Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAHUJAJI WANNE WATANZANIA WAFARIKI, MAKKA

Miili ya mahujaji walikufa kwenye tukio hilo. Miili ya mahujaji walikufa kwenye tukio hilo ikiwa imefunikwa. Muonekano wa umati wa mahujaji katika mji wa Makka. Makka, Saudi Arabia MAHUJAJI  wane Watanzania wamethibitishwa kufariki dunia katika tukio la kukanyagana lililotokea jana huko Mina katika mji wa mtakatifu wa Makka nchini saudi Arabia. Watanzania hao waliopoteza maisha ni miongoni mwa mahujaji 717 kutoka sehemu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mamia ya mahujaji wafariki katika mkanyagano Makka

Watu wasiopungua 717 wamekufa, huku wengine 816 wamejeruhiwa leo jirani na mji mtakatifu wa Makka walikokwenda kuhiji ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa moja ya nguzo muhimu katika Imani ya dini ya Kiislamu, maofisa Saudi Arabia wathibitisha.

 

9 years ago

Mwananchi

Watanzania wanne wapoteza maisha kwa mkanyagano Makka

Watanzania wanne ni miongoni mwa mahujaji zaidi  ya 700 waliopoteza maisha jana kwa mkanyagano wakati wakitekeleza ibada ya hija mjini Mina umbali wa takribani kilometa tano toka mji mtakatifu wa Kiislamu, Makka nchini Saudi, Arabia. 

 

9 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA MUFTI MKUU JUU YA MAAFA YA MAHUJAJI, WATANZANIA WANNE WAPOTEZA MAISHA KATIKA MSONGAMANO ULIOTOKEA MINA JANA

Baadhi ya Watanzania walioko Hijja na ambao wamenusurika na maafa ya msongamano wa watu huko Mina jana. Kulia nia Bw. Yahaya Sameja, kushoto ni mwigizaji mchekeshaji Bw. Amri Athumani al maarufu kama King Majuto. Wa katikati  jina lake halikuweza kupatikana.

Bismilah Rahman Raheem

Assalaam alaykum warahmatullahi wa barakaatuhu.


Taarifa hii inahusu tukio lilitokea jana Mina Saudi Arabia wakati mahujaji wakielekea kwenye Jamaraat , palitokea msongamano mkubwa ( stampede) na kupelekea mahujaji...

 

9 years ago

Michuzi

STOP PRESS: TAARIFA YA MUFTI MKUU JUU YA MAAFA YA MAHUJAJI, WATANZANIA WANNE WAPOTEZA MAISHA KATIKA MSONGAMANO ULIOTOKEA MINA JANA

Baadhi ya Watanzania walioko Hijja na ambao wamenusurika na maafa ya msongamano wa watu huko Mina jana. Kulia nia Bw. Yahaya Sameja, kushoto ni mwigizaji mchekeshaji Bw. Amri Athumani al maarufu kama King Majuto. Wa katikati  jina lake halikuweza kupatikana.
------------------------------------------------------------------------------------

Bismilah Rahman Raheem

Assalaam alaykum warahmatullahi wa barakaatuhu.


Taarifa hii inahusu tukio lilitokea jana Mina Saudi Arabia wakati mahujaji wakielekea...

 

9 years ago

Habarileo

Mahujaji 18 waliopotea Makka watambuliwa

SIKU moja baada ya Serikali kutangaza kuwa mahujaji 50 wa Tanzania waliokuwa katika Mji Mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia, hawajulikani walipo tangu kutokea kwa tukio la kukanyagana na kusababisha vifo vya watu 769, imesema imepokea majina 18 ya watu ambao hawajulikani walipo.

 

9 years ago

Habarileo

Mahujaji waliofia Makka wafikia 11

SERIKALI imepokea majina matatu ya mahujaji wengine wa Tanzania, waliokufa kutokana na tukio la kukanyagana lililotokea eneo la Mina, katika mji Mtakatifu wa Makka, Saudia Arabia Septemba 24, mwaka huu, hivyo kufanya idadi ya mahujaji wa Tanzania waliopoteza maisha nchini humo kufikia 11.

 

9 years ago

Mwananchi

Matukio yaliyogharimu maisha ya mahujaji Makka

Ni faraja kwa waumini wa dini ya Kiislamu kuhiji mji mtakatifu wa Makka, Saudi Arabi. Siyo tu kwa sababu ya  yakutimiza wajibu wao kama Waislamu, lakini hija ni moja ya nguzo muhimu za dini hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Mahujaji wengine wanane wagundulika kufariki Makka

Serikali imetangaza ongezeko la mahujaji wanane waliopoteza maisha kwenye mkanyagano uliotokea kwenye mji mtakatifu wa Makka mwishoni mwa mwezi uliopita na kufanya idadi ya waliopoteza maisha kufikia 20.

 

9 years ago

Habarileo

Mamia ya mahujaji wafa kwa kukanyagana Makka

MAHUJAJI wapatao 700 wamepoteza maisha baada ya kukanyagana katika mji wa Mina ulioko nje kidogo ya Makka, ambapo watu 2,000,0000 wana swali ibada ya hija.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani