCA/prtVHdFqP0c/s1600/D92A6818.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2uL9SwL_T64/U_nbSap5drI/AAAAAAAGCDA/8Uny0rfremg/s1600/D92A6822.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oKf1akb7npw/U_naydQIveI/AAAAAAAGCCI/TGACYZdMRa0/s1600/D92A6849.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8uB-31boxjc/U_nazk64-wI/AAAAAAAGCCQ/tDaQAaRSB2s/s1600/D92A6853.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-VmmgFaYvspI/U_na9lHSUGI/AAAAAAAGCCY/nHB4SrByYM4/s1600/D92A6874.jpg)
10 years ago
Mwananchi19 Oct
JK atunuku maofisa 23 JWTZ, Wakongo 414 wahitimu TMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Kp9wvPUyiE8/XuO9SxvjPzI/AAAAAAALtow/5Kp0o_aFrp4fD50yPtEgpEbbvvEs250pACLcBGAsYHQ/s72-c/ef8e6d59-cdf1-4858-b153-7f2df0ef3b01.jpg)
KATIBU MKUU KADIO AKAGUA KIWANJA CHA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI DODOMA KINACHOTARAJIWA KUJENGWA MAKAZI YA MAOFISA NA ASKARI WA JESHI HILO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Kp9wvPUyiE8/XuO9SxvjPzI/AAAAAAALtow/5Kp0o_aFrp4fD50yPtEgpEbbvvEs250pACLcBGAsYHQ/s640/ef8e6d59-cdf1-4858-b153-7f2df0ef3b01.jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Jun
UTT-PID na SUMA JKT kujenga nyumba za kisasa za kuuza kwa maofisa wa jeshi na umma nchini
Mtendaji Mkuu wa UTT-PID, Dr. Gration Kamugisha (kushoto) akipeana mikono na Mkurugenzi Mkuu Lt-Colonel, Felix Samillan baada ya kutiliana saini ya mkataba wa kujenga nyumba za kisasa za kuuza kwa askari na maofisa wa jeshi na umma mradi unaotarajiwa kujengwa Chalinze
10 years ago
Michuzi01 Jul
UTT-PID na SUMA JKT kujenga nyumba za kisasa za kuuza kwa askari na maofisa wa jeshi na umma
![2015-06-26 15.13.03](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2015-06-26-15.13.03.jpg)
Na Mwandishi WetuTaasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) kwa kushirikiana na Taasisi ya SUMA JKT imesainiana mkataba wa makubaliano wa ujenzi wa nyumba za kisasa za kuuza kwa...
10 years ago
Dewji Blog12 Sep
JK ataka msaada ESRF kuondoa umaskini kwenye uchumi unaokua kwa kasi kubwa
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Hoseana Lunogelo akisalimiana na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini , Alvaro Rodriguez nje ya ukumbi wa mikutano kabla ya mgeni rasmi kuwasili kwenye mkutano mkubwa wa tatu wa ESRF unaozungumzia ukuaji wa uchumi kwa kutumia fursa zilizopo na maendeleo yanayogusa jamii uliofanyika jana jijini Dar katika hoteli ya Hyatt Regency,...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_00391.jpg?width=650)
JK ATAKA MSAADA ESRF KUONDOA UMASKINI KWENYE UCHUMI UNAOKUA KWA KASI KUBWA