5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cxeL6-vd8lY/Xu0IJiyqe_I/AAAAAAALurs/Tcz1Eaw6EOoBJ3giKaCfVpTXEWqUzO_0wCLcBGAsYHQ/s72-c/730618f6-61b0-4672-9ca3-bb8344e72946.jpg)
WANA CCM MANYONI WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI RAIS DKT MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-cxeL6-vd8lY/Xu0IJiyqe_I/AAAAAAALurs/Tcz1Eaw6EOoBJ3giKaCfVpTXEWqUzO_0wCLcBGAsYHQ/s640/730618f6-61b0-4672-9ca3-bb8344e72946.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a9285cc7-b91f-48ed-b1fc-cca10e829e47.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QLC68Ckdguw/XucSut7j0dI/AAAAAAALt2s/6l7E42lFw6IvH24eUcSEXeXg4Jo1kMFVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200612_085813_5.jpg)
WAZAWA WAASWA KUONDOA HOFU YA KUCHANGIA MAENDELEO YA WILAYA YA IRAMBA MKOANI SINGIDA
Wito huo umetolewa juzi na mkuu wa wilaya hiyo, Emmanuel Luhahula, wakati akitoa shukrani na pongezi kwa wizara ya maji kutoa msaada wa vifaa vya kudhibiti kusambaa kwa virusi vya corona. Msaada huo...
5 years ago
MichuziRC SINGIDA AKAGUA NA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI MANYONI
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Mbunge wa Jimbo la Manyoni Magharibi ahimiza ukusanyaji pamoja na usimamizi wa mapato ya Halmashauri ya Itigi
Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi (CCM), Bwana Yahaya Masare (wa kwanza kutoka kulia) akiwa na Katibu wa CCM wilaya ya Manyoni, Dafrosa aliyekwenda kushuhudia sherehe za uzinduzi wa Halmashauri mpya ya Itigi.
Baadhi ya wananchi na watendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi,wilayani Manyoni waliohudhuria uzinduzi wa Halmashauri mpya ya Itigi, Mkoani Singida.
Mbunge wa jimbo la Manyoni magharibi(CCM)Bwana Yahaya Masare(wa tatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi...
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Halmashauri ya Manyoni yatumia zaidi ya Mil.99 kuwalipa mishahara Watendaji wa Vijiji wasiokuwa na vituo vya kazi
Afisa utumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni, Bi Pinina (wa kwanza kutoka kushoto) akiwa na baadhi ya watumishi wa Halmashauri hiyo waliohudhuria kwenye uzinduzi wa mkutano wa baraza la madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi.
Diwani wa kata ya Mgandu, Bwana Martini Kapona (aliyevaa shada la maua) mara tu baada ya kula kiapo cha utii cha kuwatumikia wananchi wate waliomchagua na wasiomchagua.
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni, Bw.Supeet Roine Mseya (wa...
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
SEMA wavishauri vikundi vya kuweka na kukopa (SACCOS) vya Iramba Singida kuanzisha benki yao
Meneja mkuu wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA, Ivo Manyanku, akizungumza kwenye hafla ya sherehe ya kikundi cha kuweka na kukopa cha Tuinuane kijiji cha Kisonga wilaya ya Iramba, kumaliza mwaka kwa mafanikio. Sherehe hiyo iliyofanyikia kwenye ofisi ya kikundi hicho.
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Kaya 19 zilizopo katika mpango wa kunusuru kaya maskini zakosa malipo yao Manyoni
Baadhi ya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini wa Kijiji cha Sukamahela, tarafa ya Kilimatinde waliokosa malipo yao licha ya kuwa na taarifa na fomu za kupokelea malipo hayo, na kujikuta wakikaa kwa muda wa zaidi ya saa tano wakisubiri kuitwa wakapokee malipo hayo.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Stephen Chilewa Mgusi (wa kwanza kutoa kulia), Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Sukamahela, Bwana Ernesti Gyunda Kitundu (wa pili kutoka kulia) na Mwezeshaji wa TASAF wilaya ya...
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Watu wenye ulemavu wa ngozi Manyoni waomba kusogezewa karibu dawa zakujikinga
Jengo la ofisi ya Kijiji cha Kilimatinde,wilayani Manyoni mahali walipokuwa wakipokelea malipo ya fedha za mpango wa kunusuru kaya maskini katika Kijiji hicho.
Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Kilimatinde, wilayani Manyoni wakisubiri kwa hamu kuba malipo ya TASAF awamu ya tatu yaliyokuwa yakifanyika katika ofisi za kijiji hicho.
baadhi ya waanchi wa Kijiji cha Sukamahela,tarafa ya Kilimatinde, wilayani Manyoni wakisikiliza maelekezo kutoka kwa Mwenyekiti wa kijiji hicho juu ya taratibu za...
