STOP PRESS: VIJANA SITA WA JKT BULOMBORA MKOANI KIGOMA WAPOTEZA MAISHA 21 WAJERUHIWA KATIKA AJALI JIONI HII
![](http://2.bp.blogspot.com/-6BjCpLZzhoQ/Vg12QZk8pVI/AAAAAAAH8O8/SunqeebUnTQ/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii, Kigoma VIJANA sita waliokuwa katika mafunzo ya kijeshi ya kujitolea katika kikosi cha 821 JKT Bulombora mkoani Kigoma wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa vibaya kutokana na ajali ya gari iliyotokea jioni hii. Mganga Mfawidhi wa hospital ya mkoa wa Kigoma Dkt. Fadhil Kibaya amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo. "Ni kweli leo majira ya saa moja jioni tumepokea miili minne ya vijana wa JKT ambao waliketwa hapa tayari wamefariki na majeruhi 21....
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eAs32y6M0bU/U9kzuOOIuEI/AAAAAAAF76E/IS2iYZVMgdc/s72-c/unnamed+(8).jpg)
17 wapoteza maisha na 56 wajeruhiwa katika ajali ya basi la morobest dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-eAs32y6M0bU/U9kzuOOIuEI/AAAAAAAF76E/IS2iYZVMgdc/s1600/unnamed+(8).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kye98J7S6eQ/VgTafXJgq3I/AAAAAAAH7EI/vuqh2DSW2q0/s72-c/5143.jpg)
STOP PRESS: TAARIFA YA MUFTI MKUU JUU YA MAAFA YA MAHUJAJI, WATANZANIA WANNE WAPOTEZA MAISHA KATIKA MSONGAMANO ULIOTOKEA MINA JANA
![](http://1.bp.blogspot.com/-kye98J7S6eQ/VgTafXJgq3I/AAAAAAAH7EI/vuqh2DSW2q0/s640/5143.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E8GUzMCVxwA/VgTkMMhocwI/AAAAAAAH7FU/Px1Ju0KNVZ8/s640/0cc4124e6de72529cf77b45665ace60e.jpg)
------------------------------------------------------------------------------------
Bismilah Rahman RaheemAssalaam alaykum warahmatullahi wa barakaatuhu.
Taarifa hii inahusu tukio lilitokea jana Mina Saudi Arabia wakati mahujaji wakielekea...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx30FH1CmRg/Vg597HA2uXI/AAAAAAAH8Wk/X1qZ5sjoZhE/s72-c/20151002054424.jpg)
MIILI YA VIJANA WA JKT WALIOPATA AJALI YA GARI BULOMBORA YAAGWA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx30FH1CmRg/Vg597HA2uXI/AAAAAAAH8Wk/X1qZ5sjoZhE/s640/20151002054424.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FxHjWHWndvA/Vg597OerH9I/AAAAAAAH8Ws/DjLX09WUd14/s640/20151002054427.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-57YmdUy3vHw/Vg598t0w3fI/AAAAAAAH8W8/QZWoPbQQhJk/s640/20151002054434.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-S3um5pSwGOg/Vg59-Qx5EsI/AAAAAAAH8XM/pftn9ZAqUWQ/s640/20151002054438.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx30FH1CmRg/Vg597HA2uXI/AAAAAAAH8Wk/X1qZ5sjoZhE/s72-c/20151002054424.jpg)
MIILI YA VIJANA WA JKT WALIOPATA AJALI YA GARI BULOMBORA YAAGWA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx30FH1CmRg/Vg597HA2uXI/AAAAAAAH8Wk/X1qZ5sjoZhE/s640/20151002054424.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FxHjWHWndvA/Vg597OerH9I/AAAAAAAH8Ws/DjLX09WUd14/s640/20151002054427.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-57YmdUy3vHw/Vg598t0w3fI/AAAAAAAH8W8/QZWoPbQQhJk/s640/20151002054434.jpg)
Baadhi ya viongozi wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa wa Kigoma wakitoa heshima zao za mwisho kwa askari wa kikosi cha 821 JKT bulombora waliopata ajali ya gari jana na kufariki dunia.
![](http://3.bp.blogspot.com/-S3um5pSwGOg/Vg59-Qx5EsI/AAAAAAAH8XM/pftn9ZAqUWQ/s640/20151002054438.jpg)
Askari kutoka vikosi na majeshi mbalimbali wakiwa mbele ya majeneza ya askari wenzao wa kikosi cha 821 JKT Bulombora waliofariki jana kwa ajali kwaajili ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3SQhmbAYeew/VWHoUA4ZSwI/AAAAAAAHZiI/MXNk5TR5zXQ/s72-c/unnamed26.jpg)
watatu wapoteza maisha katika ajali ya basi mkoani mbeya leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-3SQhmbAYeew/VWHoUA4ZSwI/AAAAAAAHZiI/MXNk5TR5zXQ/s640/unnamed26.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Wawili wapoteza maisha na 52 wajeruhiwa ajali ya basi Singida
Askari wa usalama barabarani wilaya ya Ikungi, akikagua basi la kampuni ya KISBO, T.534 CHX baada ya kupinduka katika eneo la kijiji cha Kambi ya mkaa kata ya Issuna wilaya ya Ikungi na kusababisha vifo vya watu wawili na kujeruhi wengine 52.
Na Nathaniel Limu, Singida
ABIRIA wawili wamefariki dunia na wengine 52 kujeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupasuka tairi la mbele kulia na kuacha barabara na kisha kupinduka.
Basi lililohusika na ajali hiyo ni T.534 CHX aina ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Bz5XAf4OQ3M/UynVcAmZwwI/AAAAAAAFVDw/LqK4lnroSY8/s72-c/6c860f6e21505f03e949e445344bc6c8.jpg)
WAWILI WAPOTEZA MAISHA NA SABA WAMEJERUHIWWA KATIKA AJALI YA BASI NA BODABODA MKOANI LINDI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bz5XAf4OQ3M/UynVcAmZwwI/AAAAAAAFVDw/LqK4lnroSY8/s1600/6c860f6e21505f03e949e445344bc6c8.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qBhMF00X2eM/VTfR9P-ys1I/AAAAAAAHSl8/WI1Qs9Kgv3Q/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
MUNGU TUNUSURU YARABI TOBA....AJALI INGINE SHINYANGA, 10 WAPOTEZA MAISHA 40 WAJERUHIWA VIBAYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qBhMF00X2eM/VTfR9P-ys1I/AAAAAAAHSl8/WI1Qs9Kgv3Q/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5bGr1KIgJi4/VTfR8zRXf0I/AAAAAAAHSmA/wHU8MN9jFSE/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GrHYaqSecSI/VTfR8ohIPfI/AAAAAAAHSl4/aG80LGJ5SXY/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CG4w-P4hD20/VTfR-N6C-3I/AAAAAAAHSmM/o4Z-1NVjGTQ/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Watu sita wapoteza maisha mkoani Singida
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, ACP. Thobias Sedoyeka akiongea na waandishi wa habari Mkoani Singida alipokuwa akitoa taarifa za matukio ya mauaji ya watu sita Mkoani hapa.
Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Mukhola, kata ya Mgori wakiwa katika safari ya kumtafuta mtu aliyewauwa wanawake wawili akiwemo mtalaka wake kwa kugombea mashamba.
Na,Jumbe Ismailly, Singida
WATU sita wamefariki dunia na mtu mmoja kujeruhiwa katika matukio manne tofauti yaliyotokea Mkoani Singida kati ya...