HUDUMA YA TRENI YA DELUXE KUSIMAMA KATIKA KITUO CHA NGURUKA KUANZIA TRENI ITAKAYOANDOKA DAR JUMAPILI IJAYO MEI 17, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-g7ffI9sue3Y/VVIaIOZ3DaI/AAAAAAAHW4A/6pz9zzB1Rc0/s72-c/unnamed%2B(53).jpg)
Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania –TRL unachukua fursa hii kuwataarifu wateja wetu wote na Watanzania kwa ujumla na hasa maeneo ya kituo cha Reli cha Nguruka mkoani Kigoma, kuwa treni yetu maarufu ya Deluxe itasimama kituoni hapo kuteremsha na kupakia abiria.
Kwa taarifa hii ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu na Wakazi wa maeneo yanayozunguka kituo cha Nguruka, shime wajitokeze kwa wingi kukata tiketi za safari kwa mujibu wa mahitaji yao . Halikadhalika safari za deluxe zitakuwa wiki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s72-c/DSC07352.jpg)
ABIRIA WA TRENI MKOANI DODOMA KUTUMIKA KITUO KIDOGO CHA KATOSHO BADALA YA STESHENI YA TRENI YA KIGOMA KWA TRENI ZA ABIRIA KUANZIA FEBRUARI 18, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s1600/DSC07352.jpg)
Kwa mujibu wa wa taarifa ya Uongozi wa TRL lilitolewa Februari 16, 2015 uamuzi wa treni kutofika katika stesheni ya Kigoma unatokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini Kigoma na hivyo kuzoa mchanga ambao umefunika tuta la reli katika eneo la stesheni ya Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo abiria wote...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_cV-gX8ErGc/VifoLGkS48I/AAAAAAAIBjI/BOX4nnCS-Uk/s72-c/New%2BPicture.png)
MUDA WA KUONDOKA TRENI YA DELUXE KWENDA MWANZA JUMAPILI OKTOBA 25, 2015 WASOGEZWA MBELE
![](http://4.bp.blogspot.com/-_cV-gX8ErGc/VifoLGkS48I/AAAAAAAIBjI/BOX4nnCS-Uk/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI (PRESS RELEASE) Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL unachukua fursa hii kuwaarifu abiria wa treni ya deluxe ya Jumapili Oktoba 25, 2015 kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza kuwa muda wa kuondoka umesogezwa mbele kutoka saa 2 asubuhi hadi saa 2 usiku wa siku hiyohiyo.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo uamuzi huo umechukuliwa maalum ili kuwapa fursa Abiria waliojiandikisha kupiga kura kutumia haki yao ya kikatiba kikamilifu.
Utaratibu huu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_J_NgJ258yY/VO4pYlWbh2I/AAAAAAAHF2w/wzD8sewVLIE/s72-c/download%2B(1).jpg)
KUSITISHWA KWA MUDA HUDUMA YA TRENI YA JIJI KUANZIA JUMATANO FEBRUARI 25, 2015 HADI JUMATATU MACHI 02, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-_J_NgJ258yY/VO4pYlWbh2I/AAAAAAAHF2w/wzD8sewVLIE/s1600/download%2B(1).jpg)
Kwa mujibu wa taarifa ya Uongozi wa TRL iliotolewa jioni leo Februari 25, 2015 uamuzi wa kusitisha huduma hiyo umesababishwa na vichwa viwili vya treni hiyo kuharibika na kuhitaji matengenezo makubwa katika Karakana Kuu ya Morogoro .Taarifa imefafanua kuwa kwa vile kimebaki kichwa kimoja...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7PUob1X5gko/VW3Z8OvOWcI/AAAAAAAHbes/vh60oojWM_8/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
TRENI YA DELUIXE KUONDOKA DAR SAA 2 ASUBUHI KUANZIA JUNI 07, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-7PUob1X5gko/VW3Z8OvOWcI/AAAAAAAHbes/vh60oojWM_8/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
Kwa kubadilisha muda wa kuondoka na kuwa saa 2 asubuhi abiria wa treni ya deluxe watalala njiani kwa usiku mmoja tu.Kwa vile treni hiyo itakuwa inawasili jioni kituo cha mwisho Kigoma au Mwanza hivyo basi nayo imepangiwa kuondoka siku...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zng6VD7bzkw/VSqIkAk4AwI/AAAAAAAHQr4/GLipOMuUDbw/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
NEWS ALERT: HODI, HODI ROCK CITY...TRENI YA DELUXE YAELEKEA MWANZA LEO JUMAPILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zng6VD7bzkw/VSqIkAk4AwI/AAAAAAAHQr4/GLipOMuUDbw/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CaNHffDuy_8/VSqIkG8xEII/AAAAAAAHQr0/Jio7RWDh8tY/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EVoCjpKwQyk/VSqIjyh3vEI/AAAAAAAHQrw/OmNt5k0W2gE/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
11 years ago
MichuziKUSITISHWA KWA HUDUMA YA TRENI YA JIJI HAPO JUMAMOSI NA JUMAPILI
10 years ago
Michuzi13 Nov
Huduma ya Treni ya Jiji yaahirishwa kuanzia leo hadi Jumatatu Novemba 17, 2014
Ufafanuzi wa sababu za kusitishwa huduma umeeleza kuwa kichwa kimojawapo ambacho hutoa huduma kimepelekwa Karakana Kuu ya Morogoro kwa ajili ya ukarabati maalum na kwamba kinatarajiwa kurejeshwa Dar es Salaam jioni ya siku ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pETJMNgSito/U6HPPVmAjvI/AAAAAAAFrjc/3HMdpM37-0c/s72-c/download+(1).jpg)
Taarifa ya KUSITISHWA KWA MUDA HUDUMA YA TRENI YA JIJI KUANZIA KESHO JUNI 19, 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-pETJMNgSito/U6HPPVmAjvI/AAAAAAAFrjc/3HMdpM37-0c/s1600/download+(1).jpg)
Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania –TRL unasikitika kuwataarifu wananchi na wateja wake wa huduma ya treni ya Jiji kuwa hiyo imesitishwa kwa muda wa siku 3 kuanzia kesho Juni 19, 2014 hadi Jumammosi Juni 21, 2014. Aidha huduma hiyo itaanza tena hapo Jumatatu Juni 23, 2014 kwa kufuata ratiba yake ya kawaida. Uamuzi huo unatokana na sababu za kiufundi ikiwemo kufanyiwa matengenezo vichwa vyote vya viwili ambavyo vimekuwa vikihudumia treni hiyo ya Jiji. Vichwa hivyo vinapaswa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ubXR7YtztVw/VQAfiYycuRI/AAAAAAAHJio/P5HbO1WIRCs/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
MABEHEWA 22 YA TRENI YA ABIRIA YA DELUXE NI MAPYA! - TRL
![](http://4.bp.blogspot.com/-ubXR7YtztVw/VQAfiYycuRI/AAAAAAAHJio/P5HbO1WIRCs/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
Hoja kuwa tokea yawasili nchini mwezi Desemba , 2014 hayajaanza kutumika kwa vile ni mabovu ni upotoshaji wa ukweli. Ukweli ni kwamba kuanzia Novemba 24, 2014 TRL ilipeleka ...