Mabilioni yatengwa kwa umeme Mbinga
JUMLA ya Sh bilioni 4.59 zinatarajiwa kutumika kupeleka umeme katika baadhi ya vijiji vilivyopo wilayani Mbinga mkoani Ruvuma.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog23 Jun
TRIONI MOJA YATENGWA KUHAKIKISHA VIJIJI VYOTE TANZANIA NZIMA VINAPATA UMEME
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2ed1bc83-3967-4769-9f9b-f56fc44459e1-1024x768.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2b0a5d41-8c57-47eb-8dd5-5e88f8a23b88-1024x768.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Tanzania kunufaika na uwekezaji wa mabilioni ya Marekani katika umeme
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika mazungumzo na Mtendaji Mkuu na Mtawala Mkuu wa zamani wa Shirika la Maendeleo ya Misaada ya Kimataifa la Marekani (USAID), Bwana Raj Shah. (Picha na Maktaba).
*Ni moja ya nchi tatu tu za Afrika zitakazonufaika kwa sasa
*India nayo italengwa na mpango huo wa sekta binafsi
*Walioubuni wasema umasikini haufutiki bila umeme wa kutosha
Tanzania ni moja ya nchi tatu tu za Afrika ambazo zitanufaika na uwekezaji wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wcHCV7woiU4/U8q29DUptEI/AAAAAAAF3xQ/iW45C5Ov51Q/s72-c/unnamed+(10).jpg)
JK azindua rasmi stendi ya Mabasi mjini Mbinga Mkoani Ruvuma, Barabara ya Peramiho -Mbinga
![](http://3.bp.blogspot.com/-wcHCV7woiU4/U8q29DUptEI/AAAAAAAF3xQ/iW45C5Ov51Q/s1600/unnamed+(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4bb-ZtqKLK8/U8q29P5ZOkI/AAAAAAAF3xU/-BJmBPb3-FM/s1600/unnamed+(11).jpg)
11 years ago
MichuziDkt. Magufuli asema Wilaya ya Nyasa - Mbinga kuunganishwa kwa kwa Barabara ya Lami
Dkt. Magufuli aliyasema hayo jana alipokuwa anahutubia mamia ya Wakazi wa Nyasa kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa mpira wa miguu Mbamba bay, mara baada ya Mheshimiwa Rais Jakaya Kiwete kufungua Madaraja pacha ya Ruhekei A, B na C yaliyogharimu kiasi cha Tsh....
10 years ago
Vijimambo04 Jun
Hali siyo salama kwa CCM majimbo ya Mbinga, Peramiho
10 years ago
Mwananchi24 May
KUELEKEA MAJIMBONI: Hali siyo salama kwa CCM majimbo ya Mbinga, Peramiho
9 years ago
StarTV23 Nov
Watu watano walazwa hospitali ya Mbuyula Mbinga kwa Unywaji wa Togwa Yenye Sumu
Watu watano wamelazwa katika hospitali ya Mbuyula wilayani Mbinga mkoani Ruvuma baada ya kunywa togwa inayodhaniwa kuwa na sumu.
Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Mbuyula Elisha Robert amesema wagonjwa hao ambao waliletwa hospitalini hapo wakidhaniwa kuwa wameambukizwa ugonjwa wa kipindupindu walibainika kuwa wamekunywa kinywaji aina ya Togwa ambacho kimesababisha waharishe.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mbuyula wilaya ya Mbinga Elisha Robati amesma aliweza kugundua kuwa homa hiyo ya...
11 years ago
Mwananchi14 Apr
... Dar es salaam yatengwa
11 years ago
Mwananchi17 May
Mamilioni yatengwa kuikabili dengue