5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MULcv3hn40k/XvH4pg56ixI/AAAAAAACOU4/FLOBsRC96JUWXtO6R1PwxMp9BsOP4ApqQCLcBGAsYHQ/s72-c/2%2B%25282%2529.jpg)
RC KAGERA AAGIZA KUSIMAMISHWA KAZI WATUMISHI WANNE NA WATENDAJI WENGINE 30 KUKAMATWA WILAYANI BIHARAMULO KWA UBADHILIFU WA SH. MILIO 307.
![](https://1.bp.blogspot.com/-MULcv3hn40k/XvH4pg56ixI/AAAAAAACOU4/FLOBsRC96JUWXtO6R1PwxMp9BsOP4ApqQCLcBGAsYHQ/s400/2%2B%25282%2529.jpg)
Na Allawi Kaboyo, Biharamulo.
Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewaagiza Kamanda wa Polisi na Kamanda wa TAKUKURU mkoani Kagera kuwakamata watumishi 34 katika Halmashauri ya wilaya Biharamulo wakiwemo watendaji wa vijiji...
5 years ago
MichuziVIONGOZI WA DINI WILAYANI KARAGWE WAANDAMANA KUMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KURUHUSU IBAADA DC AWAPOKEA KWA NIABA YAKE NA KUTOA NENO.
9 years ago
TheCitizen25 Nov
NLD aspirant is new Muleba urban councillor
9 years ago
StarTV16 Nov
Hatimaye kijiji cha Mpago Biharamulo chapatiwa hati ya ardhi
Mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka sita baina ya wakala wa huduma za misitu TFS, Serikali ya kijiji cha Kaniha na halmashauri ya wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera hatimaye umepatiwa ufumbuzi.
Mgogoro huo ulisababisha baadhi ya miradi ya maendeleo kukwama ikiwemo ujenzi wa shule pekee ya msingi Mpago iliyopo kijijini humo.
Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Biharamulo Nassib Mbaga wakati akikabidhiwa madarasa mawili na ofisi moja ya shule hiyo...
10 years ago
Daily News24 Apr
Ngara man kills wife for delivering twins
Daily News
THE police in Kagera Region are investigating an incident where a resident of Ngara district killed his wife after she delivered twins, alleging that it was a 'curse' in his family. Kagera Regional Police Commander (RPC), Mr Henry Mwaibambe, named the ...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Walimu watumia mihogo kuandikia Biharamulo
10 years ago
Daily News27 Sep
Karagwe women feel sidelined
Daily News
A SECTION of women from Kyerwa and Karagwe districts have cited lack of confidentiality as a stumbling block to inheritance in distributing of assets left behind after death of a husband. They voiced their concern while discussing a topic on inheritance during ...
10 years ago
Daily News26 Sep
Karagwe primary schools enrolment soars
Daily News
Daily News
KARAGWE District in Kagera Region recorded impressive achievements in the education sector including the increase in numbers of pupils attending primary schools from 7,227 during 2010 to 77,183 in 2013, equivalent to 1067.9 per cent. The Karagwe ...
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
‘Ushirika Muleba wapindisha sheria ya uchaguzi’
BAADHI ya wakulima wa chama cha ushirika cha Kamachumu kilichopo Wilayani Muleba Mkoani Kagera wamedai kuwa uchaguzi wa kuwachagua wajumbe wa bodi na mwenyekiti wa chama hicho uliofanyika wiki iliyopita...
10 years ago
Daily News07 Sep
Two commit suicide in Ngara district
Daily News
TWO people in Ngara District committed suicide in incidents related to stress, the Kagera Regional Police Com- mander (RPC), Mr Henry Mwaibambe has said. He named the deceased as Herman Bilazinama ( 42) and Juma Ramadhani (62), both residents ...
10 years ago
Uhuru Newspaper03 Sep
Mkandarasi Muleba akalia kuti kavu
Na Julieth John, Muleba
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, kumsimamisha mkandarasi anayejenga miradi ya maji ya Kyota na Katoke kwa kushindwa kukamilisha kazi kwa muda uliopangwa.
Mradi huo wa maji ni miongoni mwa miradi inayotekelezwa kupitia mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).
Agizo hilo lilitolewa jana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera, Costansia Buhiye, wakati alipokuwa akikagua miradi hiyo ambayo ilitakiwa kukamilika Oktoba, mwaka jana na Mei mwaka...
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
NHC yatoa mashine za matofali Kagera
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limetoa mashine 28 za kufyatulia tofali zenye thamani ya sh milioni 12.6 lengo ikiwa ni kuwasaidia vijana kujiajiri na kuondokana na umasikini. Akizungumza katika...
10 years ago
Habarileo01 Sep
Ngara katika kashfa ya ubadhirifu wa fedha
HALMASHAURI ya Wilaya ya Ngara inadaiwa kukumbwa na kashfa ya ubadhirifu wa fedha za umma katika miradi mitatu kwenye maeneo tofauti hali ambayo Kamati ya Utekelezaji ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera imeamuru irudiwe na kukamilishwa.
10 years ago
IPPmedia31 Aug
Suspected dealers in bhang, fake currency nabbed by Kagera police
IPPmedia
Police in Kagera Region are holding suspects in connection with different criminal offences including being in possession of fake currency, fake alcohol and bhang. Kagera RPC Henry Mwahibambe said investigation is under way for the suspects who were ...
10 years ago
Daily News31 Aug
Kagera region faces acute shortage of science teachers
Daily News
MISENYI district in Kagera Region faces a shortage of 127 teachers for secondary schools, with 103 being science teachers, the Misenyi District Academic Officer, Mr George Rubaiyuka has disclosed. He noted that to-date the district has a total of 333 ...
-
Malawi
-
Magufuli
-
Lazarus
-
Kisarawe
-
Chakwera
-
Yanga
-
Urais
-
Salaam
-
Ccm
-
Ziara