WAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WASIOTAKA KUCHUKUA HATI ZA ARDHI
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akitoa maelekezo mbele ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Mary Makondo (wa tatu kushoto), Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Dkt John Pima (Wa kwanza kushoto) pamoja na Msajili Msaidizi wa Hati katika ofisi ya Ardhi mkoa wa Arusha Juliana Ngonyani wakati akikagua masijala ya ardhi alipokwenda kuzindua ofisi hiyo jana.
Baadhi ya Watendaji wa sekta ya ardhi mkoa wa Arusha na wananchi wakimsikiliza Waziri wa Ardhi Nyumba na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogWAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WALIOTELEKEZA HATI ZAO ZA ARDHI AMBAZO ZIPO TAYARI
Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Maafisa Ardhi nchini kuhakikisha wanawafuatilia wamiliki wa ardhi ambao hati zao zimekamilika lakini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K8G6SP7mC_k/XvGGtuofJ5I/AAAAAAALu_8/1Oq-UpvIGjIGGFPsiMWCqTg4y7uFt0mYwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-42.jpg)
WAZIRI LUKUVI AAGIZA HATI ZA ARDHI KUTOLEWA NDANI YA WIKI MOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K8G6SP7mC_k/XvGGtuofJ5I/AAAAAAALu_8/1Oq-UpvIGjIGGFPsiMWCqTg4y7uFt0mYwCLcBGAsYHQ/s640/1-42.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-29.jpg)
Muonekano wa Ofisi mpya ya Ardhi mkoa wa Tanga ambayo imezinduliwa rasmi jana na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-30.jpg)
Baadhi ya Wananchi...
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA ARDHI WILLIAM LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aKMc_c4zvVU/XvXmY1n6a4I/AAAAAAALviM/w_sQcjQijx42DP4M7qi1ne95z7e-ck6DQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-51.jpg)
WAZIRI LUKUVI AAGIZA WASAJILI WASAIDIZI WA HATI OFISI ZA ARDHI ZA MIKOA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-aKMc_c4zvVU/XvXmY1n6a4I/AAAAAAALviM/w_sQcjQijx42DP4M7qi1ne95z7e-ck6DQCLcBGAsYHQ/s640/1-51.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akikata utepe kuzindua rasmi ofisi ya ardhi ya mkoa wa Singida jana. Kushoto ni Kaimu Mkuu wa mkoa wa Singida ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskasi Muragili wa pili kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Mary Makondo na wa tatu kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Alhaji Juma Kilimba.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-36.jpg)
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza wakati wa uzinduzi ofisi ya ardhi mkoa wa Singida jana....
5 years ago
MichuziLUKUVI AMALIZA RASMI ULAJI WA MAAFISA ARDHI
Waziri Lukuvi amesema hayo mkoani Arusha tarehe 8/3/2020 wakati wa ziara yake ya kuanzisha rasmi ofisi za ardhi za mikoa na kuvunja ofisi za kanda ambazo zilikuwa zinahudumia zaidi ya mkoa mmoja, hali iliyokuwa inawasababishia wananchi usumbufu.
Akizungumza na viongozi wa mkoa huo wakati akianzisha rasmi ofisi mpya ya kanda ya mkoa wa Arusha amesema...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200624_122816.jpg)
LUKUVI AWATAKA WATENDAJI IDARA ZA ARDHI KUPIMIA WANANCHI ARDHI
![IMG_20200624_122816 IMG_20200624_122816](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200624_122816.jpg)
Na Ahmed Mahmoud Arusha
WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Makazi, William Lukuvi amewataka maafisa ardhi kuwapa hati Mara moja watu wote waliopimiwa viwanja ili idadi iliyo kwenye michoro iwe na hati kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mqVcGHdqQSI/VgIwwd4vLUI/AAAAAAAH63Q/G9mCzFiyNPY/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
WAZIRI LUKUVI APAMBANA NA MIGOGORO YA ARDHI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-mqVcGHdqQSI/VgIwwd4vLUI/AAAAAAAH63Q/G9mCzFiyNPY/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Ziara ya Waziri Lukuvi Mwanza kutatua migogoro ya ardhi
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi akisikiliza maelezo kutoka kwa Mh. Jaji Mfawidhi Makalamba alipokutana naye ofisini kwa Jaji huyo Jijini Mwanza ili kupata namna bora ambayo mhimili wa mahakama unaweza kusaidia kutatua migogoro ya ardhi nchini. Waziri Lukuvi yupo katika ziara ya kikazi Mkoani Mwanza yenye nia ya kusikiliza na kutatua migogoro ya ardhi.
Mh. Waziri William Lukuvi akizungumza na watendaji wa ardhi na Mipango Miji pamoja na Kamati ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2sXp_yJPwzs/VND9J6SF2iI/AAAAAAAHBU8/tEXh-fj1AHY/s72-c/unnamed.jpg)
Waziri Lukuvi atangaza mapambano dhidi ya wanaodhulumu ardhi
![](http://3.bp.blogspot.com/-2sXp_yJPwzs/VND9J6SF2iI/AAAAAAAHBU8/tEXh-fj1AHY/s1600/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b7nLEnWBAeQ/VND9IFp1OWI/AAAAAAAHBUk/Py3uH4QkkC4/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bnsPL1b2pFs/VND9ID5_y8I/AAAAAAAHBUs/A6BKc0Ntg_I/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9m_vW_D7Z3o/VND9IVpPgeI/AAAAAAAHBUo/aK4DEbftzM0/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
Hussein Makame-MAELEZO,Dodoma
WAZIRI wa...