Chilolo aula ukamanda UVCCM Singida mjini, ataka mshikamano vijana na MO
Diana Chilolo (katikati) akila kiapo kuwa kamanda wa UVCCM manispaa ya Singida kwenye viwanja ofisi ya CCM mkoa wa Singida mjini Singida. Kulia ni katibu mkuu UVCCM taifa, Sixtus Mapunda ambaye alimwapicha Chilolo na kushoto ni kamanda msaidizi wa UVCCM manispaa ya Singida, Hassan Dumwala.
Na Nathaniel Limu
VIJANA waishio Jimbo la Singida Mjini, wameshauriwa kufanya kazi karibu na Mbunge wao, Mohammed Dewji ili kuharakisha upatikanaji maendeleo ya jimbo hilo, pamoja na ya kwao binafsi.
Wito...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4PaQIUqd6VY/VdDpMYFpj8I/AAAAAAAC9rg/F1nLSucQOG8/s72-c/_MG_6403.jpg)
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) lamvua ukamanda Kinguge Ngombale Mwiru
![](http://2.bp.blogspot.com/-4PaQIUqd6VY/VdDpMYFpj8I/AAAAAAAC9rg/F1nLSucQOG8/s640/_MG_6403.jpg)
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM lililokutana tarehe 15.08.2015 katika ukumbi wa Julius Nyerere International convention centre, pamoja na mambo mengine liliazimia mambo yafutauo:-
1. Lilimvua Ukamanda Mkuu ndugu Kingunge Ngombale Mwiru. Maamuzi hayo yalitolewa kutokana na tabia na mwenendo wake wa hivi karibuni kuenda tofauti na maadili na taratibu za CCM.
Aidha kikao kimetoa mapendekezo kwa vikao vya Chama Cha Mapinduzi kuuangangalia upya uanachama wake na...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/kzG2qY2Z3KY/default.jpg)
11 years ago
MichuziMarealle apewa tena Ukamanda wa Vijana wa CCM Moshi Mjini
10 years ago
Dewji Blog04 Aug
UVCCM Singida yamchagua msomi Fancy Nkuhi Ubunge Viti maalum kupitia vijana
Fancy Nkuhi ambaye ameshinda katika nafasi ya Mgombea wa nafasi ya Ubunge wa Viti maalum kupitia vijana katika Mkoa wa Singida.
KATIBU wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhan Kapeto akizungumza kwenye mkutano mkuu wa UVCCM wa uchaguzi wa nafasi ya mgombea Ubunge wa viti maalumu kupitia vijana jana mkutano huo ulimchagua Fancy Nkuhi kuwa mwakilishi wao kwa kupata kura 21 dhidi ya 8 za Jamila Kitila.
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Singida, Labia Lissu akizungumza kwenye mkutano huo, kulia n mchumi wa...
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Samwel Nakei, aapishwa kuwa kamanda wa UVCCM wilaya mpya ya Mkalama, Mkoani Singida aahidi kuleta neema kwa Vijana
Katibu wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhan Kapeto akimwapishwa Samwel Nakei kuwa kamanda wa UVCCM Wilaya ya Mkalama jana.
Samweli Nakei akila kiapo cha kuwa Kamanda wa (UVCCM) Wilaya ya Mkalama.
Na Hillary Shoo, MKALAMA
VIJANA Wilayani Mkalama Mkoani Singida wametakiwa kujiunga kwenye vikundi mbalimbali vya ujasiriamali ili waweze kukopesheka kirahisi badala ya mtu mmoja mmoja.
Changamoto hiyo imetolewa jana Wilayani hapa na Kamanda Mpya ya Umoja wa vijana wa (UVCCM) Wilaya ya Mkalama,...
9 years ago
GPLDK MAGUFULI, CHILOLO WAISAMBARATISHA NGOME YA TUNDU LISSU SINGIDA MASHARIKI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-m8GRXxRpaF8/VOEIKQhOJpI/AAAAAAAAW84/GxIyDpEUQfM/s72-c/026.jpg)
DIONIZ MALINZI ASIMIKWA UKAMANDA WA VIJANA MKOA WA KAGERA
![](http://1.bp.blogspot.com/-m8GRXxRpaF8/VOEIKQhOJpI/AAAAAAAAW84/GxIyDpEUQfM/s1600/026.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PKsjptbdr64/VOEImyG1VPI/AAAAAAAAW9k/SKIjyYUshnY/s1600/027.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--VvrAiXhaHo/VOEIIX6AVQI/AAAAAAAAW8Y/Hin0Y8W-Jos/s1600/017.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RKdN9c-9mVE/VOEIIvcyEiI/AAAAAAAAW8g/YAuZHDKS87c/s1600/019.jpg)
10 years ago
Michuzi21 Aug
BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-4-robinson1.jpg?w=300&h=225)
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-6.jpg?w=300&h=225)
Katibu wa UVCCM wilaya ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Op05Qh2R9EA/VMAJDe3au1I/AAAAAAACyLE/ra-DbxDu7TU/s72-c/5.jpg)
UVCCM ZANZIBAR WAFANYA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO KUUNGA MKONO HOTUBA YA DKT.SHEIN
![](http://2.bp.blogspot.com/-Op05Qh2R9EA/VMAJDe3au1I/AAAAAAACyLE/ra-DbxDu7TU/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O5WqITaaS1Q/VMAJfVqqUeI/AAAAAAACyLM/pinim0hcC1o/s1600/2.jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mjini...