Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi Kyela watakiwa kurudisha maelewano

Wakazi wa Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya wametakiwa kuachana na uhasama wa kisiasa uliokuwepo wakati wa uchaguzi ili kuelekeza nguvu zao katika shughuli za maendeleo.

Wametakiwa kutambua kuwa uchaguzi ni suala la mpito lakini maendeleo, umoja na mshikamano wao ni mambo yanayoendelea kuwepo hivyo hawapaswi kuendeleza chuki za kisiasa zilizosababishwa na mchakato huo.

 Wito huo wa kumaliza tofauti na sintofahamu za kimaelewano zilizokuwepo miongoni mwa wananchi wa Wilaya ya Kyela mkoani kutokana...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mawaziri wa JK watakiwa kurudisha magari Ikulu

Mawaziri wa Serikali ya Awamu ya Nne wametakiwa kurejesha Ikulu magari wanayotumia mara baada ya kuapishwa Rais Mteule John Magufuli kwenye Uwanja wa Uhuru leo.

 

10 years ago

StarTV

Wananchi Kyela wakumbwa na hofu ya mafuriko.

Na Mkombe Zanda,

Mbeya.

 

Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya imeanza kukumbwa na mafuriko yanayohatarisha usalama wa wananchi na mali zao kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwenye maeneo mbalimbali ya mkoa huo.

 

Kutokana na hali hiyo Serikali wilayani Kyela imewatahadharisha wananchi kuchukua tahadhari za kujiepusha na mafuriko hayo ikiwemo kuhama kutoka kwenye maeneo yaliyo kando ya mito na maziwa.

 

Aprili 12 mwaka jana watu Saba walifariki dunia wilayani Kyela mkoani Mbeya wakati kaya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kampeni ya kurudisha UDA mikononi mwa wananchi — 2

NINA uhakika mtu anaweza kujaribu kukusanya takwimu sahihi zaidi na kwa njia ya kisayansi zaidi kuweza kuona ni kwa kiasi gani niko mbali na ukweli. Sasa ni wazi mfano huo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi waomba serikali kurudisha oparesheni tokomeza ujangili

DSC056171

Mkuu wa wilaya ya Manyoni, Fatuma Toufiq (wa kwanza kushoto) na anayefuata ni Dc wa wilaya ya Iramba,Yahaya Nawanda na mkuu wa wilaya mpya ya Ikungi, Manju Masambya (wa tatu kushoto).Picha zote na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Manyoni

SERIKALI wilaya ya Manyoni mkoani Singida imeiomba serikali kuu kuangalia uwezekano wa kurejesha mapema zoezi la oparesheni ‘tokomeza ujangili’, ili kudhibiti kasi kubwa iliyopo ya majangili kuua wanyama pori hasa tembo.

Ombi hilo limetolewa hivi...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA MOROGORO MJINI ATOA WIKI MBILI KWA MTENDAJI WA KATA KURUDISHA FEDHA ZA WANANCHI

 Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood  Akiongea Kwa Msisistizo Akimtaka Mtendaji wa Kata ya Luhungo Iliyopo Mzee Makame Kai Kurudisha Fedha za Wananchi wa Kata Hiyo Shilingi Milioni 1.4 Ndani ya Muda wa Wiki Mbili lasivyo atangulie Polisi.Mh Mbunge Ametoa Kauli Hiyo katiaka ziara yake aliyoifanya kata ya Luhungo Kwajili ya Kusikiliza Kero za wananchi na Ndipo wakazi wa Kata Hiyo walipotoa Malalamiko kwa Mbunge wao Kuhusu Utendaji Mbovu wa Mtendaji wa Kata Hiyo Aliyefahamika kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi watakiwa kufuatilia

Kukosekana kwa elimu ya ufuatiliaji fedha za umma kwa wananchi wengi, kumesababisha ongezeko la utekelezaji miradi ya maendeleo hususan maeneo ya vijijini kufanywa chini ya kiwango.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajumbe watakiwa kutopotosha wananchi

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kutowapotosha Watanzania kuhusiana na muundo wa serikali tatu na badala yake wawaambie ukweli. Kauli hiyo ilitolewa bungeni  juzi na mjumbe wa Bunge hilo,...

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi watakiwa kuwa makini na ‘vishoka’

Wananchi wametakiwa kukataa kuwalipa mafundi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) wakiwa nyumbani, badala yake wawaambie malipo yafanyike katika ofisi za shirika hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani