SMZ YASIKITISHWA NA BAADHI YA WATENDAJI ARDHI KWA KUKOSA UAMINIFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-81VrDrDOHvY/XrP-miQblSI/AAAAAAALpZo/e7lC98-1X7Issgf3Qsj32CbzcDqQ6AV3ACLcBGAsYHQ/s72-c/630.jpg)
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inasikitishwa na tabia ya baadhi ya Watendaji wa Taasisi zinazosimamia masuala ya Ardhi Nchini kuendelea kutokuwa waaminifu katika utekelezaji wa majukumu yao kitendo ambacho huongeza migogoro ndani ya Jamii Nchini.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa masikitiko hayo wakati akijibu Hoja za Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kufuatia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake aliyoiwasilisha katika Kikao cha Bajeti cha...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-81VrDrDOHvY/XrP-miQblSI/AAAAAAALpZo/e7lC98-1X7Issgf3Qsj32CbzcDqQ6AV3ACLcBGAsYHQ/s72-c/630.jpg)
SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR YASIKITISHWA NA BAADHI YA WATENDAJI WA TAASISI YA ARDHI KUTOKUWA WAAMINIFU KATIKA MAJUKUMU YAO
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa masikitiko hayo wakati akijibu Hoja za Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kufuatia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake aliyoiwasilisha katika Kikao cha Bajeti cha...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200624_122816.jpg)
LUKUVI AWATAKA WATENDAJI IDARA ZA ARDHI KUPIMIA WANANCHI ARDHI
![IMG_20200624_122816 IMG_20200624_122816](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200624_122816.jpg)
Na Ahmed Mahmoud Arusha
WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Makazi, William Lukuvi amewataka maafisa ardhi kuwapa hati Mara moja watu wote waliopimiwa viwanja ili idadi iliyo kwenye michoro iwe na hati kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Nfl_VNxqN_4/VlgUH8eCL_I/AAAAAAAIIkE/o-xpG5mewcI/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-27%2Bat%2B11.27.29%2BAM.png)
Taasisi ya Benjamin William Mkapa yasikitishwa na udanganyifu au utapeli unaoendeshwa na baadhi ya watu wasiojulikana kupitia jina lake
![](http://1.bp.blogspot.com/-Nfl_VNxqN_4/VlgUH8eCL_I/AAAAAAAIIkE/o-xpG5mewcI/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-27%2Bat%2B11.27.29%2BAM.png)
Baadhi ya wadanganyifu hao wamekuwa wakitumia barua au akaunti yenye jina “Benjamini Mkapa” katika mtandao wa kijamii wa ‘facebook’ ambapo huwasiliana na watu, na kuwahadaa kuwa watawapatia ajira au...
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Baadhi ya maeneo jijini D’Salaam kukosa maji
10 years ago
StarTV06 Feb
Manispaa Ilemela kuwawajibisha watendaji Ardhi
Na Wambura Mtani,
Mwanza.
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza inakusudia kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wake wa idara ya ardhi na mipango miji wanaojihusisha na vitendo vya uporaji viwanja katika maeneo mbalimbali ya manispaa hiyo.
Hatua hii inakuja baada ya kukithiri kwa malalamiko yanayowahusisha watendaji wa idara hizo ambao wanatuhumiwa kuwahadaa wananchi kuwapimia viwanja na kisha kuwapora kwa madai kuwa maeneo yao yametengwa kwa ajili ya miradi maalumu ya...
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Tibaijuka: Watendaji Ardhi tendeni haki
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amewataka watendaji wa Wizara yake kuhakikisha wanatenda haki katika upimaji na ugawaji wa viwanja ili kuepukana na migogoro inayoendelea...
10 years ago
StarTV14 Jan
Maafisa ardhi waaswa kuelimisha watendaji Manyara.
Na Ramadhan Mvungi
Arusha.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Joel Bendera amewaagiza maafisa wa ardhi kuwaelimisha watendaji ngazi za vijiji na kata kuhusu sheria za ugawaji wa Ardhi.
Hatua hii itaepusha utaratibu wa uuzwaji wa ardhi kiholela unaochangia migogoro na mauaji katika baadhi ya maeneo mkoani Manyara.
o que fazer viagra para homensAkizungumza na viongozi wa kiserikali pamoja na watumishi wa umma wilayani Kiteto katika ziara yake akiwa kama Mkuu mpya wa Mkoa wa Manyara, Bendera...
10 years ago
Vijimambo29 Nov
HAYA NDIO BAADHI YA MAAZIMIO YALIYOSABABISHA BUNGE KUAHIRISHWA KWA KUPINGA BAADHI YA MAADHIMIO YA KUWALINDA WATUHUMIWA WA SAKATA LA ESCROW
MAAZIMIO
Pendekezo la kwanza la kumkamata na kumfilisi bwana Seth lina marekebisho ya serikali, naibu waziri wa Sheria anasema haiwezekani
Pendekezo la pili kuhusu Rugemalira, serikali imeweka marekebisho kuhusu uhalali wa pesa za Rugemalira alizogawa
Azimio la TATU limerekebishwa kuwa waliopokea pesa wachunguzwe na kuchukuliwa hatua mahususi kwa mujibu wa sheria
Pendekezo la NNE. Kamati inazitaka mamlaka kuzitangaza benki za Mkombozi na Stanbic kama asasi za utakatishaji fedha
Azimio la 4...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qkAsdO85el8/XpCs1YO4FrI/AAAAAAALmuw/KL-bY-WtR8U8_-D9_rHXM3Bvs6wr8VDZwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-19.jpg)
WATENDAJI SEKTA YA ARDHI OFISI ZA MIKOA WATAKIWA KUEPUKA URASIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-qkAsdO85el8/XpCs1YO4FrI/AAAAAAALmuw/KL-bY-WtR8U8_-D9_rHXM3Bvs6wr8VDZwCLcBGAsYHQ/s640/1-19.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mary Makondo akizungumza wakati wa kufunga mafunzo kwa watendaji wa sekta ya Ardhi wa ofisi za Ardhi za mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida na Manyara yaliyofanyika ofisi za Wizara katika Mji wa Serikali eneo la Mtumba jijini Dodoma jana.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-13.jpg)
Kamishna wa Ardhi nchini Nathaniel Nhonge akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya Watendaji wa sekta ya ardhi wa ofisi za Ardhi za mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida na Manyara yaliyofanyika ofisi...