10 years ago
VijimamboTAMASHA LA UHAMASISHAJI WA KUSOMA VITABU LAFANYIKA MICHEWENI
10 years ago
Daily News03 Sep
Pemba mother of eight buries newborn baby
Daily News
POLICE in Zanzibar have arrested a 40-year-old mother of eight children who recently buried her newborn baby in Mapofu village, Micheweni district in Pemba North region. The woman, identified as Faida Mohammed, reportedly gave birth to a baby almost ...
10 years ago
Habarileo31 Aug
Wana-CCM Micheweni wamtaka Dk Salmin
WANACHAMA na wakereketwa wa CCM Wilaya ya Micheweni wamekiomba Chama Cha Mapinduzi kumpeleka Rais mstaafu wa Awamu ya Tano Zanzibar, Dk Salmin Amour Juma `Komandoo’ kisiwani Pemba ili akafungue maskani waliyoijenga na kuipa jina lake.
10 years ago
Mtanzania22 Aug
Jaja aanza kuonyesha makali Pemba
![Santos Santana ‘Jaja’](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/JAJA.jpg)
Mchezaji wa Yanga Geilson Santos Santana ‘Jaja’ akipokea nakala ya mkataba wake kutoka kwa Katibu Mkuu wa yanga, Beno Njovu, jana baada ya kusaini kuichezea timu hiyo kwa miaka miwili.
NA HUSSEIN OMARI, PEMBA
MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga Mbrazil Geilson Santana ‘Jaja’, jana ameanza kuonyesha makali yake baada ya kuifungia timu yake bao, katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Chipukizi, katika mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Gombani, Chakechake Pemba.
Mchezaji huyo amejiunga na Yanga mwezi...
11 years ago
Habarileo09 Aug
Pemba watakiwa kutumia vyandarua
WANANCHI wa Pemba wametakiwa kuendelea kutumia vyandarua, kama njia pekee ya kupambana na malaria na kupunguza vifo vya akinamama na watoto.
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Watu 19 walazwa kwa kula samaki Pemba
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Kagame yaipeleka Yanga Pemba
KLABU ya Yanga, imepanga kuipeleka timu visiwani Pemba kwa kambi ya kujiandaa na michuano ya Kombe la Kagame itakayoanza Agosti 8, jijini Kigali, Rwanda. Yanga iliyopo kundi A, itaanza kampeni...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MRuvCX_795w/U8rtuRjwPaI/AAAAAAAF3zw/qHiGf4up6Rc/s72-c/unnamed+(38).jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad atembelea na kuwafariji wagonjwa na wafiwa Pemba
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZBm6IYBZ0KI/U7-JlW0fy2I/AAAAAAAF0zA/zXCd8gcX0Aw/s72-c/IMG_5766.jpg)
Dk.Shein ziarani Kusini Pemba
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZBm6IYBZ0KI/U7-JlW0fy2I/AAAAAAAF0zA/zXCd8gcX0Aw/s1600/IMG_5766.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0CaW8KLMyRo/U7-JlS2gQII/AAAAAAAF0y4/c24VS_YfEkc/s1600/IMG_5774.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CcLTAG6uv0A/U7-JlKfGAnI/AAAAAAAF0y0/oLOPNtCqeIg/s1600/IMG_5811.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Mbunge ataka Benki ya Wanawake Pemba
MBUNGE wa Viti Maalumu, Mariam Msabaha (CHADEMA), ameihoji serikali na kutaka ieleze ni lini itapeleka Benki ya Wanawake katika mikoa ya Pemba, ili nao waweze kunufaika na benki hiyo. Msabaha...
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Pemba yapongezwa kudhibiti VVU
SERIKALI imekipongeza Kisiwa cha Pemba kwa kuwa na idadi ndogo ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU). Pongezi hizo zilitolewa bungeni jana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,...
11 years ago
Habarileo24 May
Asilimia 93 ya Unguja, Pemba kuna umeme
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema imefanikiwa kusambaza huduma za umeme mjini na vijijini Unguja na Pemba kwa asilimia 93.
11 years ago
Dewji Blog05 May
Kinana aunguruma Pemba
![](http://4.bp.blogspot.com/-vpBLdKI5jxA/U2URh-5Y_OI/AAAAAAAFfH0/-wSNFkX752E/s1600/34.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM,Ndg. Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Mikoa miwili ya Kisiwani Pemba waliofurika kwa wingi kwenye Mkutano wa Hadhara wa Chama cha Mapinduzi uliofanyika jioni ya leo kwenye Viwanja vya Gombani ya Kale,Kisiwani Pemba.Katika hobuba yake,Ndg. Kinana amewataka Wananchi wa Kisiwani humo,kutohadaika na Wanasiasa wanapita kila mahali kwa lengo la kulipotosha Taifa,hasa juu ya swala la Muundo wa Serikali katika Mchakato wa Katiba Mpya.
![35](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/35.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM,Ndg....
11 years ago
Mwananchi03 May
Ajali ya mtumbwi yaua mmoja Kaskazini Pemba
11 years ago
MichuziUKAWA waendelea na Kampeni yao Pemba
-
Malawi
-
Magufuli
-
Lazarus
-
Kisarawe
-
Chakwera
-
Yanga
-
Urais
-
Salaam
-
Ccm
-
Ziara