STOP PRESS: TANZANIA YAPETA TENA KATIKA MPANGO WA KUPATA MABILIONI YA MCC
![](http://3.bp.blogspot.com/-SGGn_JhfiFU/VgequcgfY7I/AAAAAAAH7XE/bMHBdD41lEw/s72-c/tz.png)
· Tanzania imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani na itaanza kupata na kunufaika na mabilioni hayo ya fedha baada ya wajumbe wa Bodi ya MCC kupiga kura ya kuidhinisha kutolewa kwa fedha hizo chini ya Mpango wa MCC-2.Habari hizo njema zimetangazwa Jumamosi, Septemba 26, 2015, kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Fsy21u9L88E/VgceAv81b-I/AAAAAAAH7Vg/sGC_tGtXOnY/s72-c/us.png)
STOP PRESS: DEVELOPMENT OF MCC COMPACT WITH TANZANIA TO CONTINUE
![](http://4.bp.blogspot.com/-Fsy21u9L88E/VgceAv81b-I/AAAAAAAH7Vg/sGC_tGtXOnY/s640/us.png)
9 years ago
Dewji Blog27 Sep
Sasa ni Rasmi: Tanzania kupata mabilioni mengine ya MCC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
-Yafaulu mtihani wa kupata bilioni 992.8 za kuboresha sekta ya umeme
-Yafanikiwa baada ya kutimiza masharti yote likiwemo la kupambana na rushwa
-Zitaanza kutolewa mwakani baada ya kupigiwa kura na Bodi ya MCC
Tanzania imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani na itaanza kupata na kunufaika na...
10 years ago
Mwananchi12 Dec
Marekani yacharuka escrow;Tanzania yakosa mabilioni ya MCC, ni Dola 450 milioni
9 years ago
Michuzi![](http://lh3.googleusercontent.com/-fnpv12H1L74/VhC2oSMu__I/AAAAAAACBTg/fuGVy5eo6Yg/s72-c/blogger-image--792387876.jpg)
STOP PRESS: Mchungaji Mtikila afariki katika ajali alfajiri leo
![](http://lh3.googleusercontent.com/-fnpv12H1L74/VhC2oSMu__I/AAAAAAACBTg/fuGVy5eo6Yg/s640/blogger-image--792387876.jpg)
Mwanasiasa maarufu nchini Tanzania mwenyekiti wa chama cha DP Mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia Majira ya saa 10 alfajiri akitokea mkoani kwake Njombe katika kampeni .
Taarifa zilizothibitishwa na mgombea Ubunge jimbo la Iringa Mjini na mwenyekiti wa DP Mkoa Robart Kisinini wakati akizungumza na mtandao huu wa www.matukiodaima.co.tz amesema ni kweli mwenyekiti wake huyo Taifa amefariki dunia Kamanda wa polisi mkoa wa pwani pia amethibitisha.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oL9z5v5x1bY/ViDk68ifZEI/AAAAAAAIAYc/-NjTz1zrYS8/s72-c/chopa-2.jpg)
STOP PRESS: MBUNGE WA LUDEWA MHE DEO FILIKUNJOMBE AFARIKI KATIKA AJALI YA CHOPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oL9z5v5x1bY/ViDk68ifZEI/AAAAAAAIAYc/-NjTz1zrYS8/s320/chopa-2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LqfJnyU--Zc/ViDk6rqWqjI/AAAAAAAIAYo/M4MKIn4JBv8/s1600/2461.jpg)
Mbunge wa Ludewa Mhe Deogratias Haule Filikunjombe (chini) amefariki dunia katia ajali ya Chopa katika hifadhi ya wanyama ya Selous, pamoja na rubani Kepteni William Silaa (juu kulia), mfanyakazi wa halmashauri ya wilaya ya Ludewa na ndugu yake Marehemu Filikunjombe ambao majina hayajapatikana mara moja.
Mhe. Deo Filikunjombe, rubani na na abiria wengine walipata matatizo ya engine ya chopa namba 5Y-DKK jana jioni wakitokea Dar kuelekea Ludewa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-LRkymnZeQmg/ViDk62H1T2I/AAAAAAAIAYg/Sko6AMTonqU/s320/f2-1.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar20 Oct
MCC Yaisaidia Tena Serikali ya Tanzania §472.8 Kwa Development Project.
Assalamu alaikhum Warahmatullah ndugu Watanzania wote kutoka Katika Bara la Tanganyika na Visiwa Vya Zanzibar. Ama mimi Sina budu ili Kuwaletea habari hii ambayo nimeandika hapo juu ili muweze kuifafanua na ikiwezekana kuipigia Simu Ubalozi wa […]
The post MCC Yaisaidia Tena Serikali ya Tanzania §472.8 Kwa Development Project. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OvdPgIM2CGo/Vg1iNPZqi3I/AAAAAAAH8Nk/6aVYHRA696U/s72-c/hh.png)
STOP PRESS: Taarifa zaidi ya Mahujaji kutoka Tanzania huko Saudi Arabia
![](http://4.bp.blogspot.com/-OvdPgIM2CGo/Vg1iNPZqi3I/AAAAAAAH8Nk/6aVYHRA696U/s640/hh.png)
Mahujaji hao ambao wanaendelea kupata matibabu na hali zao zikiendelea vizuri ni Bi. Hidaya Mchomvu na Bi. Mahjabin Taslim Khan. Pia kwa mujibu wa taarifa za Ubalozi Hujaji mwingine anayejulikana...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6BjCpLZzhoQ/Vg12QZk8pVI/AAAAAAAH8O8/SunqeebUnTQ/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
STOP PRESS: VIJANA SITA WA JKT BULOMBORA MKOANI KIGOMA WAPOTEZA MAISHA 21 WAJERUHIWA KATIKA AJALI JIONI HII
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kye98J7S6eQ/VgTafXJgq3I/AAAAAAAH7EI/vuqh2DSW2q0/s72-c/5143.jpg)
STOP PRESS: TAARIFA YA MUFTI MKUU JUU YA MAAFA YA MAHUJAJI, WATANZANIA WANNE WAPOTEZA MAISHA KATIKA MSONGAMANO ULIOTOKEA MINA JANA
![](http://1.bp.blogspot.com/-kye98J7S6eQ/VgTafXJgq3I/AAAAAAAH7EI/vuqh2DSW2q0/s640/5143.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E8GUzMCVxwA/VgTkMMhocwI/AAAAAAAH7FU/Px1Ju0KNVZ8/s640/0cc4124e6de72529cf77b45665ace60e.jpg)
------------------------------------------------------------------------------------
Bismilah Rahman RaheemAssalaam alaykum warahmatullahi wa barakaatuhu.
Taarifa hii inahusu tukio lilitokea jana Mina Saudi Arabia wakati mahujaji wakielekea...