5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JDSrSPbKCqc/XvbUJomRvKI/AAAAAAALvpo/dd_5QsF8_EEIYNzvNQKE-C6L3VmVc0uXACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200612-WA0059.jpg)
TAKUKURU MANYARA YAWASHIKILIA MWENYEKITI NA KATIBU WA CCM BABATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-JDSrSPbKCqc/XvbUJomRvKI/AAAAAAALvpo/dd_5QsF8_EEIYNzvNQKE-C6L3VmVc0uXACLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200612-WA0059.jpg)
Na Mwandishi wetu, Babati
TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (Takukuru) Mkoani Manyara inamshikilia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tawi la Maisaka kati Bakari Khatibu na katibu wa Tawi hilo Juma Swalehe wote wakazi wa wilaya ya Babati kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya sh. 200,000 kutoka kwa Mwinjilist wa kanisa la kinjili la kilutheri Tanzania (KKKT) mtaa wa Komoto.
Mkuu wa Takukuru Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu aliyasema hayo mjini Babati wakati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X_EKDrifT-A/XvCL5EUDZZI/AAAAAAALu6k/njLxH_Gn7g8pLulPCtCGe2yQFUgJySUnACLcBGAsYHQ/s72-c/hCWUmxf2_400x400.png)
MZABUNI WA MADIRISHA UJENZI WA IKULU NDOGO HANANG AKAMATAWA NA TAKUKURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-X_EKDrifT-A/XvCL5EUDZZI/AAAAAAALu6k/njLxH_Gn7g8pLulPCtCGe2yQFUgJySUnACLcBGAsYHQ/s320/hCWUmxf2_400x400.png)
BAADA ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Hanang Mkoani Manyara kubaini madirisha yaliyowekwa katika ujenzi wa Ikulu Ndogo unaoendelea wilayani hapo hapo chini ya kiwango umemkamata na kumshikilia Joakimu Kauki kwa tuhuma hizo.
Kauki ndiye aliyepewa tenda ya uzabuni ya kutengeneza madirisha ya Aluminum na ofisi ya manunuzi Mkoa wa Manyara kwa jengo la Ikulu Ndogo inayojengwa wilayani Hanang.
Uchunguzi uliofanywa na TAKUKURU umebaini pia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WXsMGaxiHVM/XuUNFsYnILI/AAAAAAALts8/1hTk8tFdfbQpG_goTxCSv7z7nOHoOCAVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200612-WA0024.jpg)
WANANCHI SIMANJIRO KUNUFAIKA NA HOSPITALI MPYA YA WILAYA
Mhandisi Chaula akizungumza jana wakati akizindua hospitali hiyo alimshukuru Rais John Magufuli kwa kuwapatia fedha za ujenzi huo uliogharimu shilingi bilioni 1.8 zilizotumika hadi sasa.
Alisema tangu wilaya hiyo ianzishwe mwaka 1994...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lfge1iwbuug/XuC4sLsNVeI/AAAAAAALtUs/tYxh5iAE2TsuxAShis_n0uW6YcCKyYEHgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0063.jpg)
TAKUKURU MANYARA YAMFIKISHA KORTINI AFISA BIASHARA SIMANJIRO
![](https://1.bp.blogspot.com/-lfge1iwbuug/XuC4sLsNVeI/AAAAAAALtUs/tYxh5iAE2TsuxAShis_n0uW6YcCKyYEHgCLcBGAsYHQ/s200/IMG-20200520-WA0063.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Mkuu wa TAKUKURU Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu washtakiwa hao walisomewa mashtaka hayo na wakili wa TAKUKURU...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XMaLgNlWBaM/XsfXR4ANsUI/AAAAAAALrSc/6nJ9sVigsRkUYyP7lubgiGSjeck_yqWuQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200522-WA0022.jpg)
TAKUKURU WASAIDIA MJANE KITETO KUPATA JENGO LAKE
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imefanikisha kurejesha jengo la mjane Jane Duncan Kaaya ambalo liliporwa na ofisa maendeleo ya jamii wa kata ya Kibaya, Wilayani Kiteto Mkoani Manyara, Janeth Paulo na kutumiwa kukodishwa kama ghala la kuhifadhi mazao.