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Wanawake wajawazito Manyoni wanapoteza maisha kwa kufuata Huduma za Afya umbali wa zaidi ya KM 30 hadi 40
Mmoja wa watoto waliofika katika ofisi za Kijiji cha Maweni kwa ajili ya kuhudhuria Kliniki tembezi kutoka katika Hospitali ya misheni ya Kilimatinde,wilayani Manyoni akipimwa uzito na wahudumu wa afya wa Hospitali hiyo.
Watoto wakisalimiana wakati wakisubiri kupatiwa huduma za chanjo kutoka kwa wataalamu wa afya kutoka katika Hospitali ya misheni ya Kilimatinde,wilayani Manyoni.
Jengo la zahanati inayojengwa kwa nguvu za wananchi ambayo itakapokamilika inatarajia kutumia zaidi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cvP3R1Uz9I8/Vb0G-TEbTzI/AAAAAAAHtI0/TxwNhhSafvs/s72-c/SAM_0116.jpg)
Mwigulu Nchemba Ashinda kwa 99% kura za maoni Ubunge jimbo la Iramba
![](http://1.bp.blogspot.com/-cvP3R1Uz9I8/Vb0G-TEbTzI/AAAAAAAHtI0/TxwNhhSafvs/s400/SAM_0116.jpg)
Masimba Mwigulu 88Jairo 1Kilimba 0Amon 0
MlandalaMwigulu 50Jairo 0Kilimba 3Amon0
Mang'ole Mwigulu 173Jairo 6Kilimba 0Amon 0
MSAIMwigulu 294Jairo 35Kilimba 59
MALUGAMwigulu 322Kilimba 5Jailo 0
UWANZAMwigulu 172Jairo 8Kirimba 23Amon 2
Nganguri
Mwigulu 727kilimba 2jairo 2Amon 0Mwigulu kashinda
10 years ago
Michuzi11 Nov
SEMA KUTUMIA MILIONI 396/- KUWEKA SAWA MAZINGIRA MASHULENI IRAMBA
![DSC02082](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC02082.jpg)
Na Nathaniel Limu, IrambaSHIRIKA lisilo la kiserikali la Sustainable Environment Management Action (SEMA),linatarajia kutumia zaidi ya shilingi 396 milioni kugharamia utekelezaji wa mradi wa usafi mashuleni na...
10 years ago
Dewji Blog03 Sep
Mil 500 kutumika zoezi la Chanjo ya Surua na Rubella Mkoa wa Singida
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone.
Na Nathaniel Limu, Singida
MKOA wa Singida, unatarajia kutumia zaidi ya shilingi 500 milioni kwa ajili ya kugharamia zoezi la kampenin ya taifa ya chanjo mpya ya surua na rubella, kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka 15.
Zoezi hilo la nchi nzima,linatarajiwa kuanza mwezi huu wa septemba kuanzia tarehe 24 hadi 30.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Kone, ametoa wito kwa wananchi kutekeleza wajibu...
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Chilolo aula ukamanda UVCCM Singida mjini, ataka mshikamano vijana na MO
Diana Chilolo (katikati) akila kiapo kuwa kamanda wa UVCCM manispaa ya Singida kwenye viwanja ofisi ya CCM mkoa wa Singida mjini Singida. Kulia ni katibu mkuu UVCCM taifa, Sixtus Mapunda ambaye alimwapicha Chilolo na kushoto ni kamanda msaidizi wa UVCCM manispaa ya Singida, Hassan Dumwala.
Na Nathaniel Limu
VIJANA waishio Jimbo la Singida Mjini, wameshauriwa kufanya kazi karibu na Mbunge wao, Mohammed Dewji ili kuharakisha upatikanaji maendeleo ya jimbo hilo, pamoja na ya kwao binafsi.
Wito...
10 years ago
Dewji Blog25 Aug
Makanisa Singida yaonya matusi na ubaguzi Bungeni
Askofu wa kanisa la Evanglist Assembels of God Tanzania (E.A.G.T) Singida mjini, John Mafwimbo akizungumza kwenye mkutano wa Injili uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Ukombozi mjini Singida.Pamoja na mambo mengi, askofu Mafwimbo amewasihi wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, kufanya mambo waliyotumwa na Watanzania na si vinginevyo.
Na Nathaniel Limu, Singida
Makanisa ya Kipentekoste mkoani Singida, yameungana na Watanzania wengine kuwaomba wajumbe wa Bunge Maalum la kuandaa Katiba...
10 years ago
Dodoma Road Accident23 Aug
Two die, 53 injured in Singida
Daily News
TWO people died and 52 others were injured after a bus they were traveling in from Dar es Salaam to Kahama overturned at Kambi ya Mkaa village in Ikungi district along Singida – Dodoma highway. Singida Regional Police Commander Mr Geofrey ...
-
Malawi
-
Magufuli
-
Lazarus
-
Kisarawe
-
Chakwera
-
Yanga
-
Urais
-
Salaam
-
Ccm
-
Ziara