Mamia ya mahujaji wafa kwa kukanyagana Makka
MAHUJAJI wapatao 700 wamepoteza maisha baada ya kukanyagana katika mji wa Mina ulioko nje kidogo ya Makka, ambapo watu 2,000,0000 wana swali ibada ya hija.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-skaezcAWygo/VgQfd-5QAGI/AAAAAAAAZq8/Hpt6yezMuqo/s72-c/IMG_20150924_185938.jpg)
MAHUJAJI ZAIDI YA 700 WAFA KWA KUKANYAGANA WAKITEKELEZA IBADA YA HIJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-skaezcAWygo/VgQfd-5QAGI/AAAAAAAAZq8/Hpt6yezMuqo/s640/IMG_20150924_185938.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Li2BZTvdsjY/VgPxVxrN8fI/AAAAAAAAZpE/BfzgkRlDF7k/s640/ccc.jpg)
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Mamia ya mahujaji wafariki katika mkanyagano Makka
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/MAKKA-1.jpg)
ZAIDI YA WATU 220 WAFARIKI KWA KUKANYAGANA, MAKKA-SAUDI ARABIA
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Taasisi zinazosafirisha mahujaji zijifunze kwa janga la Makka
9 years ago
Bongo524 Sep
Picha: Mahujaji 717 wapoteza maisha Mecca baada ya kukanyagana
9 years ago
Habarileo08 Oct
Mahujaji waliofia Makka wafikia 11
SERIKALI imepokea majina matatu ya mahujaji wengine wa Tanzania, waliokufa kutokana na tukio la kukanyagana lililotokea eneo la Mina, katika mji Mtakatifu wa Makka, Saudia Arabia Septemba 24, mwaka huu, hivyo kufanya idadi ya mahujaji wa Tanzania waliopoteza maisha nchini humo kufikia 11.
9 years ago
Habarileo30 Sep
Mahujaji 18 waliopotea Makka watambuliwa
SIKU moja baada ya Serikali kutangaza kuwa mahujaji 50 wa Tanzania waliokuwa katika Mji Mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia, hawajulikani walipo tangu kutokea kwa tukio la kukanyagana na kusababisha vifo vya watu 769, imesema imepokea majina 18 ya watu ambao hawajulikani walipo.
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Matukio yaliyogharimu maisha ya mahujaji Makka
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/mahujai-2.jpg?width=650)
MAHUJAJI WANNE WATANZANIA WAFARIKI, MAKKA