63 wafariki katika ajali ya treni DRC
Takriban watu 63 wamefariki baada ya treni iliyokuwa imewabeba kupoteza mwelekeo Kusini Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi01 Jul
NEWS ALERT: WATU WANNE WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA TRENI MKOANI MOROGORO LEO ALFAJIRI
Watu wanne wamefariki dunia na 21 kujeruhiwa baada ya basi aina ya Isuzu kugonga treni ya abiria iendayo bara katika kilomita 276/0 kati ya Stesheni za Kimamba na Kilosa mkoani Morogoro saa 11:25 asubuhi leo Julai 01, 2015. Wahanga walipakiwa katika treni hiyo na kukimbizwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kilosa.Basi lilohusika ni lenye namba za usajili T837CTM Isuzu Coaster linalomilikiwa na Feisal A. Khuwel wa Kilosa.Taarifa kutoka eneo la tukio limefafanua kuwa waliofariki ni wanaume...
11 years ago
BBCSwahili25 Apr
Wengi wafariki katika mkanyagano DRC
Watu kadhaa wameripotiwa kufariki baada ya kutokea mkanyagano katika tamasha la kumkumbuka mwanamuziki maarufu wa Congo King Kester Emeneya.
10 years ago
Mwananchi18 Apr
Watu 38 wafariki katika ajali
Kahama/Mbeya. Msiba mwingine mzito umelikumba taifa baada ya watu 38 kupoteza maisha katika matukio mawili tofauti, likiwamo la ajali ya basi dogo aina ya Toyota Hiace iliyoua watu 19 wakati ikifanya safari ya wizi mkoani Mbeya.
11 years ago
BBCSwahili26 May
20 wauawa katika ajali ya treni India
Maafisa wa huduma za reli nchini India wanasema kuwa takriban watu 20 wanahofiwa kufariki katika ajali ya gari moshi katika jimbo la Uttar Pradesh.
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Watu 36 wafariki katika ajali Tanzania
Takriban Watu 36 wamefariki na wengine 79 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari matatu eneo la Saba Saba wilaya ya Butiama
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/ajali-mbeya-1.jpg)
WAWILI WAFARIKI KATIKA AJALI IRINGA
Gari aina ya Toyota Harrier likitolewa eneo la ajali. Wananchi wakishuhudia gari hilo wakati likiondolewa eneo la ajali. Wanausalama wakiwa eneo la ajali. Toyota Harrier…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtq64PAXgCPuOI-UOSt0nl2Jb5TM1ZMgp6aRHVOOGUgGPNczP1moW5nIvyCJNOyCbC9KweSO33W2UnOmp2P2edXI/13.gif)
13 WAFARIKI KATIKA AJALI ISUNA, SINGIDA
Habari zilizotufikia sasa hivi kutoka Singida zinasema watu 13 wamefariki dunia baada ya kutokea ajali ya magari mawili kugongana uso kwa uso eneo la Isuna mkoani humo. Habari zinasema ajali hiyo ilihusisha gari aina ya Toyota Noah na lori ambayo namba zake za usajili hazikupatikana mara moja. Watu 13 waliofariki walikuwa katika Noah iliyokuwa ikitokea Itigi na maiti zao zimehifadhiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Singida. ...
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
Watu 7 wafariki katika ajali ya ndege N Zealand
Polisi wa New Zealand wanasema kuwa watu wote saba walioabiri ndege iloanguka katika kisiwa cha South Island wamefariki.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08cuF3qInhReyuht5Eors1Od90bxtd8kEuiotnZnzw3eWvrb4LY5oaAUD9SI*5ehVVuVVxKYhOyK7Ph03vrWqAM1P/IMG20140905WA0000.jpg?width=650)
WATU ZAIDI YA 36 WAFARIKI KATIKA AJALI MUSOMA
Miili na majeruhi wakipokelewa katika Hospitali ya mkoa wa Mara. ...Baadhi ya maiti zikiwa zimefunikwa.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania