Wengi wafariki katika mkanyagano DRC
Watu kadhaa wameripotiwa kufariki baada ya kutokea mkanyagano katika tamasha la kumkumbuka mwanamuziki maarufu wa Congo King Kester Emeneya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Mamia ya mahujaji wafariki katika mkanyagano Makka
Watu wasiopungua 717 wamekufa, huku wengine 816 wamejeruhiwa leo jirani na mji mtakatifu wa Makka walikokwenda kuhiji ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa moja ya nguzo muhimu katika Imani ya dini ya Kiislamu, maofisa Saudi Arabia wathibitisha.
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Mkanyagano katika shule ya Kakamega: Wazazi wa wanafunzi walioathirika na mkanyagano Kenya waomboleza
Mazishi ya wanafunzi waliofariki kufuatia mkanyagano katika shule ya msingi ya kakamega nchini Kenya yameanza.
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
63 wafariki katika ajali ya treni DRC
Takriban watu 63 wamefariki baada ya treni iliyokuwa imewabeba kupoteza mwelekeo Kusini Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
11 years ago
BBCSwahili12 May
Onyo kuhusu mkanyagano DRC
Inaarifiwa mechi ilichezewa katika uwanja usiofaa, na kwamba uwanja haungeweza kuhimili idadi kubwa ya mashabiki waliofika kwa mchuano huo.
11 years ago
BBCSwahili26 Apr
21 wafariki nchini DRC Congo
Takriban watu 21 wamefariki baada ya kukanyagana katika sherehe za muziki nchini jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.
11 years ago
BBCSwahili26 Jan
20 wafariki kwenye mlipuko DRC
Watu 20 wanahofiwa kufariki kutokana na mlipuko katika ghala la silaha katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
31 wafariki kutokana na Ebola DRC
Shirika la afya duniani likishirikiana na wizara ya afya DRC imesema kuwa mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini humo umewaua watu 31.
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Watu 10 wauawa katika mkanyagano India
Takriban watu 10 wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa katika mkanyagano uliofanyika katika hekalu moja katika jimbo la mashariki la Jharkhand nchini India .
10 years ago
BBCSwahili06 Mar
Mkanyagano watokea katika kivuko Kenya
Mkanyagano umetokea katika kivukio cha Ferry katika eneo la Likoni huko Mombasa Kenya na kusababisha mamia ya watu kujeruhiwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania