Wananchi watakiwa kufuatilia
Kukosekana kwa elimu ya ufuatiliaji fedha za umma kwa wananchi wengi, kumesababisha ongezeko la utekelezaji miradi ya maendeleo hususan maeneo ya vijijini kufanywa chini ya kiwango.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo12 Dec
Madiwani watakiwa kufuatilia matukio ya kitaifa
MKUU wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Wilman Ndile amewataka madiwani wapya na wa zamani katika halmashauri hiyo, kufuatilia kwa karibu matukio ya kitaifa kupitia vyombo vya habari ili waweze kuendana na wakati.
9 years ago
MichuziWafanyakazi watakiwa kufuatilia makato yao
Mkurugenzi wa Utafiti, Tathmini na Sera wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Ansgar Mushi.
Na Mwandishi wetu, DodomaWANACHAMA wa mifuko ya Hifadhi ya Jamii wametakiwa kufuatilia makato yao kwa kuwa baadhi ya waajiri wanachelewa kupeleka makato yao. Mbali na hilo, waajiri wa mmetakiwa kutowalazimisha wafanyakazi wao kujiunga na mfuko wasioupenda badala yake wapewe nafasi ya kujieleza. Kauli hiyo, ilitolewa jana na Ofisa Tehama wa Mamlaka ya Usimamizi na...
10 years ago
Dewji Blog24 Jun
Wenyeviti wa vijiji watakiwa kufuatilia shughuli zinazofanywa na waganga wa tiba mbadala kwenye maeneo yao
Katibu Mkuu wa CHAWAMAMU Mkoa wa Singida, Dk.Tano Mika Likapakapa (wa kwanza kutoka kulia) akiwasilisha mada mbalimbali kwenye semina elekezi kwa waganga wa tiba mbadala, wenyeviti wa vijiji, vitongoji na watendaji wa vijiji wa kata ya Kikhonda,tarafa ya Kinyangiri,wilayani Mkalama.
Baadhi ya waganga wa tiba mbadala na viongozi wa serikali za vijiji wa Kata ya Kikhonda wakimsikiliza mtoa mada katika semina elekezi iliyofanyika katika ofisi za mtendaji wa kata ya Kikhonda.
Polisi kata ya...
10 years ago
StarTV01 Apr
Wananchi wahimizwa kufuatilia taarifa za hali ya hewa
Na Jackson Monela,
Morogoro.
Wakati mvua za masika zikiendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo nchini, Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imewataka wananchi kufuatilia kwa makini taarifa za hali ya hewa zinazotolewa na mamlaka hiyo ili kujihadhari na mvua kubwa zinazoweza kuleta maafa ya mafuriko katika msimu huu.
Mkurungezi wa Mamlaka ya hali ya hewa nchini Dokta Agnes Kijazi amesema mara nyingi kumekuwa na upuuzwaji wa taarifa hizo na mara baada ya majanga kutokea lamawa zimekuwa...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Wajumbe watakiwa kutopotosha wananchi
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kutowapotosha Watanzania kuhusiana na muundo wa serikali tatu na badala yake wawaambie ukweli. Kauli hiyo ilitolewa bungeni juzi na mjumbe wa Bunge hilo,...
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Wananchi watakiwa kutumia nishati mbadala
MTAFITI wa Taasisi ya Uchumi na Jamii (ESRF), Solomon Balegu ametaka Watanzania kutumia nishati mbadala ili kuepuka mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Balegu alisema kuwa ikiwa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Wananchi watakiwa kujitokeza kuchangia damu
WANANCHI wa Mkoa wa Morogoro wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuchangia damu kwa hiari katika maadhimisho ya Wiki ya Damu, ikiwa ni utekelezaji wa mpango wa taifa wa damu salama. Wito...
5 years ago
Michuziwananchi watakiwa kuelimishana kuhusu corona.
Na Woinde Shizza,ARUSHA
Chama Cha wafanyabiashara ( TCCIA)Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na Trade Mark East Africa na TRIAS kimegawa vifaa kinga vyenye thamani ya sh,mil. 4 kwenye masoko matatu katika jiji la Arusha kama njia Moja wapo ya kupambana na maambikizo ya ugonjwa hatari wa Corona na kuunga mkono jitihada za serikali dhidi ya ugonjwa huo.
Akikabidhi vifaa hivyo zikiwemo ndoo za maji ya kutiririka,vitakasa mikono na Barakao ,mwenyekiti wa TCCIA ,Wolter Maeda aliwataka...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Wananchi watakiwa kuwa makini na ‘vishoka’