Wafanyakazi watakiwa kufuatilia makato yao
![](http://3.bp.blogspot.com/-x5qgU_cv884/Vg11PhWrtfI/AAAAAAABePM/OohkazCSfJY/s72-c/SSRA%2Blogo.png)
Mkurugenzi wa Utafiti, Tathmini na Sera wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Ansgar Mushi.
Na Mwandishi wetu, DodomaWANACHAMA wa mifuko ya Hifadhi ya Jamii wametakiwa kufuatilia makato yao kwa kuwa baadhi ya waajiri wanachelewa kupeleka makato yao. Mbali na hilo, waajiri wa mmetakiwa kutowalazimisha wafanyakazi wao kujiunga na mfuko wasioupenda badala yake wapewe nafasi ya kujieleza. Kauli hiyo, ilitolewa jana na Ofisa Tehama wa Mamlaka ya Usimamizi na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Jun
Wenyeviti wa vijiji watakiwa kufuatilia shughuli zinazofanywa na waganga wa tiba mbadala kwenye maeneo yao
Katibu Mkuu wa CHAWAMAMU Mkoa wa Singida, Dk.Tano Mika Likapakapa (wa kwanza kutoka kulia) akiwasilisha mada mbalimbali kwenye semina elekezi kwa waganga wa tiba mbadala, wenyeviti wa vijiji, vitongoji na watendaji wa vijiji wa kata ya Kikhonda,tarafa ya Kinyangiri,wilayani Mkalama.
Baadhi ya waganga wa tiba mbadala na viongozi wa serikali za vijiji wa Kata ya Kikhonda wakimsikiliza mtoa mada katika semina elekezi iliyofanyika katika ofisi za mtendaji wa kata ya Kikhonda.
Polisi kata ya...
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Wananchi watakiwa kufuatilia
9 years ago
Habarileo12 Dec
Madiwani watakiwa kufuatilia matukio ya kitaifa
MKUU wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Wilman Ndile amewataka madiwani wapya na wa zamani katika halmashauri hiyo, kufuatilia kwa karibu matukio ya kitaifa kupitia vyombo vya habari ili waweze kuendana na wakati.
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Watakiwa kujiunga na benki yao
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Watakiwa kuchangia maendeleo yao
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Watendaji watakiwa kutekeleza majukumu yao
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nJAXH_8_HwQ/Vj210zvyHTI/AAAAAAAIExM/E8ocAeMumXc/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-07%2Bat%2B11.23.03%2BAM.png)
WASANII WATAKIWA KUCHAGAMKIA MAAZIMISHO YA SIKU YAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-nJAXH_8_HwQ/Vj210zvyHTI/AAAAAAAIExM/E8ocAeMumXc/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-07%2Bat%2B11.23.03%2BAM.png)
Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwenye programu maalum ya kujadili ushiriki wa wasanii kwenye siku hii muhimu kwao marais wa mashirikisho ya wasanii nchini walisema kwamba wakati umefika kwa wasanii wote nchini kuamka na kuwa mstari wa mbele...
10 years ago
Habarileo14 Jan
Wafanyakazi NHIF watakiwa kujiendeleza kitaaluma
WATUMISHI wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wametakiwa kujiendeleza kitaaluma ili kuongeza ufanisi na kuzikabili changamoto za sekta ya bima ya afya.
10 years ago
Habarileo12 Apr
Wafanyakazi wa Deluxe watakiwa kuelimisha abiria
BAADA ya kufanyiwa uharibifu katika baadhi ya mabehewa ya treni mpya ya abiria (Deluxe), Kampuni ya Reli nchini (TRL) imewaagiza wafanyakazi na wahudumu wa treni hiyo kutoa elimu kwa abiria juu ya matumizi ya huduma mbalimbali zilizomo ndani ya treni hiyo ili kuepuka uharibifu.