Akizungumza jana Mkuu wa TAKUKURU, Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu akizungumza alisema mjane huyo aliporwa jengo hilo na ofisa huyo wa maendeleo ya jamii wa Kata ya Kibaya Janeth Paulo tangu mwaka 2017 hadi ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LCVSK2Si-ig/XsUpAyQcJKI/AAAAAAALq9c/epsSaqgDv4UPCwu4FzvxiJQpFfdCzyNOQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0063.jpg)
AFUNGWA MIEZI TANO JELA BABATI KWA KUPOKEA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LCVSK2Si-ig/XsUpAyQcJKI/AAAAAAALq9c/epsSaqgDv4UPCwu4FzvxiJQpFfdCzyNOQCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200520-WA0063.jpg)
Hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Babati, Victor Kimaro alitoa hukumu hiyo jana mjini Babati kwenye mahakama hiyo.
Hakimu huyo alisema mahakama hiyo inamtia hatiani Sulle kwenye kesi hiyo ya jinai namba CC 92/2020 baada ya kuridhika na ushahidi uliowasilishwa na wakili wa Takukuru Evelyine Onditi.
Hakimu Kimaro alisema hata hivyo, washtakiwa...
9 years ago
StarTV07 Jan
Wakazi Jirarani, Naisinyai Simanjiro wadaiwa kuvamia mgodi
Wakazi wa Kijiji cha Jirarani na mgodi wa Madini ya Tanzanite cha Naisinyai wilayani Simanjiro wanadaiwa kuvamia eneo la mgodi huo na kuzuia njia ya kuelekea lango kuu la mgodi pamoja na kufanya uharibifu wa miundombinu ya maji kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kupinga zoezi linaloendelea la upunguzwaji wa wafanyakazi wa mgodi huo.
Mashuhuda wanasema takribani watu mia moja wanaotajwa kuwa na asili ya wafugaji wa kimaasai wamezingira eneo hilo kabla ya vikosi vya ulinzi vya polisi kuwataka...
9 years ago
TheCitizen04 Jan
Future looks bleak for Hanang livestock farmers
9 years ago
TheCitizen03 Jan
Hanang pastoralists secure customary rights over land
9 years ago
TheCitizen28 Dec
Wheat growing in Hanang threatened by invasive weed
9 years ago
TheCitizen27 Dec
Hanang farmers claim more estates
9 years ago
MichuziHARAMBEE YA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI YAFANYIKA WILAYANI SIMANJIRO
9 years ago
StarTV21 Dec
Viongozi Simanjiro watupiwa lawama kutokana na rasilimali kutowanufaisha wananchi
Wakazi wa vijiji vilivyopo katika wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wameelezea kutoridhishwa na hali duni ya maisha wanayoishi ukilinganisha na rasilimali kubwa ya mifugo pamoja na madini ya Tanzanite yanayopatikana wilayani humo.
Wengi wao wanawashutumu viongozi wanaopewa dhamana ya kuongoza eneo hilo kushindwa kusimamia rasilimali zilizopo ili ziwanufaishe wananchi wote.
Kundi kubwa la wakazi wa eneo hilo la simanjiro ni watu wa jamii ya kifugaji ambao kwa asilimia kubwa hutegemea mifugo...
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
CCM Babati waendelea kushikana ‘uchawi’
MGOGORO uliokumba Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Babati umezidi kushika “kasi” kufuatia hatu
Paul Sarwatt
9 years ago
MichuziWAJASIRIAMALI BABATI WATAKIWA KUJIUNGA NA MPANGO WA KIKOA WA NHIF
Meela aliyasema hayo mjini Babati katika kongamano la kuwakutanisha wajasiriamali wa wilaya hiyo wa vicoba, Saccos, amcos, vibindo na vikundi maalum vilivyosajiliwa ili wajiunge na mpango wa bima ya afya ya Kikoa.
Alisema kuna changamoto nyingi za afya wilayani humo ila kupitia mpango...
-
Malawi
-
Magufuli
-
Lazarus
-
Kisarawe
-
Chakwera
-
Yanga
-
Urais
-
Salaam
-
Ccm
-
Ziara