5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Hqt_cDr2iIw/XvMOGazSykI/AAAAAAALvMw/29B9SZImiX8b6B4pZjv6wENs33tiihACACLcBGAsYHQ/s72-c/788f92ae-4865-48a3-9e8a-aa753b862239.jpg)
WALINZI WATUHUMIWA KUHUJUMU MRADI WA UJENZI WA BARABARA MBINGA KWENDA MBAMBA BAY
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hqt_cDr2iIw/XvMOGazSykI/AAAAAAALvMw/29B9SZImiX8b6B4pZjv6wENs33tiihACACLcBGAsYHQ/s640/788f92ae-4865-48a3-9e8a-aa753b862239.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme akiangalia baadhi ya makatapila ambayo yameng’olewa betri zake na kuibiwa mafunta zaidi ya lita 100 na walinzi wa Kampuni ya ulinzi ya Hamseki Ltd inayolinda vifaa vya kammpuni ya Chico inayojenga barabara ya lami kutoka Mbinga hadi Mbamba bay wilayani Nyasa ambapo ametoa agizo kwa jeshi la polisi mkoani Ruvuma kuwasaka watu walihusika na wizi huo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/b1a5887b-ce41-405d-adfb-82b23fad0c5d.jpg)
Msimamizi wa mradi wa ujenzi wa barabara ya lami wa kampuni ya Chico inayojenga barabara ya lami kutoka...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-tKm_fKrlxrk/XuZWqQGKreI/AAAAAAACNYE/JkK_Tcb91DQSClpUK4Litu4-L5nbYUXzgCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_2020-06-14_171946.jpg)
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM NA AHADI ZA MBUNGE WA MBINGA MJINI SIXTUS MAPUNDA 2015-2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-tKm_fKrlxrk/XuZWqQGKreI/AAAAAAACNYE/JkK_Tcb91DQSClpUK4Litu4-L5nbYUXzgCLcBGAsYHQ/s400/Screenshot_2020-06-14_171946.jpg)
Baada ya mbunge huyo Mh. Sixtus Mapunda kukaribia kuhitimisha miaka yake ya Ubunge katika jimbo hilo, yeye na timu yake wametayarisha Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM sambamba na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ntIi6yOWqFE/XuC7ue_RidI/AAAAAAALtVA/2xdpbiPqHsI4iY7YsDXFo6mVAtqw1o5vwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200607_154617_058.jpg)
FUNDIMBANGA WILAYANI TUNDURU WAJENGEWA DARAJA LA KISASA
WAKAZI wa kijiji cha Fundimbanga kata ya Matemanga wilayani Tunduru, wameipongeza Serikali kwa kujenga daraja la kisasa litakalounganisha kijiji hicho na maeneo mengine ya wilaya ya Tunduru.
Wametoa pongezi hizo jana mbele ya Mbunge wa jimbo la Tunduru Kaskazini Ramo Makani aliyetembelea kijiji cha Fundimbanga kukagua na kuhamasisha kazi za maendeleo sambamba na kusikiliza kero za wananchi wa kijiji hicho.
Wamesema, kujengwa kwa daraja hilo kutamaliza tishio la wananchi wa kijiji hicho...
Wametoa pongezi hizo jana mbele ya Mbunge wa jimbo la Tunduru Kaskazini Ramo Makani aliyetembelea kijiji cha Fundimbanga kukagua na kuhamasisha kazi za maendeleo sambamba na kusikiliza kero za wananchi wa kijiji hicho.
Wamesema, kujengwa kwa daraja hilo kutamaliza tishio la wananchi wa kijiji hicho...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CSQS0lFM1ss/XteA-eY5S7I/AAAAAAALsbo/l6O9yGxlfb0TWsg8wSavkmaLqgUC7_RxQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200528_150030_889.jpg)
TUNDURU YAANZA KAMPENI YA KUWAFUATILIA WAGONJWA WA KIFUA KIKUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-CSQS0lFM1ss/XteA-eY5S7I/AAAAAAALsbo/l6O9yGxlfb0TWsg8wSavkmaLqgUC7_RxQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200528_150030_889.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/ramo-makani.jpg)
HUYU NDIYE RAMO MAKANI MBUNGE WA TUNDURU KASKAZINI
Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini, Eng Ramo Makani.
