Walimu watumia mihogo kuandikia Biharamulo
Walimu wawili wanaojitolea katika Shule ya Msingi Msali, Kata ya Nyakahura, wilayani Biharamulo, mkoani Kagera wanatumia vipande vya mihogo mikavu na mkaa kuandikia ubaoni baada ya kukosa chaki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Mbasa alia uhaba wa walimu Biharamulo
MBUNGE wa Biharamulo, Dk. Anthony Mbasa (CHADEMA), ameitaka serikali ieleze ni lini itaweza kupambana na uhaba wa walimu wa fani mbalimbali wilayani Biharamulo. Pia ametaka kuelezwa serikali ina mpango gani...
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
Ugonjwa wa mahindi, mihogo watishia
MAGONJWA ya mazao ya mahindi na mihogo yaliyoikumba Wilaya ya Tarime, Mkoa wa Mara yanatishia uwepo wa njaa. Tishio hilo linatokana na baadhi ya wakulima kuanza kung’oa mazao hayo na...
9 years ago
StarTV24 Dec
Wakulima wa zao la mihogo kuanza kunufaika
Wakulima wa zao la muhogokanda ya ziwa wanataraji kufaidika na soko jipya la Muhogo baada ya kupatikana kwa mdau anaye tumia zao hilo kuzalisha chakula cha kuku
Kutokana na uwekezaji huo Sasa wakulima wataokoa zaidi ya asilimia 30 ya sehemu ya muhogo iliyokua ikipotea baada ya kumenywa
Kwa muda mrefu mhogo umekua ukionekana kama zao Duni na wakulima wake kuishi katika dhiki kubwa kutokana na uhaba wa masoko na bei ndogo
Idara ya Chakula na Lishe Nchini Tanzania kwa kushirikia na mradi wa...
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Mihogo mibichi ina nguvu za kipekee?
9 years ago
Bongo509 Nov
Lollypop adai bado hajaifanya kazi ya kuandikia wasanii nyimbo kuwa rasmi
![Lollipop](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/04/Lollipop-300x194.jpg)
Mtayarishaji wa muziki na mtunzi wa nyimbo, Lollypop, amesema bado hajaamua kuifanya kazi ya kuwaandikia wasanii nyimbo kuwa rasmi.
Akizungumza katika kipindi cha 5T40 cha Radio 5 ya Arusha, Lollypop alisema wasanii wengi aliofanya nao kazi ni watu wake wa karibu.
“Mimi kuandika kwanza sio kazi official, huwa naandika kuna situation zinatokea na zinanibidi niandike na naandika na watu ambao tuko close sana,” alisema. “Haitokeagi tu nakaa naanza kuandika nyimbo mtu anakuja ananilipa...
9 years ago
Bongo525 Nov
Wimbo ambao natamani kuandikia script ya video ni ‘Zigo’ ya AY – Asema Mike Tee
![mike-tee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/01/mike-tee-200x200.jpg)
Mike Francis Mwakatundu maarufu kama Mike Tee, ni rapper mkongwe kutoka Iringa ambaye pia ana uwezo mwingine wa kuandaa ‘script’ za video za muziki.
Mike Tee ndiye aliandika script ya video ya Mwana FA na Alikiba ‘Kiboko Yangu’ iliyoongozwa na director Mkenya, Kevin Bosco.
Kupitia 255 ya XXL Mike amesema wimbo anaotamani kuandikia script ya video kwa sasa ni ‘Zigo’ ya AY.
“Nyimbo moja ambayo napenda sana yaani nikiiskiliza inaninivutia sasa hivi na ningepedna sana kuichorea script ni ‘Zigo’...
10 years ago
Vijimambo11 years ago
Habarileo06 May
Ng’ombe 150 wauawa Biharamulo
NG’OMBE 150 wameuawa na askari wa Wanyama Pori katika Hifadhi ya Biharamulo, kutokana na mgogoro uliokuwepo wa kuwaondoa baadhi ya wafugaji, waliovamia eneo la hifadhi.
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Xal0Ou8g77o/default.jpg)