20 wauawa katika ajali ya treni India
Maafisa wa huduma za reli nchini India wanasema kuwa takriban watu 20 wanahofiwa kufariki katika ajali ya gari moshi katika jimbo la Uttar Pradesh.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWfeM0Sfr8raeaw7jFTA0i6ezSyK9pG4aGjtHxW5Kg1TdpDAoHPXd1DAobYJ208pXXH4suxjK6myCK*RrUqk8-rF/AJALI.jpg)
AJALI YA TRENI YAUA 12 NCHINI INDIA
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
63 wafariki katika ajali ya treni DRC
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Watu 10 wauawa katika mkanyagano India
10 years ago
Michuzi01 Jul
NEWS ALERT: WATU WANNE WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA TRENI MKOANI MOROGORO LEO ALFAJIRI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g7ffI9sue3Y/VVIaIOZ3DaI/AAAAAAAHW4A/6pz9zzB1Rc0/s72-c/unnamed%2B(53).jpg)
HUDUMA YA TRENI YA DELUXE KUSIMAMA KATIKA KITUO CHA NGURUKA KUANZIA TRENI ITAKAYOANDOKA DAR JUMAPILI IJAYO MEI 17, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-g7ffI9sue3Y/VVIaIOZ3DaI/AAAAAAAHW4A/6pz9zzB1Rc0/s640/unnamed%2B(53).jpg)
Kwa taarifa hii ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu na Wakazi wa maeneo yanayozunguka kituo cha Nguruka, shime wajitokeze kwa wingi kukata tiketi za safari kwa mujibu wa mahitaji yao . Halikadhalika safari za deluxe zitakuwa wiki...
10 years ago
Habarileo08 Nov
Maiti 4 ajali ya treni hawajatambuliwa
MIILI ya watu wanne kati ya 12 waliokufa papo hapo juzi kwa ajali ya basi la Kampuni ya Super Aljabir baada ya kugongana na gari moshi, mali ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA ), haijatambuliwa.
10 years ago
Habarileo07 Nov
Ajali ya basi, treni yaua 12
MATUKIO ya ajali za barabarani nchini yameendelea kuteketeza maisha ya Watanzania, baada ya jana watu 12 kufa papo hapo katika ajali iliyohusisha basi na treni katika makutano ya reli eneo la Kiberege, wilaya Kilombero mkoani Morogoro.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPHM1HRabQ5DiKLmeJV4iLoI2TBPIEcDJ6jNRiJgxZc3Z9lvPx6ib8BMT437n2bqtojQxWamviLqyII3VMAToQya/Mtoto.gif?width=650)
MAAJABU AJALI YA BASI KUGONGA TRENI
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Majeruhi ajali ya basi na treni wasaidiwa
SERIKALI ya Mkoa wa Morogoro na wadau wengineo wametoa misaada mbalimbali zikiwemo fedha tasilimu kwa majeruhi wa ajali ya basi kugonga treni wanaotibiwa hospitali ya Mt. Francis wilayani hapa. Katika...