WATU ZAIDI YA 36 WAFARIKI KATIKA AJALI MUSOMA
![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08cuF3qInhReyuht5Eors1Od90bxtd8kEuiotnZnzw3eWvrb4LY5oaAUD9SI*5ehVVuVVxKYhOyK7Ph03vrWqAM1P/IMG20140905WA0000.jpg?width=650)
Miili na majeruhi wakipokelewa katika Hospitali ya mkoa wa Mara. ...Baadhi ya maiti zikiwa zimefunikwa.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Eatv05 Sep
WATU ZAIDI YA 36 WAFARIKI KWA AJALI MUSOMA
WATU ZAIDI YA 36 WAFARIKI KWA AJALI MUSOMA!
Takribani watu zaidi ya 36 wanahofiwa kupoteza maisha baada ya magari mawili ya abiria kugongana uso kwa uso katika eneo la Sabasaba Musoma, mkoani Mara
Ajali hiyo imelihusisha basi la MWANZA COACH T736 AWJ lililogongana na gari lingine la J.4 Express T677 CYC.
Miili ya marehemu na majeruhi wamepelekwa katika hospitali ya mkoa iliyopo Musoma mjini.
R.I.P All na poleni sana wote mliofikwa na msiba huo
Takribani watu zaidi ya 36 wanahofiwa kupoteza maisha baada ya magari mawili ya abiria kugongana uso kwa uso katika eneo la Sabasaba Musoma, mkoani Mara
Ajali hiyo imelihusisha basi la MWANZA COACH T736 AWJ lililogongana na gari lingine la J.4 Express T677 CYC.
Miili ya marehemu na majeruhi wamepelekwa katika hospitali ya mkoa iliyopo Musoma mjini.
R.I.P All na poleni sana wote mliofikwa na msiba huo
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s72-c/1.jpg)
BREANKING NYUZZZ.....: ZAIDI YA WATU 35 WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA MABASI ILIYOTOKEA MCHANA HUU MJINI MUSOMA ANEO MAARUFU LA SABA SABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s1600/1.jpg)
Watu zaidi ya 35 wamepoteza maisha papo hapo na wengine zaidi ya 86 kujeruhiwa vibaya. Kwa mujibu wa Ripota wetu aliopo eneo la tukio hivi sasa,inaelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo Basi la J4...
11 years ago
Michuzi21 Apr
NEW ALERT: AJALI MWANZA WATU ZAIDI YA 20 WAFARIKI PAPO HAPO
Zaidi ya watu 20 wamefariki dunia papo hapo na wengine wengi kujeruhiwa, baada ya basi la LUWULE walilokuwa wakisafiria kutoka Musoma kwenda Mwanza kuacha njia, kugonga nyumba na kupinduka katika kijiji cha Itwimila wilaya ya Busega.
Chanzo East Africa Television (EATV)
10 years ago
Bongo505 Sep
Show ya Fiesta Musoma yaahirishwa kufuatia ajali ya mabasi 2 iliyosababisha vifo vya zaidi ya watu 45
Show ya Serengeti Fiesta iliyokuwa imepangwa kufanyika Ijumaa hii imeahirishwa kufuatia ajali mbaya ya mabasi mawili yaliyogongana uso kwa uso na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 45 na wengine kujeruhiwa. Ajali hiyo imehusisha basi la MWANZA COACH T736 AWJ lililogongana na gari lingine la J4 Express T677 CYC. Miili ya marehemu na majeruhi wamepelekwa […]
10 years ago
Mwananchi18 Apr
Watu 38 wafariki katika ajali
Kahama/Mbeya. Msiba mwingine mzito umelikumba taifa baada ya watu 38 kupoteza maisha katika matukio mawili tofauti, likiwamo la ajali ya basi dogo aina ya Toyota Hiace iliyoua watu 19 wakati ikifanya safari ya wizi mkoani Mbeya.
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
Watu 36 wafariki katika ajali Tanzania
Takriban Watu 36 wamefariki na wengine 79 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari matatu eneo la Saba Saba wilaya ya Butiama
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
Watu 7 wafariki katika ajali ya ndege N Zealand
Polisi wa New Zealand wanasema kuwa watu wote saba walioabiri ndege iloanguka katika kisiwa cha South Island wamefariki.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qBhMF00X2eM/VTfR9P-ys1I/AAAAAAAHSl8/WI1Qs9Kgv3Q/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
WATU 10 WAFARIKI NA WENGINE ZAIDI YA 40 WAJERUHIWA KWENYE AJALI YA BASI LA UNIQUE NA LORI MKOANI SHINYANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qBhMF00X2eM/VTfR9P-ys1I/AAAAAAAHSl8/WI1Qs9Kgv3Q/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5bGr1KIgJi4/VTfR8zRXf0I/AAAAAAAHSmA/wHU8MN9jFSE/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CG4w-P4hD20/VTfR-N6C-3I/AAAAAAAHSmM/o4Z-1NVjGTQ/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
CHANZO: MICHUZI BLOG
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HwqJujqzkWgpbgkwXgPDJ0xDhwyfx29mxDwhjEg4uiCzYo0eXr0w9xaBFAXYQydZEeD5QpWpU8HzKxtUlRigc9Sxv9BvQ9z*/BREAKINGNEWS.gif)
WATU KADHAA WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI KAHAMA
WATU kadhaa wamepoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa asubuhi hii kwenye ajali ya basi la Wibonela lililokuwa likitoka Kahama kwenda Dar lililopinduka eneo la kona ya Phantom, Kahama. Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi uliopelekea dereva wa basi kushindwa kulimudu lilipofika kwenye kona ya Phantom na kupelekea kuingia mtaroni na kupinduka. Idadi kamili ya waliopoteza maisha na majeruhi kwenye ajali hiyo bado...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania