Mamia ya mahujaji wafariki katika mkanyagano Makka
Watu wasiopungua 717 wamekufa, huku wengine 816 wamejeruhiwa leo jirani na mji mtakatifu wa Makka walikokwenda kuhiji ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa moja ya nguzo muhimu katika Imani ya dini ya Kiislamu, maofisa Saudi Arabia wathibitisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MAHUJAJI WANNE WATANZANIA WAFARIKI, MAKKA
10 years ago
Habarileo25 Sep
Mamia ya mahujaji wafa kwa kukanyagana Makka
MAHUJAJI wapatao 700 wamepoteza maisha baada ya kukanyagana katika mji wa Mina ulioko nje kidogo ya Makka, ambapo watu 2,000,0000 wana swali ibada ya hija.
11 years ago
BBCSwahili25 Apr
Wengi wafariki katika mkanyagano DRC
10 years ago
Mwananchi25 Sep
Watanzania wanne wapoteza maisha kwa mkanyagano Makka
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Mkanyagano katika shule ya Kakamega: Wazazi wa wanafunzi walioathirika na mkanyagano Kenya waomboleza
10 years ago
Habarileo30 Sep
Mahujaji 18 waliopotea Makka watambuliwa
SIKU moja baada ya Serikali kutangaza kuwa mahujaji 50 wa Tanzania waliokuwa katika Mji Mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia, hawajulikani walipo tangu kutokea kwa tukio la kukanyagana na kusababisha vifo vya watu 769, imesema imepokea majina 18 ya watu ambao hawajulikani walipo.
10 years ago
Habarileo08 Oct
Mahujaji waliofia Makka wafikia 11
SERIKALI imepokea majina matatu ya mahujaji wengine wa Tanzania, waliokufa kutokana na tukio la kukanyagana lililotokea eneo la Mina, katika mji Mtakatifu wa Makka, Saudia Arabia Septemba 24, mwaka huu, hivyo kufanya idadi ya mahujaji wa Tanzania waliopoteza maisha nchini humo kufikia 11.
10 years ago
Mwananchi28 Sep
Matukio yaliyogharimu maisha ya mahujaji Makka
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Mahujaji wengine wanane wagundulika kufariki Makka