9 years ago
Habarileo07 Jan
JET yapongeza Serikali kwa kurejesha ardhi ya Mbarali
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET ) kimempongeza Rais John Magufuli kwa kufuta hati ya umiliki wa hekta 1,870 alizouziwa mwekezaji mwaka 2006 na kuamuru ardhi hiyo kurudishwa kwa wananchi wa Kijiji cha Kapunga, wilayani Mbarali.
9 years ago
MENAFN.COM06 Jan
Chitipa DC takes charity across the border into Ileje District in Tanzania
MENAFN.COM
(MENAFN - The Maravi Post) Chitipa District Commissioner, Grace Zione Chirwa has commended Ileje District in Tanzania for its determination to promote the welfare of orphans and other vulnerable children. She made the commendation on New Year's Day ...
9 years ago
StarTV06 Jan
Watoto waporwa nyumba Mbarali kwa madai ya deni la baba yao
Watoto watano wa familia moja wilayani Mbarali mkoani Mbeya wanaiomba Serikali kuingilia kati mgogoro kati yao na mfanyabiashara mmoja anayemdai baba yao shilingi Milioni 1.2 kwa kupora nyumba na kuisambaratisha familia hiyo.
Tukio hilo limetokea katika kijiji cha Mpakani kata ya Ubariku ambapo baba na mama wa familia hiyo walitengana mwaka 2008 na mahakama kuamuru nyumba hiyo kubaki mikononi mwa watoto.
Wakizungumza kijijini hapo watoto hao hussein mwataga na Zaveria Mwataga wameomba...
9 years ago
Habarileo01 Jan
Waliofukiwa mgodini Chunya waopolewa
KAZI ya kutafuta miili ya wachimbaji wadogo waliokuwa wamefukiwa na kifusi katika mgodi wa dhahabu mwishoni mwa wiki katika Kata ya Sagambi wilayani hapa, katika mkoa wa Mbeya imesitishwa rasmi baada ya kupatikana kwa mwili wa mchimbaji mwingine.
9 years ago
Habarileo29 Dec
Mbarali watenga mil 4.4/- kukarabati madaraja
HALMASHAURI ya wilaya ya Mbarali imelazimika kutenga Sh milioni 4.4 ikiwa ni bajeti ya dharura kwa ajili ya ukarabati wa madaraja mawili yaliyoharibika kufuatia mbao kuoza.
9 years ago
Michuzi21 Dec
SERIKALI WILAYANI CHUNYA KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU WAJIPANGA KUTATUA KERO ZA MAJI WILAYANI HUMO
Na Ezekiel Kamanga ,Mbeya,Jamiimojablog SERIKALI wilayani Chunya Mkoani Mbeya kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wameendelea na jitihada mbalimbali katika...
9 years ago
MichuziAMUUA MKE WAKE KISHA YEYE KUJINYONGA MBOZI MBEYA
Na Mwandishi wetu,Mbeya,Jamiimojablog
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mwanaume mmoja Mkazi wa kijiji cha Malolo Ndugu Chipunguli Mkisi (30) amemuua mke wake kwa kumkata panga kichwani kisha yeye mwenyewe kujiua kwa kujinyonga.
Akizungumzia tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ndugu Ahmed Msangi amesema tukio hilo la aina yake limetokea Desemba 15 mwaka huu majira ya saa 7 mchana huko katika kijiji cha Malolo, Kata ya Msia, wilaya ya...
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Mbarali wamtaka Rais Magufuli kulirejesha shamba la Kapunga
WANANCHI katika Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya wanasubiri kurudishwa kwa Shamba la Kapunga serika
Felix Mwakyembe
9 years ago
TheCitizen30 Nov
Pupil dies as cholera hits Kyela District
9 years ago
Habarileo11 Nov
Waziri aliyeanguka kuendelea kusaidia Jimbo la Mbozi
ALIYEKUWA Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi amesema pamoja na kuanguka kwenye Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, bado anayo nafasi ya kushiriki kuleta maendeleo ya Jimbo la Mbozi.
9 years ago
IPPmedia10 Nov
Dar, Mbeya boxers for non-title bout in Kyela
IPPmedia
IPPmedia
Mbaya professional boxer, Maisha Samson, will be seeking to land an opportunity to participate in a high-profile bout when he takes on Dar es Salaam's Salum Nassor in an eight-round, non-title Middleweight bout at the former's venue in Kyela on ...
Firm avails three scholarships to needy studentsDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
all 2
9 years ago
TheCitizen09 Nov
Nine CCM councilors eye Mbozi Council chairmanship
9 years ago
CHADEMA BlogMGOMBEA UBUNGE WA JIMBO LA MBARALI KUPITIA CHADEMA NDUGU LIBERATUS MWANG'OMBE ATOA SHUKRANI
9 years ago
StarTV02 Nov
Wananchi Kyela watakiwa kurudisha maelewano
Wakazi wa Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya wametakiwa kuachana na uhasama wa kisiasa uliokuwepo wakati wa uchaguzi ili kuelekeza nguvu zao katika shughuli za maendeleo.
Wametakiwa kutambua kuwa uchaguzi ni suala la mpito lakini maendeleo, umoja na mshikamano wao ni mambo yanayoendelea kuwepo hivyo hawapaswi kuendeleza chuki za kisiasa zilizosababishwa na mchakato huo.
Wito huo wa kumaliza tofauti na sintofahamu za kimaelewano zilizokuwepo miongoni mwa wananchi wa Wilaya ya Kyela mkoani kutokana...
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-IXfuZ0dVpXs/ViO_OY1itFI/AAAAAAAA0pQ/f91SPAmNKNI/s72-c/DSC_1453.jpg)
MAMA SAMIA AITEKA MBOZI MKOANI MBEYA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-IXfuZ0dVpXs/ViO_OY1itFI/AAAAAAAA0pQ/f91SPAmNKNI/s640/DSC_1453.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OgDhyayfxvI/ViPAVG4TbqI/AAAAAAAA0ps/FIYW4IZAvpA/s640/DSC_0006.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XgmVf_4MAYA/ViPASOs3bTI/AAAAAAAA0pk/Xnnwn7d29RE/s640/DSC_0009.jpg)
-
Malawi
-
Magufuli
-
Lazarus
-
Kisarawe
-
Chakwera
-
Yanga
-
Urais
-
Salaam
-
Ccm
-
Ziara