9 years ago
Vijimambo26 Oct
10 years ago
MichuziMENEJIMENTI YA OFISI YA MKUU WA MKOA WA RUKWA YAMPONGEZA MKUU WA MKOA HUO ENG. STELLA MANYANYA KWA USHINDI WA KISHINDO KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA MBINGA MAGHARIBI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_abOajkhPjQ/VcfT2RA3IJI/AAAAAAAHvj0/AcubMiexSRk/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
MAFUNZO KWA WACHIMBAJI WA MADINI KUHUSU MATUMIZI YA HUDUMA ZA LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO — KANDA YA ZIWA NYASA- SONGEA (7/8/2015) NA TUNDURU (9/8/2015)
Wizara ya Nishati na Madini inaendelea na mpango wake wa Mafunzo kwa Wachimbaji Madini Nchini kuhusu matumizi ya Mfumo wa Huduma za Leseni kwa njia ya Mtandao yaani Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP). Pamoja na malengo mengine, Mfumo huo umeanzishwa ili kutekeleza agizo la Serikali la kutaka Wizara na taasisi za Serikali ziwe zinapokea malipo ya Serikali kwa njia za kielektroniki. Mafunzo hayo yanatarajiwa kutolewa kwa wachimbaji wadogo nchi nzima ili kuwajengea uwezo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-_abOajkhPjQ/VcfT2RA3IJI/AAAAAAAHvj0/AcubMiexSRk/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo11 Nov
Mabilioni yatengwa kwa umeme Mbinga
JUMLA ya Sh bilioni 4.59 zinatarajiwa kutumika kupeleka umeme katika baadhi ya vijiji vilivyopo wilayani Mbinga mkoani Ruvuma.
10 years ago
Vijimambo05 Oct
Elimu ya awali Tunduru na changamoto zake
![Mwalimu wa darasa la awali wa Shule ya Msingi Nakayaya, Teckla Milanzi (kulia) akiwa na wanafunzi wake eneo ambalo hutumika kama darasa la wanafunzi hao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Mwalimu-wa-darasa-la-awali-wa-Shule-ya-Msingi-Nakayaya-Teckla-Milanzi-kulia-akiwa-na-wanafunzi-wake-eneo-ambalo-hutumika-kama-darasa-la-wanafunzi-hao..jpg)
WADAU wa elimu nchini Tanzania wanaamini kwa kiasi kikubwa kwamba endapo elimu ya awali (chekechea) nchini Tanzania itatolewa katika misingi inayostahiki itakuwa ni njia moja wapo madhubuti ya kuimarisha ubora wa elimu. Hii ndiyo maana wanaendelea kupaza sauti wakiitaka serikali kupitia vyombo husika kuboresha kwanza elimu ya awali kabla...
10 years ago
GPLWAKAZI WA TUNDURU WAJITOKEZA KUMPOKEA PROF IBRAHIM LIPUMBA
 Dereva Boda boda ambao ni wananchama wa Chama cha Wananchi CUF wakiongoza msafara wa mapokezi ya Prof Ibrahim Lipumba mara tu alipo wasili Wilayani Tunduru akitokea Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma.Lipumba yupo Mikoa ya Kusini inayojumuisha Ruvuma,Lindi na Mtwara  kwa ziara ya siku 16 ikiwa na dhumuni la kuimarisha chama pamoja kuhamasisha wananchi kujitokeza katika daftari la wapiga kura na...
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Elimu ya awali Tunduru na changamoto lukuki
WADAU wa elimu Tanzania wanaamini kwa kiasi kikubwa kwamba endapo elimu ya awali (chekechea) itatolewa katika misingi inayostahiki, itakuwa ni njia mojawapo madhubuti ya kuimarisha ubora wa elimu. Hii ndiyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuUBiwG8M23zpe4KIIiwbeyLqYMo2QgIdrRe5jkwG5uAmPLG2PSqne15jKob7-xyr0yhJPahcdjIdljIBeoGrj6Q/IMG_0088.jpg?width=650)
WANAFUNZI WA CHEKECHEA TUNDURU WASOMEA CHINI YA MTI
Wanafunzi wakiendelea na masomo wakiwa na mwalimu wao. WANAFUNZI wa darasa la awali katika Shule ya Msingi Nakayaya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma wanasomea chini ya mti kutokana na darasa hilo kuendeshwa bila ya kuwa na chumba maalum kwa ajili ya kusomea wanafunzi hao. Hali hiyo imebainika baada ya mwandishi wa habari hizi kuitembelea shule hiyo hivi karibuni na kuwakuta wanafunzi wakiwa wamekaa chini huku wakiendelea na...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Wanafunzi Tunduru wasomea chini ya Mti
WANAFUNZI wa darasa la awali shule ya Msingi Nakayaya wilayani hapa mkoani Ruvuma, wanasomea chini ya mti kutokana na darasa hilo kuendeshwa bila ya kuwa na chumba maalum. Hali hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eCgsIgfrCHw/VAhtnAavafI/AAAAAAAGd8U/z3SjLPlJJzA/s72-c/unnamed1.jpg)
Partnership to Implement Participatory Forest Management (PFM) in Ruvuma Landscape
![](http://4.bp.blogspot.com/-eCgsIgfrCHw/VAhtnAavafI/AAAAAAAGd8U/z3SjLPlJJzA/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ATTLt9MrUtY/VAhtr5iF5bI/AAAAAAAGd8k/1c5Dm7yRF9I/s1600/unnamed2.jpg)
-
Malawi
-
Magufuli
-
Lazarus
-
Kisarawe
-
Chakwera
-
Yanga
-
Urais
-
Salaam
-
Ccm
-
Ziara
Top 10
Tags
Today
12-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10