Picha: Mahujaji 717 wapoteza maisha Mecca baada ya kukanyagana
Takriban mahujaji 717 wamepoteza maisha baada ya kukanyagana karibu na mji mtakatifu wa kiislam, Mecca nchini Saudi Arabia. Watu wengine 863 wamejeruhiwa kwenye tukio hilo lililotokea kwenye eneo la Mina, wakati ambapo mahujaji milioni mbili kutoka nchi mbalimbali duniani walikuwa kwenye siku ya mwisho ya Hijja. Hilo ni tukio baya zaidi kuwahi kutokea katika kipindi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo512 Sep
Video: Watu zaidi ya 100 wapoteza maisha baada ya kuangukiwa na crane kwenye msitiki wa Mecca
10 years ago
Vijimambo
TAARIFA YA MUFTI MKUU JUU YA MAAFA YA MAHUJAJI, WATANZANIA WANNE WAPOTEZA MAISHA KATIKA MSONGAMANO ULIOTOKEA MINA JANA

Bismilah Rahman RaheemAssalaam alaykum warahmatullahi wa barakaatuhu.
Taarifa hii inahusu tukio lilitokea jana Mina Saudi Arabia wakati mahujaji wakielekea kwenye Jamaraat , palitokea msongamano mkubwa ( stampede) na kupelekea mahujaji...
10 years ago
Michuzi
STOP PRESS: TAARIFA YA MUFTI MKUU JUU YA MAAFA YA MAHUJAJI, WATANZANIA WANNE WAPOTEZA MAISHA KATIKA MSONGAMANO ULIOTOKEA MINA JANA


------------------------------------------------------------------------------------
Bismilah Rahman RaheemAssalaam alaykum warahmatullahi wa barakaatuhu.
Taarifa hii inahusu tukio lilitokea jana Mina Saudi Arabia wakati mahujaji wakielekea...
10 years ago
Habarileo25 Sep
Mamia ya mahujaji wafa kwa kukanyagana Makka
MAHUJAJI wapatao 700 wamepoteza maisha baada ya kukanyagana katika mji wa Mina ulioko nje kidogo ya Makka, ambapo watu 2,000,0000 wana swali ibada ya hija.
11 years ago
GPL
9 WAPOTEZA MAISHA BAADA YA TRENI KULIGONGA BASI UTURUKI
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Wachezaji wawili wapoteza maisha, ni baada ya gari waliyotumia kuacha barabara
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP.Thobias Sedoyeka, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya ajali ya gari aina ya Noah T.987 CQN iliyokuwa imepakia abiria 24, kuacha barabara na kisha kugonga mti na kuuawa wachezaji wawili wa timu ya soka ya kijiji cha Kinambeu akiwemo mwanafunzi wa kidato cha tatu shule ya sekondari Tumaini kata ya Kinampanda wilaya ya Iramba.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
WACHEZAJI wawili wa timu ya soka ya kijiji cha Kinambeu...
10 years ago
Vijimambo
MAHUJAJI ZAIDI YA 700 WAFA KWA KUKANYAGANA WAKITEKELEZA IBADA YA HIJA


10 years ago
Vijimambo
PICHA ZINATISHA,AJALI ILIYOTOKEA USIKU WAKUAMKIA LEO HUKO NZEGA WATU 6 WAPOTEZA MAISHA


10 years ago
Bongo510 Mar
Watu 10 wapoteza maisha baada ya helikopta mbili kugongana hewani wakati wakishoot reality show