Tanzania kunufaika na uwekezaji wa mabilioni ya Marekani katika umeme
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika mazungumzo na Mtendaji Mkuu na Mtawala Mkuu wa zamani wa Shirika la Maendeleo ya Misaada ya Kimataifa la Marekani (USAID), Bwana Raj Shah. (Picha na Maktaba).
*Ni moja ya nchi tatu tu za Afrika zitakazonufaika kwa sasa
*India nayo italengwa na mpango huo wa sekta binafsi
*Walioubuni wasema umasikini haufutiki bila umeme wa kutosha
Tanzania ni moja ya nchi tatu tu za Afrika ambazo zitanufaika na uwekezaji wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania28 Sep
Tanzania yazidi kunufaika na uwekezaji
Na Enock Bwigabe, TUDARCO
KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC), kimesema Tanzania imepata uwekezaji wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 100 zitakazochangia katika uboreshaji wa utalii na masuala ya uhifadhi nchini.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam jana, ilisema uwekezaji huo ulithibitishwa mwanzoni mwa mwezi huu kupitia Kamati ya Uendeshaji ya Uwezeshaji ya Taifa (NISC) iliyokuwa chini ya Uenyekiti wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo,...
10 years ago
Mwananchi12 Dec
Marekani yacharuka escrow;Tanzania yakosa mabilioni ya MCC, ni Dola 450 milioni
10 years ago
Michuzi01 Nov
SEMINA YA FURSA YA UWEKEZAJI "DOING BUSINESS IN TANZANIA" YAFANYIKA LANDOVER, MARYLAND NCHINI MAREKANI
10 years ago
VijimamboSEMINA YA FULSA YA UWEKEZAJI "DOING BUSINESS IN TANZANIA" YAFANYIKA LANDOVER, MARYLAND NCHINI MAREKANI
11 years ago
MichuziUBELIGIJI NA TANZANIA KUHAMASISHA UWEKEZAJI KATIKA RELI TANZANIA
5 years ago
MichuziMatukio Katika Picha: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefunga Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini Tanzania 2020 JNICC, DSM
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SGGn_JhfiFU/VgequcgfY7I/AAAAAAAH7XE/bMHBdD41lEw/s72-c/tz.png)
STOP PRESS: TANZANIA YAPETA TENA KATIKA MPANGO WA KUPATA MABILIONI YA MCC
![](http://3.bp.blogspot.com/-SGGn_JhfiFU/VgequcgfY7I/AAAAAAAH7XE/bMHBdD41lEw/s640/tz.png)
10 years ago
Habarileo11 Nov
Mabilioni yatengwa kwa umeme Mbinga
JUMLA ya Sh bilioni 4.59 zinatarajiwa kutumika kupeleka umeme katika baadhi ya vijiji vilivyopo wilayani Mbinga mkoani Ruvuma.
9 years ago
MichuziMkoa wa Kigoma kunufaika na Umeme wa nishati ya jua wa MW 5