Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATU 10 WAFARIKI NA WENGINE ZAIDI YA 40 WAJERUHIWA KWENYE AJALI YA BASI LA UNIQUE NA LORI MKOANI SHINYANGA

 Winchi likinyanyua basi baada ya ajali ambapo watu 10 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 40 kujeruhiwa kutokana na ajali ya basi la Unique na lori kugongana uso kwa uso  mkoani Shinyanga leo. Zoezi la kunyanyua mabaki ya basi hilo likiendeleaWinchi likiwa kazini huku wanahabari wkirekodi tukio la kunyanyuliwa basi hilo.

CHANZO: MICHUZI BLOG

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Watu 10 wafariki dunia katika ajali ya basi Shinyanga na 51 wajeruhiwa

vpo

Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Shinyanga kamishina msaidizi, Justus Kamugisha.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Habari zilizotufikia hivi punde katika chumba cha Modewji blog ni kuwa bado jeshi la Polisi na wasamaria wema wanaendelea kuokoa majeruhi na maiti wa ajali ya gari iliyotokea muda wa masaa mawili yaliyopita kwa kuuhusisha basi la Unique namba za usajili T148 BKK likitokea jijini Mwanza kwenda Tabora kugongana na lori katika kijiji cha Ibingo kata ya Samuye...

 

11 years ago

Mwananchi

Watu 11 wafariki ajali ya basi, 55 wajeruhiwa

Abiria 11 waliokuwa wakisafiri na basi la Kampuni ya Burudani kutoka Korogwe kuelekea Dar es Salaam akiwamo dereva wamefariki, huku wengine 55 wakijeruhiwa baada ya basi hilo aina ya Nissan kuacha njia na kupinduka kwenye kona wakati likijaribu kupishana na lori aina ya Fuso.

 

5 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZ: WATU 18 WAFARIKI DUNIA NA WENGINE 15 WAJERUHIWA KWA AJALI WILAYANI MKURANGA.


Watu 18 wamefariki na wengine 15 kujeruhiwa baada ya magari mawili kugongana katika kijiji cha Kilimahewa Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji, Onesmo Lyanga amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

Kamanda Lyanga amesema kuwa ajali hiyo imetokea leo Jumatano Aprili 15, 2020 na kwamba imehusisha lori na gari la abiria aina ya Toyota Coaster.“Ni Kweli tuko kwenye eneo la tukio, ajali imetokea na imesababisha vifo vya watu 18 na majeruhi 15,” amebainisha...

 

9 years ago

Dewji Blog

Watu 7 wafariki na wengine 10 kujeruhiwa katika ajali ya gari mkoani Kigoma

Majeruhi wa ajari ya gari kuwaka moto Mkoani Kigoma akipatiwa matibabu katika Hospitari ya Mkoa ya Maweni (Picha na Emmanuel Senny) (1)

Majeruhi wa ajari ya gari kuwaka moto Mkoani Kigoma akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa ya Maweni (Picha na Emmanuel Senny).

Majeruhi wa ajari ya gari kuwaka moto Mkoani Kigoma akipatiwa matibabu katika Hospitari ya Mkoa ya Maweni (Picha na Emmanuel Senny) (3)

Majeruhi wa ajari ya gari kuwaka moto Mkoani Kigoma akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa ya Maweni (Picha na Emmanuel Senny).

Majeruhi wa ajari ya gari kuwaka moto Mkoani Kigoma, wakipatiwa matibabu katika Hospitari ya Mkoa ya Maweni (Picha na Emmanuel Senny) (2)

Majeruhi wa ajari ya gari kuwaka moto Mkoani Kigoma, wakipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa ya Maweni (Picha na Emmanuel Senny).

Majeruhi wa ajari ya gari kuwaka moto Mkoani Kigoma akipatiwa matibabu katika Hospitari ya Mkoa ya Maweni (Picha na Emmanuel Senny) (4)

Majeruhi wa ajali ya gari kuwaka moto Mkoani Kigoma akipatiwa matibabu katika Hospitali ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Maafa Shinyanga *Barafu yafunika kijiji, watu 42 wafariki dunia *Zaidi ya 91 wajeruhiwa, mamia wasombwa na maji *Nyumba zabomolewa, mifugo mingi nayo yafa

IMG-20150304-WA0018Paul Kayanda na Kadama Malunde, Kahama

WATU 42 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 91 wamejeruhiwa vibaya baada ya mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali kunyesha katika Kijiji cha Mwakata, Kata ya Isaka, Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga.
Pamoja na vifo hivyo, nyumba za makazi na majengo ya taasisi mbalimbali, yamebomolewa na mafuriko yaliyosababishwa mawe kusambaa kijiji kizima.

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya, aliiambia MTANZANIA kwa simu jana kwamba zaidi ya kaya 100...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: WATU WANNE WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA TRENI MKOANI MOROGORO LEO ALFAJIRI

Watu wanne wamefariki dunia na 21 kujeruhiwa baada ya basi aina ya Isuzu  kugonga treni ya abiria iendayo bara katika  kilomita 276/0 kati ya Stesheni  za Kimamba na Kilosa mkoani Morogoro saa 11:25 asubuhi leo Julai 01, 2015. Wahanga walipakiwa katika  treni hiyo na kukimbizwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kilosa.Basi lilohusika ni lenye namba za usajili T837CTM Isuzu Coaster linalomilikiwa na Feisal  A. Khuwel wa Kilosa.Taarifa kutoka eneo la tukio  limefafanua kuwa waliofariki ni wanaume...

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali ya basi yaua wanne, wengine 40 wajeruhiwa

Basi la Wibonela ambalo hufanya safari zake kati ya Kahama na Dar es salaam limepinduka jana asubuhi na kuua watu wanne, akiwamo kichanga wa miezi mitatu, na kujeruhi wengine 40.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani