SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR YASIKITISHWA NA BAADHI YA WATENDAJI WA TAASISI YA ARDHI KUTOKUWA WAAMINIFU KATIKA MAJUKUMU YAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-81VrDrDOHvY/XrP-miQblSI/AAAAAAALpZo/e7lC98-1X7Issgf3Qsj32CbzcDqQ6AV3ACLcBGAsYHQ/s72-c/630.jpg)
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inasikitishwa na tabia ya baadhi ya Watendaji wa Taasisi zinazosimamia masuala ya Ardhi Nchini kuendelea kutokuwa waaminifu katika utekelezaji wa majukumu yao kitendo ambacho huongeza migogoro ndani ya Jamii Nchini.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa masikitiko hayo wakati akijibu Hoja za Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kufuatia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake aliyoiwasilisha katika Kikao cha Bajeti cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-81VrDrDOHvY/XrP-miQblSI/AAAAAAALpZo/e7lC98-1X7Issgf3Qsj32CbzcDqQ6AV3ACLcBGAsYHQ/s72-c/630.jpg)
SMZ YASIKITISHWA NA BAADHI YA WATENDAJI ARDHI KWA KUKOSA UAMINIFU
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inasikitishwa na tabia ya baadhi ya Watendaji wa Taasisi zinazosimamia masuala ya Ardhi Nchini kuendelea kutokuwa waaminifu katika utekelezaji wa majukumu yao kitendo ambacho huongeza migogoro ndani ya Jamii Nchini.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa masikitiko hayo wakati akijibu Hoja za Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kufuatia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake aliyoiwasilisha katika Kikao cha Bajeti cha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HDqi6jKuNFc/VXqsw21DzhI/AAAAAAAC6Z4/JFK1sTUgsb4/s72-c/898.jpg)
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAWAONYA WATENDAJI WA SERIKALI NA TAASISI ZAKE
Onyo hilo limetolewa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali wakati akizungumza na Wafanyakazi wa Idara ya upigaji chapa na Mpiga chapa Mkuu wa Serikali baada ya kuangalia utendaji kazi wa fanyakazi hao katika sehemu mbali mbali za Kiwandi hicho hapo...
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Watendaji watakiwa kutekeleza majukumu yao
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Nfl_VNxqN_4/VlgUH8eCL_I/AAAAAAAIIkE/o-xpG5mewcI/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-27%2Bat%2B11.27.29%2BAM.png)
Taasisi ya Benjamin William Mkapa yasikitishwa na udanganyifu au utapeli unaoendeshwa na baadhi ya watu wasiojulikana kupitia jina lake
![](http://1.bp.blogspot.com/-Nfl_VNxqN_4/VlgUH8eCL_I/AAAAAAAIIkE/o-xpG5mewcI/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-27%2Bat%2B11.27.29%2BAM.png)
Baadhi ya wadanganyifu hao wamekuwa wakitumia barua au akaunti yenye jina “Benjamini Mkapa” katika mtandao wa kijamii wa ‘facebook’ ambapo huwasiliana na watu, na kuwahadaa kuwa watawapatia ajira au...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QhD7_sBdeu0/VSv4WdWjFFI/AAAAAAAHQ_U/_cTQr5K96-8/s72-c/899.jpg)
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAWAHAKIKISHIA WAFANYAKAZI WA SHAMBA LA MPIRA KICHWELE KULIPWA MISHAHARA YAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-QhD7_sBdeu0/VSv4WdWjFFI/AAAAAAAHQ_U/_cTQr5K96-8/s1600/899.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fV3IW8s_SMA/VSv4VAob2GI/AAAAAAAHQ_E/umYJ8miH2F8/s1600/887.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-h3V4AVObwrQ/VSv4VDNDyfI/AAAAAAAHQ_A/Gai7gKoZQBc/s1600/891.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4rqQ9x6Lp9g/Xp8H5_DJvII/AAAAAAAEGzg/Oyjk9RZ7pB4bjovCFtOeIimSs3s-euS4gCLcBGAsYHQ/s72-c/NHKK.jpg)
Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation yakabidhi vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 300 kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ili kupambana na ugonjwa wa Covid-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-4rqQ9x6Lp9g/Xp8H5_DJvII/AAAAAAAEGzg/Oyjk9RZ7pB4bjovCFtOeIimSs3s-euS4gCLcBGAsYHQ/s640/NHKK.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 May
RC Singida awataka wafanyakazi kutekeleza majukumu yao katika kuzingatia mikataba
Baadhi ya wafanyakazi mkoani Singida, wakishiriki maandamano kama sehemu ya maadhimisho ya sherehe za sikukuu ya wafanyakazi duniani (Mei Mosi) mwaka huu iliyofanyika kwenye uwanja wa Namfua mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MKUU wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, amewaasa watumishi wa umma kuwa wasiwe wepesi wa kudai haki zao, bali kwanza watimize wajibu wao kikamilifu kwa madai kwamba haki na wajibu huambatana pamoja.
Dk.Kone ametoa usia huo wakati...
9 years ago
MichuziMABALOZI MBALIMBALI WAZUNGUMZA KUHUSU MAJUKUMU YAO KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3vgFu3FnjSg/VUm9zJFNKnI/AAAAAAAHVrw/BacOq5UY8oI/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
WANANCHI NA TAASISI WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI WANAPOTAKA KUPIMA MAENEO YAO YA ARDHI KUEPUKA KUTAPELIWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3vgFu3FnjSg/VUm9zJFNKnI/AAAAAAAHVrw/BacOq5UY8oI/s1600/Picha%2Bna%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zjBI5Vl6vjU/VUm9zFFyELI/AAAAAAAHVro/IZ3ePzhU3ag/s1600/Picha%2Bna%2B2.jpg)