Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU MANYARA YAWASHIKILIA MWENYEKITI NA KATIBU WA CCM BABATI


Na Mwandishi wetu, Babati 
TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (Takukuru) Mkoani Manyara inamshikilia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tawi la Maisaka kati Bakari Khatibu na katibu wa Tawi hilo Juma Swalehe wote wakazi wa wilaya ya Babati kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya sh. 200,000 kutoka kwa Mwinjilist wa kanisa la kinjili la kilutheri Tanzania (KKKT) mtaa wa Komoto.
Mkuu wa Takukuru Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu aliyasema hayo mjini Babati wakati...

 

5 years ago

Michuzi

MZABUNI WA MADIRISHA UJENZI WA IKULU NDOGO HANANG AKAMATAWA NA TAKUKURU

Charles James, Michuzi TV

BAADA ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Hanang Mkoani Manyara kubaini madirisha yaliyowekwa katika ujenzi wa Ikulu Ndogo unaoendelea wilayani hapo hapo chini ya kiwango umemkamata na kumshikilia Joakimu Kauki kwa tuhuma hizo.

Kauki ndiye aliyepewa tenda ya uzabuni ya kutengeneza madirisha ya Aluminum na ofisi ya manunuzi Mkoa wa Manyara kwa jengo la Ikulu Ndogo inayojengwa wilayani Hanang.

Uchunguzi uliofanywa na TAKUKURU umebaini pia...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI SIMANJIRO KUNUFAIKA NA HOSPITALI MPYA YA WILAYA

MKUU wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Mhandisi Zephania Chaula amezindua hospitali ya Wilaya hiyo hivyo waliokuwa wakisafiri umbali wa zaidi ya kilomita 180 hadi 200 kufuata huduma hiyo jijini Arusha au Mkoani Kilimanjaro wataondokana na adha hiyo. 
Mhandisi Chaula akizungumza jana wakati akizindua hospitali hiyo alimshukuru Rais John Magufuli kwa kuwapatia fedha za ujenzi huo uliogharimu shilingi bilioni 1.8 zilizotumika hadi sasa. 
Alisema tangu wilaya hiyo ianzishwe mwaka 1994...

 

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU MANYARA YAMFIKISHA KORTINI AFISA BIASHARA SIMANJIRO

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani Manyara kwa kushirikiana na ofisi ya Taifa ya mashataka imemfungulia mashtaka Afisa biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Peter Paul Sanga na msaidizi wa hesabu wa mamlaka ya mji mdogo wa Mirerani Gothard Garfred Mbawala katika kesi ya uhujumu uchumi.

Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Mkuu wa TAKUKURU Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu washtakiwa hao walisomewa mashtaka hayo na wakili wa TAKUKURU...

 

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU WASAIDIA MJANE KITETO KUPATA JENGO LAKE


TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imefanikisha kurejesha jengo la mjane Jane Duncan Kaaya ambalo liliporwa na ofisa maendeleo ya jamii wa kata ya Kibaya, Wilayani Kiteto Mkoani Manyara, Janeth Paulo na kutumiwa kukodishwa kama ghala la kuhifadhi mazao. 
Akizungumza jana Mkuu wa TAKUKURU, Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu akizungumza alisema mjane huyo aliporwa jengo hilo na ofisa huyo wa maendeleo ya jamii wa Kata ya Kibaya Janeth Paulo tangu mwaka 2017 hadi ...

 

5 years ago

Michuzi

AFUNGWA MIEZI TANO JELA BABATI KWA KUPOKEA RUSHWA

MKAZI wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Idd Sulle amehukumiwa kwenda jela miezi mitano kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa ya shilingi 120,000.
Hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Babati, Victor Kimaro alitoa hukumu hiyo jana mjini Babati kwenye mahakama hiyo. 
Hakimu huyo alisema mahakama hiyo inamtia hatiani Sulle kwenye kesi hiyo ya jinai namba CC 92/2020 baada ya kuridhika na ushahidi uliowasilishwa na wakili wa Takukuru Evelyine Onditi. 
Hakimu Kimaro alisema hata hivyo, washtakiwa...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Jirarani, Naisinyai Simanjiro wadaiwa kuvamia mgodi

Wakazi wa Kijiji cha Jirarani na mgodi wa Madini ya Tanzanite cha Naisinyai wilayani Simanjiro wanadaiwa kuvamia eneo la mgodi huo na kuzuia njia ya kuelekea lango kuu la mgodi pamoja na kufanya uharibifu wa miundombinu ya maji kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kupinga zoezi linaloendelea la upunguzwaji wa wafanyakazi wa mgodi huo.

Mashuhuda wanasema takribani watu mia moja wanaotajwa kuwa na asili ya wafugaji wa kimaasai wamezingira eneo hilo kabla ya vikosi vya ulinzi vya polisi kuwataka...

 

9 years ago

TheCitizen

Future looks bleak for Hanang livestock farmers

Traditional livestock keepers in Hanang District, Manyara Region, are set to face various challenges due to diminishing grazing  land, a former government administrator has said.

 

9 years ago

TheCitizen

Hanang pastoralists secure customary rights over land

Pastoralists in Hanang District, Manyara Region who continuously risk losing grazing land due increasing pressure from other users can now smile following an intervention geared towards assisting them acquire customary title deeds.

 

9 years ago

TheCitizen

Wheat growing in Hanang threatened by invasive weed

It was hardly known or seen until a few years ago.But an invasive Mexican poppy, a toxic plant with origins in the Americas, is wreaking havoc in crop fields in Hanang District, Manyara Region.

 

9 years ago

TheCitizen

Hanang farmers claim more estates

Villagers in Hanang District, Manyara Region, have made fresh demands, claiming ownership of two more wheat farms out of seven that were once under the defunct National Agricultural and Food Corporation (Nafco).

 

9 years ago

Michuzi

HARAMBEE YA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI YAFANYIKA WILAYANI SIMANJIRO

 Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Mahmoud Kambona akizungumza kwenye harambee ya ujenzi wa shule ya sekondari ya taasisi ya masjid Nuuru ya Mji mdogo wa Mirerani ambapo zilipatikana zaidi ya sh16 milioni (kushoto) ni Imamu wa masjid hiyo Mohames Shauri na kulia ni Willy Mushi meneja wa mgodi wa Tanzanite Africa. Mshairi wa mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Husna Hussein akimkabidhi mkuu wa wilaya hiyo Hashim Kambona, shairi alilolighani kwenye chakula...

 

9 years ago

StarTV

Viongozi Simanjiro watupiwa lawama kutokana na rasilimali kutowanufaisha wananchi

Wakazi wa vijiji vilivyopo katika wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wameelezea kutoridhishwa na hali duni ya maisha wanayoishi ukilinganisha na rasilimali kubwa ya mifugo pamoja na madini ya Tanzanite yanayopatikana wilayani humo.

Wengi wao wanawashutumu viongozi wanaopewa dhamana ya kuongoza eneo hilo kushindwa kusimamia rasilimali zilizopo ili ziwanufaishe wananchi wote.

Kundi kubwa la wakazi wa eneo hilo la simanjiro ni watu wa jamii ya kifugaji ambao kwa asilimia kubwa hutegemea mifugo...

 

9 years ago

Raia Mwema

CCM Babati waendelea kushikana ‘uchawi’

MGOGORO uliokumba Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Babati umezidi kushika “kasi” kufuatia hatu

Paul Sarwatt

 

9 years ago

Michuzi

WAJASIRIAMALI BABATI WATAKIWA KUJIUNGA NA MPANGO WA KIKOA WA NHIF

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Crispin Meela amewataka wajasiriamali wa wilaya hiyo kujiunga na mpango wa bima ya afya ya Kikoa ili wapate huduma za afya kwa unafuu na ubora zaidi pindi wakiugua.
Meela aliyasema hayo mjini Babati katika kongamano la kuwakutanisha wajasiriamali wa wilaya hiyo wa vicoba, Saccos, amcos, vibindo na vikundi maalum vilivyosajiliwa ili wajiunge na mpango wa bima ya afya ya Kikoa.
Alisema kuna changamoto nyingi za afya wilayani humo ila kupitia mpango...

 


Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani