Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LUKUVI AWATAKA WATENDAJI IDARA ZA ARDHI KUPIMIA WANANCHI ARDHI

IMG_20200624_122816Waziri wa Ardhi Wiliam Lukuvi akiwasili kwenye uzinduzi wa Ofisi ya Ardhi mkoa wa Arusha mapema leo akiwa maeongozana na mkuu wa mkoa wa Arusha Idd Kimanta pamoja na katibu tawala mkoa wa Arusha Richard Kwitega nyuma wakiwa na mkuu wa wilaya ya Monduli Edward Balele picha na Ahmed Mahmoud Arusha.
Na Ahmed Mahmoud Arusha

WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Makazi, William Lukuvi amewataka maafisa ardhi kuwapa hati Mara moja watu wote waliopimiwa viwanja ili idadi iliyo kwenye michoro iwe na hati kwa...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Lukuvi aijia juu idara ya ardhi

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akifafanua jambo kwa wakazi wa Manispaa ya Sumbawanga kuhusu kero mbalimbali za migogoro ya ardhi zinazowakabili alipokutana nao katika ukumbi wa mikutano wa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa jana. (Picha na Peti Siyame).WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amewajia juu maofisa ardhi nchini kuwa idara yao imekuwa kichaka na uchochoro wa kuwafanyia unyanyasaji na uonevu mkubwa wananchi kwa kuwapoka haki zao za kumiliki viwanja vya makazi na mashamba kihalali na kueleza kuwa sasa watakiona.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WASIOTAKA KUCHUKUA HATI ZA ARDHI

  Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akitoa maelekezo mbele ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Mary Makondo (wa tatu kushoto), Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Dkt John Pima (Wa kwanza kushoto) pamoja na Msajili Msaidizi wa Hati katika ofisi ya Ardhi mkoa wa Arusha Juliana Ngonyani wakati akikagua masijala ya ardhi alipokwenda kuzindua ofisi hiyo jana. Baadhi ya Watendaji wa sekta ya ardhi mkoa wa Arusha na wananchi wakimsikiliza Waziri wa Ardhi Nyumba na...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA ARDHI WILLIAM LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI

 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Vangimembe Lukuvi akiongea na wananchi waliojitokeza kuwasilisha kero zao katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo mkoani Iringa. Alisisitiza kuwa Mkoa wa Iringa uharakishe kupima ardhi ya wananchi ili kupunguza migogoro ya ardhi. Sehemu ya umati wa wananchi wa Mkoa wa Iringa wakimsikiliza Waziri Lukuvi aliposikiliza kero zao katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo Manispaa ya Iringa.


...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WALIOTELEKEZA HATI ZAO ZA ARDHI AMBAZO ZIPO TAYARI

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akikata utepe kuzindua ofisi ya ardhi mkoa wa Arusha jana. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Arusha Idd Kimanta, wa tatu kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Mary Makondo na Kulia ni Kamishna Msaidizi wa Ardhi mkoa wa Arusha Leo Komba

Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Maafisa Ardhi nchini kuhakikisha wanawafuatilia wamiliki wa ardhi ambao hati zao zimekamilika lakini...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI LUKUVI AAGIZA WASAJILI WASAIDIZI WA HATI OFISI ZA ARDHI ZA MIKOA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI


Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akikata utepe kuzindua rasmi ofisi ya ardhi ya mkoa wa Singida jana. Kushoto ni Kaimu Mkuu wa mkoa wa Singida ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskasi Muragili wa pili kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Mary Makondo na wa tatu kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Alhaji Juma Kilimba.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza wakati wa uzinduzi ofisi ya ardhi mkoa wa Singida jana....

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWAAGIZA WAKUU WA IDARA KUANDAA TAARIFA ZA IDARA ZAO.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Willium Lukuvi akizungumza na wakuu Idara katika wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi alipokutana nao leo alipokaribishwa kwa mara ya kwanza katika wizara  hiyo, tangu achaguliwe na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kuwa Waziri wa wizara, na kuwaagiza wakuu wa idara katika wizara hiyo kutoa taaarifa za idara zao ifikapo jumatatu ya wiki ijayo.Naibu Waziri wa Wizara Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,...

 

10 years ago

Habarileo

Kanda zaagizwa kutumia vifaa vya kisasa vya kupimia ardhi

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviSERIKALI imeagiza kila kanda kuwa na vifaa vya kisasa vya kupimia ardhi ambavyo vitawekwa katika halmashauri mbalimbali nchini, ili viweze kutumiwa na vijana wanaohitimu vyuo wenye taaluma ya masuala ya ardhi.

 

10 years ago

Mtanzania

Lukuvi ashusha kodi ya ardhi

LukuviNA MWANDISHI WETU, DODOMA
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amesema wizara yake imehuisha viwango vya kodi, ada na tozo mbalimbali za ardhi kwa lengo la kupata viwango vinavyopangika.
Lukuvi alitoa kauli hiyo bungeni mjini Dodoma jana, wakati akiwasilisha makadirio na matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2015/16.
Alisema kodi ya pango la ardhi imepungua kwa wastani wa asilimia 30 na viwango vingine vinavyomgusa mwananchi wa kawaida vimepungua kwa asilimia 50 au...

 

10 years ago

Habarileo

Idara ya ardhi kuzindua mfumo wa mtandao leo

IDARA ya Ardhi na Mazingira inatarajia kuzindua mfumo wa Mtandao wa Upatikanaji Taarifa za Ardhi Zanzibar (Zanzibar Land Information Service ’ZALIS’ ) itakayosaidia upatikanaji wa taarifa sahihi za ardhi nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani