STOP PRESS: TAARIFA YA MUFTI MKUU JUU YA MAAFA YA MAHUJAJI, WATANZANIA WANNE WAPOTEZA MAISHA KATIKA MSONGAMANO ULIOTOKEA MINA JANA
![](http://1.bp.blogspot.com/-kye98J7S6eQ/VgTafXJgq3I/AAAAAAAH7EI/vuqh2DSW2q0/s72-c/5143.jpg)
Baadhi ya Watanzania walioko Hijja na ambao wamenusurika na maafa ya msongamano wa watu huko Mina jana. Kulia nia Bw. Yahaya Sameja, kushoto ni mwigizaji mchekeshaji Bw. Amri Athumani al maarufu kama King Majuto. Wa katikati jina lake halikuweza kupatikana.
------------------------------------------------------------------------------------
Bismilah Rahman Raheem
Taarifa hii inahusu tukio lilitokea jana Mina Saudi Arabia wakati mahujaji wakielekea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-E8GUzMCVxwA/VgTkMMhocwI/AAAAAAAH7FU/Px1Ju0KNVZ8/s72-c/0cc4124e6de72529cf77b45665ace60e.jpg)
TAARIFA YA MUFTI MKUU JUU YA MAAFA YA MAHUJAJI, WATANZANIA WANNE WAPOTEZA MAISHA KATIKA MSONGAMANO ULIOTOKEA MINA JANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-E8GUzMCVxwA/VgTkMMhocwI/AAAAAAAH7FU/Px1Ju0KNVZ8/s640/0cc4124e6de72529cf77b45665ace60e.jpg)
Bismilah Rahman RaheemAssalaam alaykum warahmatullahi wa barakaatuhu.
Taarifa hii inahusu tukio lilitokea jana Mina Saudi Arabia wakati mahujaji wakielekea kwenye Jamaraat , palitokea msongamano mkubwa ( stampede) na kupelekea mahujaji...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6BjCpLZzhoQ/Vg12QZk8pVI/AAAAAAAH8O8/SunqeebUnTQ/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
STOP PRESS: VIJANA SITA WA JKT BULOMBORA MKOANI KIGOMA WAPOTEZA MAISHA 21 WAJERUHIWA KATIKA AJALI JIONI HII
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OvdPgIM2CGo/Vg1iNPZqi3I/AAAAAAAH8Nk/6aVYHRA696U/s72-c/hh.png)
STOP PRESS: Taarifa zaidi ya Mahujaji kutoka Tanzania huko Saudi Arabia
![](http://4.bp.blogspot.com/-OvdPgIM2CGo/Vg1iNPZqi3I/AAAAAAAH8Nk/6aVYHRA696U/s640/hh.png)
Mahujaji hao ambao wanaendelea kupata matibabu na hali zao zikiendelea vizuri ni Bi. Hidaya Mchomvu na Bi. Mahjabin Taslim Khan. Pia kwa mujibu wa taarifa za Ubalozi Hujaji mwingine anayejulikana...
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Watanzania wanne wapoteza maisha kwa mkanyagano Makka
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xfB_vX_10Ss/default.jpg)
news alert: Taarifa rasmi ya serikali juu ya ajali katika Msikiti wa Makkah - Saudi Arabia, Mahujaji wa Watanzania wote wako Salama.
Kufuatia mvua ilioambatana na upepo mkali na kusababisha kuanguka kwa mashine ya ujenzi wa upanuzi wa eneo la Tawaf ulipo msikiti wa Makkah, msikiti huo umeanguka na kusababisha vifo vya mahujaji.
Kwa mujibu wa Televisheni ya Saudi Arabia, Saudi TV hadi sasa watu 107 wamefariki dunia na wengine takriban 200 wamejeruhiwa.
Kufuatia ajali hiyo, Wizara ya Mambo ya Nje na...
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Askari wanne na raia 14 wapoteza maisha katika ajali ya gari Singida
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/Untitled65.jpg)
Baadhi ya miili ya wakazi wa kijiji cha Utaho wilaya ya Ikungi, waliogongwa na basi la Summry ikiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya mkoa wa Singida mjini humo.
![DSC08054](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/DSC08054.jpg)
Baadhi ya ndugu na jamaa wakiwa wanatafakari juu ya ndugu zao kugongwa na basi la summry la kufariki dunia usiku wa kuamkia leo katika kijiji cha Utaho wilaya ya Ikungi.
![DSC08077](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/DSC08077.jpg)
Baadhi ya ndugu wakiwa nje ya chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya mkoa mjini Singida,wakisubiri kuchukua miili ya ndugu zao...
10 years ago
MichuziASKARI WANNE WA JESHI LA POLISI NA RAIA WATATU WAPOTEZA MAISHA KATIKA TUKIO LA UJAMBAZI JIJINI DAR
9 years ago
Bongo524 Sep
Picha: Mahujaji 717 wapoteza maisha Mecca baada ya kukanyagana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/mahujai-2.jpg?width=650)
MAHUJAJI WANNE WATANZANIA WAFARIKI, MAKKA