Dk.Shein ziarani Kusini Pemba
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZBm6IYBZ0KI/U7-JlW0fy2I/AAAAAAAF0zA/zXCd8gcX0Aw/s72-c/IMG_5766.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Mshauri wa Rais Uwekezaji Bw.Abrahman Mwinyi Jumbe (kushoto) akipotembelea shamba la ufugaji wa samaki la kikundi cha Hakiliki Mwambe kusini Pemba jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Wananchi wa wanakikundi cha Ufugaji wa Samaki cha Hakiliki Mwambe kusini Pemba jana,wa Pili (kulia) Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdilahi Jihadi Hassan
Rais wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jlj7Yacjzg3lFrCgK*YgSCEApImgd1GMMXUYQrImhAHQ5LLklKq29WfldD0MBHR*C0nQPVT*cnY2ZSHY7ydr5G6J8I3skweg/SHENI1.jpg?width=650)
D.K SHEIN ZIARANI KUSINI PEMBA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-v2I0MdBSy2c/Vf7an9_y0lI/AAAAAAAH6WI/BFzZCwDgi44/s72-c/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
Dkt. Shein azindua Mradi wa Umeme kijiji cha Kisiwa Panza Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba
![](http://4.bp.blogspot.com/-v2I0MdBSy2c/Vf7an9_y0lI/AAAAAAAH6WI/BFzZCwDgi44/s640/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BHUBUyXIoJs/Vf7an9JH7bI/AAAAAAAH6WM/njFM7l8wuNI/s640/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
5 years ago
MichuziRAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA MIKOA MIWILI YA KASKAZINI NA KUSINI PEMBA WAKATI WA ZIARA YAKE LEO.
11 years ago
MichuziMAALIM SEIF ZIARANI PEMBA
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ameelezea haja ya kuwashajiisha wakulima kulima kwa wingi mazao yanayopendwa zaidi na wananchi, ili kupunguza mfumko wa bei hasa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Akitembelea masoko ya Chake Chake na Wete Kisiwani Pemba kuangalia bei za bidhaa mbali mbali zikiwemo za matunda, Maalim Seif amesema licha na kuwepo bidhaa nyingi lakini bei zake bado ziko juu ikilinganishwa na kipato cha wananchi.
Amesema...
5 years ago
CCM BlogRAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AWASILI ZANZIBAR AKITOKEA PEMBA BAADA YA KUMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU PEMBA.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Wbnbk1QweS0/UuzFCHdiw5I/AAAAAAAFKEE/A-AhxRiWCHE/s72-c/unnamed+(47).jpg)
DKT. SHEIN ZIARANI NCHINI INDIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Wbnbk1QweS0/UuzFCHdiw5I/AAAAAAAFKEE/A-AhxRiWCHE/s1600/unnamed+(47).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YGb_ECHoglg/UuzFCfPLKeI/AAAAAAAFKEQ/BxR2UJYY2OM/s1600/unnamed+(48).jpg)
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Rais Mugabe ziarani Afrika Kusini
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GGseoK1DFMg/VRLVn6QDlgI/AAAAAAAHNK8/RVnJO0abV3c/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Mrithi wa Zitto PAC ziarani Afrika Kusini
MWENYEKITI mpya wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Amina Mwidau, ameongoza wajumbe wa kamati hiyo kwa kufanya ziara nchini ya Afrika Kusini.
Wakiwa nchini humo walitembelea Bandari ya Durban, ambapo walifanya mazungumzo na viongozi wa juu wa bandari hiyo wakiongozwa na Meneja wake Vusi Khumalo.
Mwidau ambaye ameambatana na wajumbe kadhaa wa PAC akiwemo Makamu Mwenyekiti Deo Filikunjombe, Mbunge wa Tabora Mjini, Ismail Aden Rage pamoja na Mbunge wa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10