MAHUJAJI WANNE WATANZANIA WAFARIKI, MAKKA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/mahujai-2.jpg?width=650)
Miili ya mahujaji walikufa kwenye tukio hilo. Miili ya mahujaji walikufa kwenye tukio hilo ikiwa imefunikwa. Muonekano wa umati wa mahujaji katika mji wa Makka. Makka, Saudi Arabia MAHUJAJI Â wane Watanzania wamethibitishwa kufariki dunia katika tukio la kukanyagana lililotokea jana huko Mina katika mji wa mtakatifu wa Makka nchini saudi Arabia. Watanzania hao waliopoteza maisha ni miongoni mwa mahujaji 717 kutoka sehemu...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Mamia ya mahujaji wafariki katika mkanyagano Makka
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Watanzania wanne wapoteza maisha kwa mkanyagano Makka
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-E8GUzMCVxwA/VgTkMMhocwI/AAAAAAAH7FU/Px1Ju0KNVZ8/s72-c/0cc4124e6de72529cf77b45665ace60e.jpg)
TAARIFA YA MUFTI MKUU JUU YA MAAFA YA MAHUJAJI, WATANZANIA WANNE WAPOTEZA MAISHA KATIKA MSONGAMANO ULIOTOKEA MINA JANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-E8GUzMCVxwA/VgTkMMhocwI/AAAAAAAH7FU/Px1Ju0KNVZ8/s640/0cc4124e6de72529cf77b45665ace60e.jpg)
Bismilah Rahman RaheemAssalaam alaykum warahmatullahi wa barakaatuhu.
Taarifa hii inahusu tukio lilitokea jana Mina Saudi Arabia wakati mahujaji wakielekea kwenye Jamaraat , palitokea msongamano mkubwa ( stampede) na kupelekea mahujaji...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kye98J7S6eQ/VgTafXJgq3I/AAAAAAAH7EI/vuqh2DSW2q0/s72-c/5143.jpg)
STOP PRESS: TAARIFA YA MUFTI MKUU JUU YA MAAFA YA MAHUJAJI, WATANZANIA WANNE WAPOTEZA MAISHA KATIKA MSONGAMANO ULIOTOKEA MINA JANA
![](http://1.bp.blogspot.com/-kye98J7S6eQ/VgTafXJgq3I/AAAAAAAH7EI/vuqh2DSW2q0/s640/5143.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E8GUzMCVxwA/VgTkMMhocwI/AAAAAAAH7FU/Px1Ju0KNVZ8/s640/0cc4124e6de72529cf77b45665ace60e.jpg)
------------------------------------------------------------------------------------
Bismilah Rahman RaheemAssalaam alaykum warahmatullahi wa barakaatuhu.
Taarifa hii inahusu tukio lilitokea jana Mina Saudi Arabia wakati mahujaji wakielekea...
9 years ago
Habarileo30 Sep
Mahujaji 18 waliopotea Makka watambuliwa
SIKU moja baada ya Serikali kutangaza kuwa mahujaji 50 wa Tanzania waliokuwa katika Mji Mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia, hawajulikani walipo tangu kutokea kwa tukio la kukanyagana na kusababisha vifo vya watu 769, imesema imepokea majina 18 ya watu ambao hawajulikani walipo.
9 years ago
Habarileo08 Oct
Mahujaji waliofia Makka wafikia 11
SERIKALI imepokea majina matatu ya mahujaji wengine wa Tanzania, waliokufa kutokana na tukio la kukanyagana lililotokea eneo la Mina, katika mji Mtakatifu wa Makka, Saudia Arabia Septemba 24, mwaka huu, hivyo kufanya idadi ya mahujaji wa Tanzania waliopoteza maisha nchini humo kufikia 11.
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Matukio yaliyogharimu maisha ya mahujaji Makka
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Mahujaji wengine wanane wagundulika kufariki Makka
9 years ago
Habarileo25 Sep
Mamia ya mahujaji wafa kwa kukanyagana Makka
MAHUJAJI wapatao 700 wamepoteza maisha baada ya kukanyagana katika mji wa Mina ulioko nje kidogo ya Makka, ambapo watu 2,000,0000 wana swali ibada ya hija.