Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyakazi watakiwa kufuatilia makato yao



Mkurugenzi wa Utafiti, Tathmini na Sera wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Ansgar Mushi.
Na Mwandishi wetu, DodomaWANACHAMA wa mifuko ya Hifadhi ya Jamii wametakiwa kufuatilia makato yao kwa kuwa baadhi ya waajiri wanachelewa kupeleka makato yao. Mbali na hilo, waajiri wa mmetakiwa kutowalazimisha wafanyakazi wao kujiunga na mfuko wasioupenda badala yake wapewe nafasi ya kujieleza. Kauli hiyo, ilitolewa jana na Ofisa Tehama wa Mamlaka ya Usimamizi na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wenyeviti wa vijiji watakiwa kufuatilia shughuli zinazofanywa na waganga wa tiba mbadala kwenye maeneo yao

SAM_0016

Katibu Mkuu wa CHAWAMAMU Mkoa wa Singida, Dk.Tano Mika Likapakapa (wa kwanza kutoka kulia) akiwasilisha mada mbalimbali kwenye semina elekezi kwa waganga wa tiba mbadala, wenyeviti wa vijiji, vitongoji na watendaji wa vijiji wa kata ya Kikhonda,tarafa ya Kinyangiri,wilayani Mkalama.

SAM_0024

Baadhi ya waganga wa tiba mbadala na viongozi wa serikali za vijiji wa Kata ya Kikhonda wakimsikiliza mtoa mada katika semina elekezi iliyofanyika katika ofisi za mtendaji wa kata ya Kikhonda.

SAM_0029

Polisi kata ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi watakiwa kufuatilia

Kukosekana kwa elimu ya ufuatiliaji fedha za umma kwa wananchi wengi, kumesababisha ongezeko la utekelezaji miradi ya maendeleo hususan maeneo ya vijijini kufanywa chini ya kiwango.

 

9 years ago

Habarileo

Madiwani watakiwa kufuatilia matukio ya kitaifa

MKUU wa Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Wilman Ndile amewataka madiwani wapya na wa zamani katika halmashauri hiyo, kufuatilia kwa karibu matukio ya kitaifa kupitia vyombo vya habari ili waweze kuendana na wakati.

 

11 years ago

Mwananchi

Watakiwa kujiunga na benki yao

Walimu wilayani hapa, Mkoa wa Pwani wametakiwa kujitokeza kwa wingi na kununua hisa katika Benki ya Walimu ili kuboresha maisha yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Watakiwa kuchangia maendeleo yao

Dar es Salaam.  Naibu Waziri Wanawake, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu amewataka wananchi kujitolea kuchangia huduma za jamii ili kujiletea maendeleo yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Watendaji watakiwa kutekeleza majukumu yao

Watendaji wa kata na vijiji wapewa onyo kali kwa kutokuhifadhi mihutasari ya vikao na kutokuweka mipango thabiti ya matumizi ya ardhi kwa wanavijiji wao hali ambayo inachangia kuwapo kwa migogoro ya muda mrefu.

 

9 years ago

Michuzi

WASANII WATAKIWA KUCHAGAMKIA MAAZIMISHO YA SIKU YAO

Wasanii nchini wametakiwa kuwa mstari wa mbele kuhamasika na kushiriki kikamilifu kwenye maazimisho ya Siku ya Msanii maarufu kama Msanii Day ambayo yanatazamiwa kufanyika mwezi Desemba mwaka huu wa 2015 jijini Dar es Salaam na maeneo mbalimbali nchini. 
Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwenye programu maalum ya kujadili ushiriki wa wasanii kwenye siku hii muhimu kwao marais wa mashirikisho ya wasanii nchini walisema kwamba wakati umefika kwa wasanii wote nchini kuamka na kuwa mstari wa mbele...

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyakazi NHIF watakiwa kujiendeleza kitaaluma

WATUMISHI wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wametakiwa kujiendeleza kitaaluma ili kuongeza ufanisi na kuzikabili changamoto za sekta ya bima ya afya.

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyakazi wa Deluxe watakiwa kuelimisha abiria

BAADA ya kufanyiwa uharibifu katika baadhi ya mabehewa ya treni mpya ya abiria (Deluxe), Kampuni ya Reli nchini (TRL) imewaagiza wafanyakazi na wahudumu wa treni hiyo kutoa elimu kwa abiria juu ya matumizi ya huduma mbalimbali zilizomo ndani ya treni hiyo ili kuepuka uharibifu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani