Watendaji watakiwa kutekeleza majukumu yao
Watendaji wa kata na vijiji wapewa onyo kali kwa kutokuhifadhi mihutasari ya vikao na kutokuweka mipango thabiti ya matumizi ya ardhi kwa wanavijiji wao hali ambayo inachangia kuwapo kwa migogoro ya muda mrefu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 May
RC Singida awataka wafanyakazi kutekeleza majukumu yao katika kuzingatia mikataba
Baadhi ya wafanyakazi mkoani Singida, wakishiriki maandamano kama sehemu ya maadhimisho ya sherehe za sikukuu ya wafanyakazi duniani (Mei Mosi) mwaka huu iliyofanyika kwenye uwanja wa Namfua mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MKUU wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, amewaasa watumishi wa umma kuwa wasiwe wepesi wa kudai haki zao, bali kwanza watimize wajibu wao kikamilifu kwa madai kwamba haki na wajibu huambatana pamoja.
Dk.Kone ametoa usia huo wakati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OII46PIbulw/XvCI7XwHESI/AAAAAAALu6E/v0ZwHfmJh_MXFHQ2w9Ab4pFdzJadZXh0gCLcBGAsYHQ/s72-c/12..jpg)
RAIS MAGUFULI AONESHA KUSIKITISHWA NA WATEULE WAKE WANAOSHINDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-OII46PIbulw/XvCI7XwHESI/AAAAAAALu6E/v0ZwHfmJh_MXFHQ2w9Ab4pFdzJadZXh0gCLcBGAsYHQ/s400/12..jpg)
*Azungumzia vijana kutoridhika kwenye nafasi walizonazo...atoa siri ya Gambo
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amesema huwa anasikitishwa kuona watu ambao wamewapa nafasi na kuwaamini wanashindwa kutekeleza yale ambayo amewatuma kwenda kufanya na badala yake wanakwenda kufanya ya kwao huku akitumia nafasi hiyo kuzungumzia vijana ambao amewapa nafasi lakini hawaridhiki nazo.
Akizungumza leo Juni 22, 2020...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LKii83Gol00/VPcdEF2YnTI/AAAAAAAHHrw/XJqsyXOC3I8/s72-c/KM1.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari ahimiza watumishi wake kuendelea kuwa wabunifu katika kutekeleza majukumu yao
![](http://2.bp.blogspot.com/-LKii83Gol00/VPcdEF2YnTI/AAAAAAAHHrw/XJqsyXOC3I8/s1600/KM1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CWxt1PXkREg/VPcdENFrioI/AAAAAAAHHro/REk9LszwhOc/s1600/KM2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-81VrDrDOHvY/XrP-miQblSI/AAAAAAALpZo/e7lC98-1X7Issgf3Qsj32CbzcDqQ6AV3ACLcBGAsYHQ/s72-c/630.jpg)
SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR YASIKITISHWA NA BAADHI YA WATENDAJI WA TAASISI YA ARDHI KUTOKUWA WAAMINIFU KATIKA MAJUKUMU YAO
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa masikitiko hayo wakati akijibu Hoja za Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kufuatia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake aliyoiwasilisha katika Kikao cha Bajeti cha...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/4_9aGk7qRfw/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_Ue_9-tqFIQ/XmXE_6qpopI/AAAAAAALiJM/mDGnHrPp28ELFsSBUxQTTV9Xe4RCn8d0QCLcBGAsYHQ/s72-c/L-2.jpg)
WAJUMBE WA BARAZA LA WAFANYAKAZI OFISI YA WAZIRI MKUU WAHIMIZWA KUTEKELEZA MAJUKUMU KWA UFANISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-_Ue_9-tqFIQ/XmXE_6qpopI/AAAAAAALiJM/mDGnHrPp28ELFsSBUxQTTV9Xe4RCn8d0QCLcBGAsYHQ/s640/L-2.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/L-1.jpg)
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde akihutubia watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika Machi 8, 2020 Jijini Arusha.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/L-3.jpg)
Sehemu ya Wajumbe wa Baraza la Wafanayakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) wakisikiliza hotuba ya Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VM7RSHJLWyM/XqkwXfPG43I/AAAAAAALoiU/5ik1Uh43xaQ3YeJVuFxpq8yhrvrAHHfyQCLcBGAsYHQ/s72-c/AA-5-768x345.jpg)
WADAU WA MAENDELEO WEKENI MAZINGIRA RAFIKI KWA WANAHABARI KUTEKELEZA MAJUKUMU KIPINDI HICHI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VM7RSHJLWyM/XqkwXfPG43I/AAAAAAALoiU/5ik1Uh43xaQ3YeJVuFxpq8yhrvrAHHfyQCLcBGAsYHQ/s640/AA-5-768x345.jpg)
Na Ahmed Mahmoud Arusha .
Imeelezwa kuwa Waandishi wa habari nchini wapo kwenye kipindi kigumu cha kutekeleza majukumu yao wakati huu wa mapambano ya Ugonjwa wa Covid 19 kiuchumi na wadau wametakiwa kujitokeza kusaidia kada hiyo ili iweze kutoa taarifa sahihi na kweli.
Kwa mujibu wa Mdau wa maendeleo jijini Arusha Mwanasheria Maarufu Albert Msando na mmiliki wa The Don ambaye ametoa Barakoa na vitakasa mikono kwa klabu ya waandishi wa habari Mkoa wa Arusha (APC) ikiwa...
9 years ago
Raia Mwema06 Jan
Wamesahau majukumu yao, wanasubiri maagizo
INATAKA upeo mkubwa wa kufikiri kung’amua kuwa aina ya utendaji wa kazi tunaoushuhudia sasa hivi
Njonjo Mfaume
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6Yv-sJgXl7U/default.jpg)
WATENDAJI WA SERIKALI WILAYANI KARATU WAMETAKIWA KUTEKELEZA AMRI YA RAIS