MUDA WA KUONDOKA TRENI YA DELUXE KWENDA MWANZA JUMAPILI OKTOBA 25, 2015 WASOGEZWA MBELE
![](http://4.bp.blogspot.com/-_cV-gX8ErGc/VifoLGkS48I/AAAAAAAIBjI/BOX4nnCS-Uk/s72-c/New%2BPicture.png)
KAMPUNI YA RELI TANZANIA(TRL)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI (PRESS RELEASE)
Kwa mujibu wa taarifa hiyo uamuzi huo umechukuliwa maalum ili kuwapa fursa Abiria waliojiandikisha kupiga kura kutumia haki yao ya kikatiba kikamilifu.
Utaratibu huu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMUDA WA KUJISAJILI KWENDA HIJJA WASOGEZWA MBELE TOKA JUNI 15 HADI AGOSTI 25, 2015
Na Dotto Mwaibale
MAHUJAJI nchini wametakiwa kujitokeza kujisajili katika taasisi zilizosajiliwa kisheria ili kujiandaa kwenda...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g7ffI9sue3Y/VVIaIOZ3DaI/AAAAAAAHW4A/6pz9zzB1Rc0/s72-c/unnamed%2B(53).jpg)
HUDUMA YA TRENI YA DELUXE KUSIMAMA KATIKA KITUO CHA NGURUKA KUANZIA TRENI ITAKAYOANDOKA DAR JUMAPILI IJAYO MEI 17, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-g7ffI9sue3Y/VVIaIOZ3DaI/AAAAAAAHW4A/6pz9zzB1Rc0/s640/unnamed%2B(53).jpg)
Kwa taarifa hii ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu na Wakazi wa maeneo yanayozunguka kituo cha Nguruka, shime wajitokeze kwa wingi kukata tiketi za safari kwa mujibu wa mahitaji yao . Halikadhalika safari za deluxe zitakuwa wiki...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zng6VD7bzkw/VSqIkAk4AwI/AAAAAAAHQr4/GLipOMuUDbw/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
NEWS ALERT: HODI, HODI ROCK CITY...TRENI YA DELUXE YAELEKEA MWANZA LEO JUMAPILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zng6VD7bzkw/VSqIkAk4AwI/AAAAAAAHQr4/GLipOMuUDbw/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CaNHffDuy_8/VSqIkG8xEII/AAAAAAAHQr0/Jio7RWDh8tY/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EVoCjpKwQyk/VSqIjyh3vEI/AAAAAAAHQrw/OmNt5k0W2gE/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjPxKR4AR6ym64YK6LYDqbCoSzQRkY-7x7yPP3CF-ji8JyaSV-r-aJPMZ4wmYoyqI20NZh6eFC351XIZ5z2IrYaD/deluxe.jpg?width=650)
SAFARI YA TRENI YA DELUXE KWENDA KIGOMA YAAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU
Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) unasikitika kuwataarifu abiria wa treni ya Deluxe ya kwenda Kigoma leo Mei 17, 2015 saa 2 usiku kuwa safari hiyo imeahirishwa hadi kesho Jumatatu Mei 18, 2015 saa 2 usiku. Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa zinatokana na ajali mbili mfululizo za treni za mizigo. Ajali ya kwanza ilitokea asubuhi saa 1:30 maeneo ya Stesheni ya Ngeta mkoa wa Pwani na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I5aUJzIH8ow/VViD6B4zH_I/AAAAAAAHXwg/gp4cbIPHaJ8/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
TRENI YA DELUXE KWENDA KIGOMA YAAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!
![](http://2.bp.blogspot.com/-I5aUJzIH8ow/VViD6B4zH_I/AAAAAAAHXwg/gp4cbIPHaJ8/s640/unnamed%2B(6).jpg)
Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa zinatokana na ajali mbili mfululizo za treni za mizigo.
Ajali ya kwanza ilitokea asubuhi saa 1:30 maeneo ya Stesheni ya Ngeta mkoa wa Pwani na ya pili saa 5 asubuhi maeneo ya Stesheni za Kinguruwila na Morogoro!
Ajali hizo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
TRENI YA DELUXE ILIYOPANGWA KUONDOKA LEO SAA 2 USIKU IMEAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!
![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
TAARIFA HIYO IMEELEZA KUWA SABABU ZA KUAHIRISHWA SAFARI HIYO NI AJALI YA TRENI YA MIZIGO ILIYOTOKEA JANA SAA 2 USIKU KATIKA STESHENI YA SARANDA AMBAPO MABEHEWA 4 YAMEPINDUKA ! TAYARI WAHANDISI NA MAFUNDI WA TRL WANAELEKEA ENEO LA KWA KAZI YA KUYAINUA NA PIA KUKARABATI NJIA!
ATAYESOMA TAARIFA HII...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-34W8X8sIodE/U5dB_vWDqWI/AAAAAAAFpmM/tiyO0bRBvps/s72-c/TanzaniaTRCDar.jpg)
KUSITISHWA KWA MUDA HUDUMA YA TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-34W8X8sIodE/U5dB_vWDqWI/AAAAAAAFpmM/tiyO0bRBvps/s1600/TanzaniaTRCDar.jpg)
Tokea asubuhi ya leo Mkurugenzi Mtendaji wa TRL Mhandisi Kipallo Aman Kisamfu na Wahandisi waandamizi na Mafundi ujenzi walifika katika daraja hilo lililopo km 82/5 na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1jtCAbL5NJE/VLVtFvIsfgI/AAAAAAAG9L0/TLx199zKINc/s72-c/tt.jpg)
Treni ya abiria imeahirishwa kuondoka hadi kesho Januari 14, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-1jtCAbL5NJE/VLVtFvIsfgI/AAAAAAAG9L0/TLx199zKINc/s1600/tt.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa safari hiyo ni ajali ya treni ya mizigo iliyotokea leo Jumanne Januari 13, 2015 saa 9 alasiri maeneo ya Stesheni ya Pugu Mpiji ambapo mabehewa matatu ya treni ya mizigo iliyokuwa inasafiri kwenda Bara yaliacha njia na moja kuanguka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7PUob1X5gko/VW3Z8OvOWcI/AAAAAAAHbes/vh60oojWM_8/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
TRENI YA DELUIXE KUONDOKA DAR SAA 2 ASUBUHI KUANZIA JUNI 07, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-7PUob1X5gko/VW3Z8OvOWcI/AAAAAAAHbes/vh60oojWM_8/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
Kwa kubadilisha muda wa kuondoka na kuwa saa 2 asubuhi abiria wa treni ya deluxe watalala njiani kwa usiku mmoja tu.Kwa vile treni hiyo itakuwa inawasili jioni kituo cha mwisho Kigoma au Mwanza hivyo basi nayo imepangiwa kuondoka siku...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania